Daktari ashauri msichana wetu wa kazi abebe mimba ili apone...!

Utani aisee,chango ni ugonjwa wa tumbo mara nyingi huwa unamshika mwanamke hasa ambae hajazaa,na wengi wakishazaa hutoweka kabisa, kuna baadhi ya makabila wanazifahamu dawa za miti za kupinguza makali ya ugonjwa huu,huwa unauma sn na una mateso makubwa,dawa.zipo za miti na kisasa ,muhimu kuzungumza naye huyo bont kiutatatibu sn akubali kwenda kwao akatafutiwe dawa ,akipona atarudi,kwa kuwa ni bint mdogo wasi wasi wangu ni kwamba ktk akili yake akijua kuwa dawa ni kubeba mimba,anaweza akabeba bila uangalizi na matokeo yake kuangiki amHali pasipo salama,zungumza naye,muandae kisaikolojia ataslewa tu,
 
Kuna mtu anaitwa togolai MANI na zumbemkuu wanaufahamu huu ugonjwa na jina lake zuri sio chango bali shango hata CHAMVIGA ukiacha upande wa siasa za CCM anaweza kuja kutoa msaada sana hapa.

Mzee Mtambuzi huyo ni haramu kwako halahal mzee mwenzangu, wapelekeee vijana wanajua jinsi ya kutibu vizuri, sidhani kama Mama Ngina (dada yangu kipenzi) atakuruhusu umtibu mana hii aina ya matibabu ni ngumu kidogo. Je nimuombe akuruhusu umtibu tu kwakuwa ni matibabu na baada ya hapo dozi itasitishwa rasmi? (just kidding) pole kaka. Wa kwangu kaja mwezi uliopita akawa ana bleed tangu amefika baada ya siku tano tukashauriana na Prime Minister tukamuondoa aiseee. CYBERTEQ njoo huku nsa litunguli lako hilo usaidie
ndio
i have a friend ambae alikua anaumwa hiyo chango..alikua anumwa,anatapika,na anatetemeka baridi mpaka siku zaa hedhi yake zinaisha...alipoolewa na kuzaa tu hiyo hali imekoma
 
Last edited by a moderator:
Dawa hizi mara nyingi watu wa same,kagera na wasukuma wanazijua sn,si ugonjwa mgeni na wanawake wengi wanatibiwa,
Hapa nadhani dada yangu Ennie anaweza kutoa ushauri maana anatokea kule Thame
 
Last edited by a moderator:
duuuu, hapo mtafutie house boy, halfu mkabidhi apige mashine basi. ila wewe kaa nae mbali, maana waweza piga kisha ukampa jirani na mama Ngina akajua ya mussa wa jirani.
 
Nina msichana wa kazi anayemsaidi mama Ngina shughuli za nyumbani, tumeishi naye kwa takriban miezi mitatu sasa, ni binti wa miaka 16. Lakini tangu aje amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sana ya tumbo kila mwezi, na maumivu hayo yanadumu kati ya siku nne hadi tano na humlaza kitandani akiwa hajiwezi na hawezi kufanya kazi yoyote. Kila tukimpeleka hospitali alikuwa akipewa vidonge vya kutuliza maumivu, lakini kila mwezi hali hiyo imekuwa ikijirudia.

Sasa jana tulimpeleka kwa daktari mmoja wa bingwa wa magonjwa ya wanawake, ndio akatoa huo ushauri kwamba ili binti wetu wa kazi aondokane na maumivu ya tumbo inabidi azae, la sivyo atakuwa akiumwa kila mwezi........

Sasa sijui tumrudishe tu kwao ili akaolewe azae, lakini hayuko tayari kuondoka anasema hawezi kuondoka mpaka atakapotimiza malengo yake ya kukusanya mtaji wa biashara. Kwani anataka akirudi kwao Mbeya akaanzishe biashara ili aweze kuwasidia wazazi wake.

Hebu nishaurini tumsaidieje huyu binti....?

Daktari fake, Mara nyingi hayo matumbo huwa ni "Fibroids" na mabinti wa aina hiyo uzazi huwa ni issue, madaktari huja kugundua muda umepita na kupoteza muda wa wana ndoa kulea watoto wakiwa vijana.
 
Kuna mtu anaitwa togolai MANI na zumbemkuu wanaufahamu huu ugonjwa na jina lake zuri sio chango bali shango hata CHAMVIGA ukiacha upande wa siasa za CCM anaweza kuja kutoa msaada sana hapa.

Mzee Mtambuzi huyo ni haramu kwako halahal mzee mwenzangu, wapelekeee vijana wanajua jinsi ya kutibu vizuri, sidhani kama Mama Ngina (dada yangu kipenzi) atakuruhusu umtibu mana hii aina ya matibabu ni ngumu kidogo. Je nimuombe akuruhusu umtibu tu kwakuwa ni matibabu na baada ya hapo dozi itasitishwa rasmi? (just kidding) pole kaka. Wa kwangu kaja mwezi uliopita akawa ana bleed tangu amefika baada ya siku tano tukashauriana na Prime Minister tukamuondoa aiseee. CYBERTEQ njoo huku nsa litunguli lako hilo usaidie

Mkuu unajua huu nimtihani mkuwa sana kwangu,,,,?
 
Mpatie mtaji tu maana sidhan kwa kazi za ndani anaweza kupata. Mtaji mkubwa. Hivyo mpatie kiasi ili kuepusha madhira
 
kwani kavunja kipepeteo juzi? Kama ni tangu skunyingi maumivu kaanza kuyapatia kwako? Kama aliweza vumilia muda wote huo naamini hatashndwa sasa. Miaka 16 kumpa ushauri wa kuzaa bado sio sawa na kumrudisha kwao ni sawa na kumwambia akazae wakati kwako anapgania hako kamshahara kake walau aone mwanga ktk maisha. Mvumilie hzo sku chache ktk kila mwezi na aktimiza lengo lake umri utakuwa walau umesogea na ataenda kufanya yake.
 
Mtaftie mume azae
Kama una ndugu yako anatafuta mke leteni posa, ni kabinti kanakolipa maana kamejaaliwa maumbile ya nyuma yamesimama vyema na sura ni nzuri kiushkaji, miguu nayo pia inalipa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom