To be sincere huu mjadala ni mkali,(ila ni baadhi ya vitu TU kuwekana sawa)
Kwa maoni yangu,
Sayansi(Science) ni somo/(masomo) kubwa, hata hivyo imegawanyika katika sehemu nyingi(branches). Medicine ni sehemu mojawapo ya sehemu ya Sayansi(Science) ingawaje pia bado imegawanyika katika sehemu nyingi.
Ikumbukwe kuwa kama baadhi ya fani nyingine kama(Uhandisi) fani ya udaktari vivyo hivyo ambapo aliyemaliza anaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile duniani, hivyo hii kuweza kuleta usawa(uniformity) wa masomo ili kuwa daktari.Yaani masomo yale yale husomwa(kutegemeana na mitaala ya nchi) mf.
-U.S (Kusoma Physics, Chemistry, Biology, Maths..refer MCAT na AAMC)
-U.K, Canada, Australia, India (Kusoma PCB, na kama mwanafunzi hakusoma atatakiwa kusoma 30weeks ya relevant/applied Science).
-Vile vile nchi kama India, Czech n.k
Nchi kama Russia, China, Uturuki, Ureno n.k(hizi huitaji kusoma language) hii ikiwa na maana lazima mtu atumie lugha ile ya nchi yao na wengine kusoma kiingereza.
Hivyo basi kwa kutegemeana na nchi husika, requirements/minimal requirements za admission ni zile zile kama Science(Chemistry na Biology) na Physics na Maths...Iwapo Mwanafunzi alisoma Science(say Science major) na kutosoma baadhi ya masomo hutumia muda wa mwaka mmoja hafi mwaka na nusu kusoma tena Physics, Mathematics na Language, ili awe na ADMISSION criteria, Hii ni popote pale duniani.
Hivyo basi, inawezekana usisome Physics na Maths mwanzoni lakini baadaye ITAKUBIDI kuisoma tu(Applied Physics), in Pre-med school (yaani MED-P) kabla ya kujiunga na medical school.
Katika fani/taaluma ya udaktari kuna ngazi tofauti yaani mf. MD, Specialization(Udaktari Bingwa), na Superspecialization. Ingawaje daktari bingwa(mf. daktari wa upasuaji(Surgeon) amebobea katika tasnia yake bado ana uelewa fulani wa branches nyingine za medicine mf. Psychiatry(magonjwa ya akili).Lakini haimfanyi kuwa Psychiatrist.
Hivyo basi kwa kupitia elimu ya fizikia, mechanism za injury hasa watu wa ajali(type of force, direction of force, etc in Orthopedics and Traumatology) na pia hasa katika ulimwengu huu wa vifaa kazi mf. Laparoscopy, Oesophagoduedunoscopy,MRI, USS, Cystoscopy, Nuclear medicine, Diathermy uses siamini(i stand to be corrected) kuwa physics itaepukwa.
Hata hivyo ni applied science(Science Minor) kukuwezesha kuwa na knowledge fulani lakini haimaanishi/haikifanyi kuwa Physicist.