Daktari aliyesoma CBG

Daktari aliyesoma CBG

huna jipya na ujinga wako eti kixa umexoma physics, usiwe na mawazo ya kishamba na kikoloni. ondoa huu uchafu humu yaani we unafikiri lazima uxome phz a lvl ndo uxomee u dr. poor ur brain. jipange:target:
 
Nina ndugu yangu yuko Finland anasoma BSc Agriculture Eng! Huku kwetu aliishia Form 4 masomo ya Arts na hakufaulu vizuri!
Wenzetu walioendelea wanatoa Aptitude Test ya fani unayotaka kusoma, ukifaulu wanakuchukua, hawahangaiki na daraja ulilopata Sekondaru.
elimu ya kibongo upuuzi mtupu...mie naonaga hata A level ni kupotezeana muda na kucheleleweshea vijana muda wa kufaidi maisha....wengi tu nawajua hawakupita e level na sasa nu wanataaluma wazuri kwenye fani zao......

Kamwe Lisa sitakubali asome upuuzi huo wa elevel....ni kama miaka 7 ya primary ni upotezaji wa muda kabisa...dara sa la 5 tu mtoto anakwenda sekondari...

Mkuu mkuu vyovyote mtu atakavyoona,ila mimi ambaye nimesoma PCB na sasa nakaribia kumaliza MD yangu ndivyo nilivyoona. Tatizo ninaloona watu wengi wanadhani medicine ni dawa,that is absolutely wrong. Ni kweli dawa inaemploy chemistry kwa kiasi kikubwa.Lakini madaktari watakubaliana nami kwamba,tiba ni zaidi ya dawa(drugs).Pia,huna haki ya kuprescribe dawa kama hujui mgonjwa anaumwa nini(pathology) ambayo ni purely biology na jinsi dawa inavyofanya kazi-pharmacokinetics & pharmacodynamics ambavyo pia ni biology kama kawaida!

Si lengo langu ku-undermine taaluma ya udaktari maana hata mimi nimo humo,ila binafsi nitakuwa wa mwisho kujiona kama an extraordinary person eti kwa sababu tu nilisoma PCB.Hiyo sio haki hata kidogo.Ni kweli ni taaluma ngumu kiasi,lakini hiyo tu hainifanyi kupindisha ukweli.Mkuu ungeniambia ni wapi chemistry inaonekana inalingana au ni zaidi ya biology kwenye medicine(hii ninayochukua hapa) ningekuelewa.

Napenda hebu jaribu kupitia vizuri hiyo syllabus,maana naona umeskip kipengele kinachoruhusu mtu mwenye degree ya kwanza kwenye paramedicine(nadhani unaelewa) kuchukua MD.Ukishatambua hilo nadhani tutakuwa tumeelewana.

Naomba nisisitize kwamba medicine ni zaidi ya dawa(drugs). Medicine lazima ujue kwanza mwili unapofanya kazi(biology) na madhara ya ugonjwa mwilini(pathophysiology) ambayo pia ni biology.Ni kweli Chemistry inahitajika ila hata ile ya o-level inatosha kabisa.Jamani mimi nasema hivi kwa sababu mimi pia nilikuwa napata stories za namna hiyo ni mpaka niliposoma huu udaktari nikajionea mwenyewe.
asiekuelewa basi......
 
kweli nchi hii si masikini tu wa uchumi na uongozi pia sisi ni masikini wa reasoning na thinking. Sasa mtu mzima anabishana kuhusu pcb na cbg anaongea pumba.
Nina mashaka inawezekana watoto wa secondary ndiyo wamechangia hizi pumba. mtu wa cbg anaweza soma akawa daktari mzuri zaidi ya mtu wa pcm. Elimu yetu iko complicated sana inafanya watu wengi washindwe soma wanachotaka na haitusaidii.
Mimi nimesoma na watu wengi wamefail kuanzia o'level kisa tu mfumo wa elimu wakaamia kenya na uganda na sasa hivi ni watu wanafanya kazi zao za maana hapa hapa nchini.
Yupo dada mmoja alifail akiwa form 2 shule flani hapa tanzania akapelekwa uganda akasoma sekondari na kasoma medicine makelele sasa hivi yuko muhimbili.
Watanzania mabishano na watu kujiona wanajua zaidi ndiko kunatuponza. Kenyans are doing better than us sisi tuko kwenye majungu na kujisifia sifia tu

Yani bora ingekuwa wanafunzi wa sekondari wanabishana tungeelewa.....haki ya nani uwezi amini ni madaktari wanaongea pumba tena mijitu mizima na familia kabisa......
 
Mkuu mkuu vyovyote mtu atakavyoona,ila mimi ambaye nimesoma PCB na sasa nakaribia kumaliza MD yangu ndivyo nilivyoona. Tatizo ninaloona watu wengi wanadhani medicine ni dawa,that is absolutely wrong. Ni kweli dawa inaemploy chemistry kwa kiasi kikubwa.Lakini madaktari watakubaliana nami kwamba,tiba ni zaidi ya dawa(drugs).Pia,huna haki ya kuprescribe dawa kama hujui mgonjwa anaumwa nini(pathology) ambayo ni purely biology na jinsi dawa inavyofanya kazi-pharmacokinetics & pharmacodynamics ambavyo pia ni biology kama kawaida!

Si lengo langu ku-undermine taaluma ya udaktari maana hata mimi nimo humo,ila binafsi nitakuwa wa mwisho kujiona kama an extraordinary person eti kwa sababu tu nilisoma PCB.Hiyo sio haki hata kidogo.Ni kweli ni taaluma ngumu kiasi,lakini hiyo tu hainifanyi kupindisha ukweli.Mkuu ungeniambia ni wapi chemistry inaonekana inalingana au ni zaidi ya biology kwenye medicine(hii ninayochukua hapa) ningekuelewa.

Napenda hebu jaribu kupitia vizuri hiyo syllabus,maana naona umeskip kipengele kinachoruhusu mtu mwenye degree ya kwanza kwenye paramedicine(nadhani unaelewa) kuchukua MD.Ukishatambua hilo nadhani tutakuwa tumeelewana.

Naomba nisisitize kwamba medicine ni zaidi ya dawa(drugs). Medicine lazima ujue kwanza mwili unapofanya kazi(biology) na madhara ya ugonjwa mwilini(pathophysiology) ambayo pia ni biology.Ni kweli Chemistry inahitajika ila hata ile ya o-level inatosha kabisa.Jamani mimi nasema hivi kwa sababu mimi pia nilikuwa napata stories za namna hiyo ni mpaka niliposoma huu udaktari nikajionea mwenyewe.

Hongera kaka/dada kwa hizi busara.......haya ndio mambo ya ku-discuss....Kudos!!
 
Biology ndo kila kitu, kama hilo somo hulipendi ama huliwezi bas utaishia mwaka wa kwanza udaktar
 
Reason logically..don't use anger..physics opens your mind, radiology..cardiology..you need physics In so many aspects of medicine ..Tanzania kwa ubabaishaji!!

Nadhani huyu ni mmoja wao wa CBG! shame up on them!
 
To be sincere huu mjadala ni mkali,(ila ni baadhi ya vitu TU kuwekana sawa)

Kwa maoni yangu,

Sayansi(Science) ni somo/(masomo) kubwa, hata hivyo imegawanyika katika sehemu nyingi(branches). Medicine ni sehemu mojawapo ya sehemu ya Sayansi(Science) ingawaje pia bado imegawanyika katika sehemu nyingi.

Ikumbukwe kuwa kama baadhi ya fani nyingine kama(Uhandisi) fani ya udaktari vivyo hivyo ambapo aliyemaliza anaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile duniani, hivyo hii kuweza kuleta usawa(uniformity) wa masomo ili kuwa daktari.Yaani masomo yale yale husomwa(kutegemeana na mitaala ya nchi) mf.

-U.S (Kusoma Physics, Chemistry, Biology, Maths..refer MCAT na AAMC)
-U.K, Canada, Australia, India (Kusoma PCB, na kama mwanafunzi hakusoma atatakiwa kusoma 30weeks ya relevant/applied Science).
-Vile vile nchi kama India, Czech n.k
Nchi kama Russia, China, Uturuki, Ureno n.k(hizi huitaji kusoma language) hii ikiwa na maana lazima mtu atumie lugha ile ya nchi yao na wengine kusoma kiingereza.

Hivyo basi kwa kutegemeana na nchi husika, requirements/minimal requirements za admission ni zile zile kama Science(Chemistry na Biology) na Physics na Maths...Iwapo Mwanafunzi alisoma Science(say Science major) na kutosoma baadhi ya masomo hutumia muda wa mwaka mmoja hafi mwaka na nusu kusoma tena Physics, Mathematics na Language, ili awe na ADMISSION criteria, Hii ni popote pale duniani.

Hivyo basi, inawezekana usisome Physics na Maths mwanzoni lakini baadaye ITAKUBIDI kuisoma tu(Applied Physics), in Pre-med school (yaani MED-P) kabla ya kujiunga na medical school.

Katika fani/taaluma ya udaktari kuna ngazi tofauti yaani mf. MD, Specialization(Udaktari Bingwa), na Superspecialization. Ingawaje daktari bingwa(mf. daktari wa upasuaji(Surgeon) amebobea katika tasnia yake bado ana uelewa fulani wa branches nyingine za medicine mf. Psychiatry(magonjwa ya akili).Lakini haimfanyi kuwa Psychiatrist.

Hivyo basi kwa kupitia elimu ya fizikia, mechanism za injury hasa watu wa ajali(type of force, direction of force, etc in Orthopedics and Traumatology) na pia hasa katika ulimwengu huu wa vifaa kazi mf. Laparoscopy, Oesophagoduedunoscopy,MRI, USS, Cystoscopy, Nuclear medicine, Diathermy uses siamini(i stand to be corrected) kuwa physics itaepukwa.
Hata hivyo ni applied science(Science Minor) kukuwezesha kuwa na knowledge fulani lakini haimaanishi/haikifanyi kuwa Physicist.
 
Hongera kaka/dada kwa hizi busara.......haya ndio mambo ya ku-discuss....Kudos!!
If you do not appreciate the gist of chemistry in medicine, then you daktari njaa! Sio wote ni madaktari, kuna wa ku-prescribe chloroquine, na wa brain surgery!
 
Wadau Hiki kitu kinaitwa TCU haliwatakii watanzania mema..toka kimeanza kufanya kazi zake, wamekuwa wakichagua wanafunzi waliosoma combination ya CBG Kwenda kwenye fani ya udktari..hii haikubaliki yani no dhulma kwa wale wanaosoma PCB! Haiwezekani umshindanishe mtu wa CBG ambayo ni rahisi kufaulu kuliko PCB Kwenda kwenye chuo hicho hicho..geography an physics wapi na wapi? Jamani TCU jiangalieni..ndio maana muhimbili waliwakataa hao wanafunzi waliokimbia physics..hakuna DAKTARI bila physics!take it or leave it..watafutieni Jina lingine

Pole sana, kwani umekosa kuchaguliwa??mie nimesoma PCB na ni daktari wa siku nyingi, ila physics ya A level sikumbuki ilinisaidia wapi, sioni tatizo lolote la wa CBG kusomea udaktari, hata kama angekuwa wa HGL, MD unaanza upya vitu vingi, ni kozi inayojitegemea, siamini kama tunatumia vya nyuma. Tuache tu maana hakuna criteria iliyo asilimia mia duniani, ni tentative tu kutokana na mawazo ya ambao wanakuwa wameamua kuweka utaratibu kwa wakati huo
 
If you do not appreciate the gist of chemistry in medicine, then you daktari njaa! Sio wote ni madaktari, kuna wa ku-prescribe chloroquine, na wa brain surgery!

Usually huwa sipendi sana kubishana kwa mambo madogo madogo kama haya.Ila unaonaje ukatoa mfano hapa ni wapi kwenye subjects za medicine ambapo ni kemia ya a-level tu inahitajika ili mtu aelewe ambapo ile ya o-level haiwezi.

Ni kweli kibinadamu kila mtu angependa kuonekana wa pekee sana kwenye fani yake! Lakini basi atuthibitishie huo upekee wake ambao wengine hawawezi kuufikia.Mimi nadhani tungeangalia madaktari wanaohitimu masomo yao kama kweli kuna tofauti yoyote kiutendaji kati ya aliyesoma physics/chemistry ya O & A-Level.

Kwa watu aliosoma medicine watakubaliana na mimi kuwa pale almost everything starts from 'a'. Kule hawasomi physics/chemistry kama ile ya secondary-kwa maana nyingine ni kwamba,ule sio mwendelezo wa topics za A-level,najua hapa ndipo watu wanataka tuamini hivyo! Which is not true. Chuoni masomo haya yanakuwa modified ili kuendana na kozi husika.Ni biology tu ndio nimeona watu wanasoma kama mwendelezo wa ile ya A-level,which means,you go deep hasa kwenye anatomy,physiology,biochemistry,pharmacology, microbiology na parasitology.

Anyway,kama daktari kushiba(sio njaa) ni kusoma physics na chemistry A-Level,fine. Ila naamini waliosoma fani hii wanajua ukweli ulivyo.
 
Usually huwa sipendi sana kubishana kwa mambo madogo madogo kama haya.Ila unaonaje ukatoa mfano hapa ni wapi kwenye subjects za medicine ambapo ni kemia ya a-level tu inahitajika ili mtu aelewe ambapo ile ya o-level haiwezi.

Ni kweli kibinadamu kila mtu angependa kuonekana wa pekee sana kwenye fani yake! Lakini basi atuthibitishie huo upekee wake ambao wengine hawawezi kuufikia.Mimi nadhani tungeangalia madaktari wanaohitimu masomo yao kama kweli kuna tofauti yoyote kiutendaji kati ya aliyesoma physics/chemistry ya O & A-Level.

Kwa watu aliosoma medicine watakubaliana na mimi kuwa pale almost everything starts from 'a'. Kule hawasomi physics/chemistry kama ile ya secondary-kwa maana nyingine ni kwamba,ule sio mwendelezo wa topics za A-level,najua hapa ndipo watu wanataka tuamini hivyo! Which is not true. Chuoni masomo haya yanakuwa modified ili kuendana na kozi husika.Ni biology tu ndio nimeona watu wanasoma kama mwendelezo wa ile ya A-level,which means,you go deep hasa kwenye anatomy,physiology,biochemistry,pharmacology, microbiology na parasitology.

Anyway,kama daktari kushiba(sio njaa) ni kusoma physics na chemistry A-Level,fine. Ila naamini waliosoma fani hii wanajua ukweli ulivyo.

Nimekuelewa sana. Na upo sahihi! LAKINI- tuna vigezo tulivyojiwekea, lazima tuvifuate. Ndio maana Bush lawyers hawezi kusimama mahakamani kwa Judge ingawa anaweza through experience akawa na uelewa wa sheria. Tumesema kuwa jamani MD lazima asome PCB, ukikiuka hiyo hujafikia vigezo! Kwa wanaotoka kazini clinical officer, AMO wanasoma udaktari, tumekubaliana kuwa nao wanaweza kusoma MD kama..... Tuheshimu hiyo! Penye red nina mashaka! Hivyo mtu wa HKL anaweza kuja kusoma medicine/engineering!!!!!!!!!!!!!! Otherwise uko sahihi kwa yaliyo mengi!
 
Madaktari (hasa wa tanzania)...wamejengwa na egocentrism ya kufa mtu.....na hii inaanzia mbali sana toka sekondari...dharau zinaanza kwa wanaosoma kombi nyingine...unaingia chuo labda tuseme Muhimbili...unajifunza kudharau waliosoma IMTU...unaingia kazini...unaanza kuona ma-AMO si kitu kabisa na inaendelea...ndio maana hakuna field yenye majungu kama medicine....hii ni kozi inachukua cream ya taifa ila kiukweli madaktari wengi "wamefulia" kwa ujinga kama unaounyesha hapo juu....nimekaa kota za muhimbili najua ninachoongea....tunajiona sisi ndio mwisho mpaka hatupendi kushirikiana na kusaidiana....sasa angalia hapo juu jamaa linamponda ZeMarcopolo ati chinja chinja.....Majungu na Pombe tu....ndio maana waliopata division 3 na kwenda kozi nyingine wanapotupita kimaendeleo tuna-mind ila yote hii ni kutojitambua.......Wewe utakuwa na hasira na mtu fulani alisoma CBG sasa wakati mko sekondari ulifikiri ataenda kusoma "Chuo cha Nyuki" sasa kapata medicine kama wewe naona hata kulala umeshindwa....

Nishakueleza hapo awali...Physics muhimu ila sio kama unavyotaka kudanganya watu hapa ioenekane bonge la ishu...waliosoma Medicine wanalifahamu hilo.....Pole kama imekuuma ila endelea kubwabwaja ila watu wanasonga mjomba utashangaa giza limeingia ujafikisha hesabu....TAFAKARI

mkuu kweli mjasili ahaachi asili,we unazungumzia ubaguzi halafu unataja chuo cha nyuki,sio ndio hao SUA mnavyowaita? Wanasomea udaktari wa nyuki?
 
Last edited by a moderator:
Hapa naona kuna first year ambao bado usekondari usekondari umewajaaa
 
Nimekuelewa sana. Na upo sahihi! LAKINI- tuna vigezo tulivyojiwekea, lazima tuvifuate. Ndio maana Bush lawyers hawezi kusimama mahakamani kwa Judge ingawa anaweza through experience akawa na uelewa wa sheria. Tumesema kuwa jamani MD lazima asome PCB, ukikiuka hiyo hujafikia vigezo! Kwa wanaotoka kazini clinical officer, AMO wanasoma udaktari, tumekubaliana kuwa nao wanaweza kusoma MD kama..... Tuheshimu hiyo! Penye red nina mashaka! Hivyo mtu wa HKL anaweza kuja kusoma medicine/engineering!!!!!!!!!!!!!! Otherwise uko sahihi kwa yaliyo mengi!

Sawa mkuu.Kama sijakosea,wewe hoja yako ni kwamba tufuate utaratibu tuliojiwekea,siyo? Kwa hiyo hakuna haja tena kureview huo utaratibu,siyo? Very good scientific reasoning indeed! NO COMMENT!
 
ZeMarcopolo hebu mweleze apate kuelewa.

Acha ushamba na ujinga. Vyuo vipi kufundisha madaktari sio kupitisha madaktari. Kama chuo kinafanya kazi ya kufundisha kwa ufasaha hata mtu wa HGL anaweza kusoma udaktari.
 
Last edited by a moderator:
Sawa mkuu.Kama sijakosea,wewe hoja yako ni kwamba tufuate utaratibu tuliojiwekea,siyo? Kwa hiyo hakuna haja tena kureview huo utaratibu,siyo? Very good scientific reasoning indeed! NO COMMENT!

No this is an evolving society, we need to change accordingly but without compromising quality. Tufanye review sawa lakini tusitoke nje ya misingi inayokubalika kimataifa-international standards. Tunaweza kusema MD wasome miaka 3 kama walimu. Sawa, lakini tutaweza kufundisha yanayopashwa daktari kuyajua kwa kusoma miaka mitatu! Kujua physics kunakupa nafasi zaidi ya kujua matumizi ya vifaa tiba ambavyo ni complicated kwa urahisi na uelewa zaidi kuliko mtu ambaye hajasoma basic principles of physics. Anyway, let us review our entry qualifications without compromising quality of our products
 
Pole sana, kwani umekosa kuchaguliwa??mie nimesoma PCB na ni daktari wa siku nyingi, ila physics ya A level sikumbuki ilinisaidia wapi, sioni tatizo lolote la wa CBG kusomea udaktari, hata kama angekuwa wa HGL, MD unaanza upya vitu vingi, ni kozi inayojitegemea, siamini kama tunatumia vya nyuma. Tuache tu maana hakuna criteria iliyo asilimia mia duniani, ni tentative tu kutokana na mawazo ya ambao wanakuwa wameamua kuweka utaratibu kwa wakati huo
Kwa hiyo unasema hakuna sababu ya kuwa na michepuo! hakuna sababu ya grading katika ufaulu kila mmoja anaweza kusoma tu hata wa div 0 anaweza kusoma medicine sababu vitu vingi unaanza upya. Kumbe rahisi hivyo nami kesho nakwenda kuwa daktari
 
To be sincere huu mjadala ni mkali,(ila ni baadhi ya vitu TU kuwekana sawa)

Kwa maoni yangu,

Sayansi(Science) ni somo/(masomo) kubwa, hata hivyo imegawanyika katika sehemu nyingi(branches). Medicine ni sehemu mojawapo ya sehemu ya Sayansi(Science) ingawaje pia bado imegawanyika katika sehemu nyingi.

Ikumbukwe kuwa kama baadhi ya fani nyingine kama(Uhandisi) fani ya udaktari vivyo hivyo ambapo aliyemaliza anaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile duniani, hivyo hii kuweza kuleta usawa(uniformity) wa masomo ili kuwa daktari.Yaani masomo yale yale husomwa(kutegemeana na mitaala ya nchi) mf.

-U.S (Kusoma Physics, Chemistry, Biology, Maths..refer MCAT na AAMC)
-U.K, Canada, Australia, India (Kusoma PCB, na kama mwanafunzi hakusoma atatakiwa kusoma 30weeks ya relevant/applied Science).
-Vile vile nchi kama India, Czech n.k
Nchi kama Russia, China, Uturuki, Ureno n.k(hizi huitaji kusoma language) hii ikiwa na maana lazima mtu atumie lugha ile ya nchi yao na wengine kusoma kiingereza.

Hivyo basi kwa kutegemeana na nchi husika, requirements/minimal requirements za admission ni zile zile kama Science(Chemistry na Biology) na Physics na Maths...Iwapo Mwanafunzi alisoma Science(say Science major) na kutosoma baadhi ya masomo hutumia muda wa mwaka mmoja hafi mwaka na nusu kusoma tena Physics, Mathematics na Language, ili awe na ADMISSION criteria, Hii ni popote pale duniani.

Hivyo basi, inawezekana usisome Physics na Maths mwanzoni lakini baadaye ITAKUBIDI kuisoma tu(Applied Physics), in Pre-med school (yaani MED-P) kabla ya kujiunga na medical school.

Katika fani/taaluma ya udaktari kuna ngazi tofauti yaani mf. MD, Specialization(Udaktari Bingwa), na Superspecialization. Ingawaje daktari bingwa(mf. daktari wa upasuaji(Surgeon) amebobea katika tasnia yake bado ana uelewa fulani wa branches nyingine za medicine mf. Psychiatry(magonjwa ya akili).Lakini haimfanyi kuwa Psychiatrist.

Hivyo basi kwa kupitia elimu ya fizikia, mechanism za injury hasa watu wa ajali(type of force, direction of force, etc in Orthopedics and Traumatology) na pia hasa katika ulimwengu huu wa vifaa kazi mf. Laparoscopy, Oesophagoduedunoscopy,MRI, USS, Cystoscopy, Nuclear medicine, Diathermy uses siamini(i stand to be corrected) kuwa physics itaepukwa.
Hata hivyo ni applied science(Science Minor) kukuwezesha kuwa na knowledge fulani lakini haimaanishi/haikifanyi kuwa Physicist.
ndugu mtu aliyesoma miaka minne ya fizikia na hesabu yaani o-level na anaesoma apllied sayansi kwa wiki 30 yaani miezi saba na nusu unafikiri nani anakuwa ameiva vizuri? mi bado naamini fizikia ya o-level inamtosha mtu kusoma MD lakini biology na chemistry lazima awe amesoma A-level lasivyo hataweza kuelewa biochemistry.
 
Si umeona, eheee? Mfumo wa elimu hapa kwetu is useless.[/QU!OTE]
Mtu alyesoma CBG anaweza kusoma MD bila shida yeyote kabisa na sana sana atakachotumia ni biology na chemistry, physics ina sehemu ndogo sana tusidanganye watu. Mara nyingi sana, first year na second watasoma anatomy ambapo biology itamsaidia na physiology ambapo chemistry itamsaidia tena kidogo kwenye 'sterling forces'. Otherwise masomo mengine kama pathology, pharmacology, parasitology etc ni kama anaanza upya. Sana sana physics kwa watu wa Pharmacy ndio wangeihitaji sana kuliko Md, lakini nao wanahitaji chemistry zaidi kuliko physics hasa kwenye pharmakokinetics ambapo kuna mahesabu sana, na hapo msingi wa A'level wa physical chemistry utahitajika. Tatizo ni mfumo tu.
 
Back
Top Bottom