Daktari ashauri msichana wetu wa kazi abebe mimba ili apone...!

Hilo ni chango na halibiki hospital, linatokea kila unapopata period, wakat mwngne wanawake wakibeba mimba linatoa.
Km utaweza mtafutien mitishsmba ndo inapoza kaka yangu.
Pole sana I feel how she feel.
Hilo ndo linamsumbua hta mwanamitindo ladiva millen
 
Mcmlazmishe aolewe jmn kwanza bado mdogo alafu ana malengo yake anataka kutmiza, mtafutien dawa za kienyeji atapona kabisa lkn kwa hospital mtapoteza pesa aseeee.
Maumivu hyo n Makali sana . I feel it
 
Swala la kumpa mimba najua huwezi kulifanya maana ni gumu. Lilipo mpe mtaji ili aende kwao akaendelee na issue zingine.
 
Nina msichana wa kazi anayemsaidi mama Ngina shughuli za nyumbani, tumeishi naye kwa takriban miezi mitatu sasa, ni binti wa miaka 16. Lakini tangu aje amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sana ya tumbo kila mwezi, na maumivu hayo yanadumu kati ya siku nne hadi tano na humlaza kitandani akiwa hajiwezi na hawezi kufanya kazi yoyote. Kila tukimpeleka hospitali alikuwa akipewa vidonge vya kutuliza maumivu, lakini kila mwezi hali hiyo imekuwa ikijirudia.

Sasa jana tulimpeleka kwa daktari mmoja wa bingwa wa magonjwa ya wanawake, ndio akatoa huo ushauri kwamba ili binti wetu wa kazi aondokane na maumivu ya tumbo inabidi azae, la sivyo atakuwa akiumwa kila mwezi........

Sasa sijui tumrudishe tu kwao ili akaolewe azae, lakini hayuko tayari kuondoka anasema hawezi kuondoka mpaka atakapotimiza malengo yake ya kukusanya mtaji wa biashara. Kwani anataka akirudi kwao Mbeya akaanzishe biashara ili aweze kuwasidia wazazi wake.

Hebu nishaurini tumsaidieje huyu binti....?
Mkuu, mpe mtaji arudi kwao
 
Hapana simshauri azae kabisaaa. Kwanza nendeni mkapime hilo tumbo myb ana cyst nazo huwa zinasababisha hayo matatizo. Na kuzaa sio solution wapo wanaozaa na bado wanaumwa. Kama anajua kusali mwambie asali kabla hajaanzaa mp asali vzr na sio juu juu.
 
Nina msichana wa kazi anayemsaidi mama Ngina shughuli za nyumbani, tumeishi naye kwa takriban miezi mitatu sasa, ni binti wa miaka 16. Lakini tangu aje amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sana ya tumbo kila mwezi, na maumivu hayo yanadumu kati ya siku nne hadi tano na humlaza kitandani akiwa hajiwezi na hawezi kufanya kazi yoyote. Kila tukimpeleka hospitali alikuwa akipewa vidonge vya kutuliza maumivu, lakini kila mwezi hali hiyo imekuwa ikijirudia.

Sasa jana tulimpeleka kwa daktari mmoja wa bingwa wa magonjwa ya wanawake, ndio akatoa huo ushauri kwamba ili binti wetu wa kazi aondokane na maumivu ya tumbo inabidi azae, la sivyo atakuwa akiumwa kila mwezi........

Sasa sijui tumrudishe tu kwao ili akaolewe azae, lakini hayuko tayari kuondoka anasema hawezi kuondoka mpaka atakapotimiza malengo yake ya kukusanya mtaji wa biashara. Kwani anataka akirudi kwao Mbeya akaanzishe biashara ili aweze kuwasidia wazazi wake.

Hebu nishaurini tumsaidieje huyu binti....?
Anahitaji kiasi gani tumchangie humu ndani ili tukusaidie na wewe pia weka wazi mkuu
 
aa akili
Nina msichana wa kazi anayemsaidi mama Ngina shughuli za nyumbani, tumeishi naye kwa takriban miezi mitatu sasa, ni binti wa miaka 16. Lakini tangu aje amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sana ya tumbo kila mwezi, na maumivu hayo yanadumu kati ya siku nne hadi tano na humlaza kitandani akiwa hajiwezi na hawezi kufanya kazi yoyote. Kila tukimpeleka hospitali alikuwa akipewa vidonge vya kutuliza maumivu, lakini kila mwezi hali hiyo imekuwa ikijirudia.

Sasa jana tulimpeleka kwa daktari mmoja wa bingwa wa magonjwa ya wanawake, ndio akatoa huo ushauri kwamba ili binti wetu wa kazi aondokane na maumivu ya tumbo inabidi azae, la sivyo atakuwa akiumwa kila mwezi........

Sasa sijui tumrudishe tu kwao ili akaolewe azae, lakini hayuko tayari kuondoka anasema hawezi kuondoka mpaka atakapotimiza malengo yake ya kukusanya mtaji wa biashara. Kwani anataka akirudi kwao Mbeya akaanzishe biashara ili aweze kuwasidia wazazi wake.

Hebu nishaurini tumsaidieje huyu binti....?
ya maisha huyo.muacheni akipata mtaji ataenda zake mwenyewe
 
yakhee kama waweza nenda kwa daktari mwingine ili ujiridhishe alafu ukikuta tatizo ndio hilo basi nakuomba kama una ka uwezo kidogo unaweza ukamsaidia kumpatia kamtaji ili akawakomboe wazazi wake. Chonde chonde ndugu yangu, jifanye umetoa fungu la kumi kwa huyo dada alafu na Mungu atakurejeshea ulipo punguza amen!. KUTOA SI UTAJIRI, ukikuta mdada anakumbuka wazazi wake hebu mheshimu sana, mm nina dada ambaye ni mama Askofu yaani hana muda na mama yake mzazi, mama akiumwa wala hajui. Kwahiyo nakusihi kama una pesa mpe dogo then akapumzike kwao kama unaona anakwamisha shughuri zako!. Naimani umenielewa japo kidogo!
 
Nishakuwa na mchepuko wa design hiyo na ikawa inatakiwa ashike mimba ili apone na mimi ndiyo nimpe Du niliwaza Sana na vile siipendi kuzaa nje ya ndoa. moja Pili demu nilishampima kisiri siri nikagundua Yuko positive kwa hiyo nikawa naruka na buti no problem sasa suala la kutia mimba ukawa ndiyo mtihani maana inabidi niingie kavu na alivyokuwa ananipenda ikabidi nitengeneze ugonjwa na kujifanya daktari Kaniambia nisifanye mapenzi kwa Muda wa miezi nane. na Yeye alivyokuwa anapenda sex hakuweza kuvumilia Kuwa na mimi taratibu akaanza kunipotezea ikawa mission imefaulu
 
Sio ugonjwa mbona wengi ndo hivyo na maisha yanasonga? Akianza kuumwa tumbo chemsha maji weka kwenye chupa ya dasani ya maji funika kimfuniko vizuri alale chali wamuwekee kanga kupunguza moto polepole mnaweka hiyo chupa tumboni kama mnakanda yale maji yanayeyusha damu zinatoka zikitoka lazima apate nafuu wakati huo mpeni chai ya rangi, na atumie dawa ya movera. Watu wa aina hiyo huo ndo ugonjwa wao huwezi kuta anaumwa sijui homa wala nn so mvumilie. At 16 bado ni mdogo kuolewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom