Mkuu hapo kwenye bold sijaelewa kabisa hebu fafanua kaka mkubwa .......
Unajua anahitaji hela ndefu kidogo na mimi nina majukumu nadhani nitashindwa .......
Mimba mkuu si utakuwa unmepunguza matatizo yake na kama kanalipa unajua tena utapata katoto kazuri tuuHiyo kitu? Mtaji au Mimba?
We nawewe namba ya simu ya nini bana, kama unataka kusaidia mtaji nitumie mimi kwa tigo pesa .... LOL
Sihitaji ushauri wa daktari tena kwani nimeshapata ushauri wa kutosha hapa nahitaji experience kutoka kwa wanawake wanaojua hilo tatizo .......
msaidieni mtaji ili arudi
Duh! hapo kwenye mtaji itabidi nimshirikishe mama Ngina aisee.....
Shem mbona kama unakuwa husomi vizuri bana...unaniudhi ujue...binti anatakiwa apigwe kipapai ndio tiba yake hiyo!!!
Khaaaaaa ......You are not serious aisee.....!
Kama ni miti shamba anadai alikwishatumia sana huko kwao Ileje Mbeya .......Shikamoo Mzee Mtambuzi, Kuna uzi.mmoja ila sikumbuki ngoja niusake afu nitakuwekea hapa. Dr. MziziMkavu alitoa tiba ya matatizo kama hayo!!!