Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
- Thread starter
- #61
Ilitokea bahati mbaya hata sikua na wazousishike simu ya mtu, shika ya kwako tu
Ilitokea bahati mbaya hata sikua na wazousishike simu ya mtu, shika ya kwako tu
Dah! yani ni hatari sana mkuu,tufanye tu scout mpya no wayKaka mm mwenyewe sas HV nimepewa Taarifa mbaya Sanaa mwanamke ambaye nilitazamia nimuoe januari mwakan nimepewa Taarifa kuwa yuko kwao na anaujauzito ..na kwa taakriban miez mitatu nyuma huyu mwanamke alikuwaa akinikwepa kwepa kumbe alikuwaa na Jambo lake
Mkuu unanifurahishaga sana na comment zako "controversial" ila very excitingUnatakiwa Umuoe ili atulie...
sasa umejifunza hahahaIlitokea bahati mbaya hata sikua na wazo
hahahahaa wallah nimecheka japo sio kwa kupendaUnataka awe na wewe tu je ukifa? Umefikiria hilo? We muoe mueke ndani
Ni muhimu kua na plan B ikiwezekana mpka Zhahahahaa wallah nimecheka japo sio kwa kupenda
Mzee kupenda wanawake wa mjini ni kama kulima shamba la miwa pembeni ya shule 😂😂😂!!!Wakuu
Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni
Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.
Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi![]()
Unahisi yameisha mkuu, anakulia timming nawewe atakuliza soon.😂😂😂Usishike simu ya mpenzi wako.
Wife alishika ya kwangu ndani kukawa na bifu la wiki mbili nzima. Sema nikiwa kama kidume sikosi cha kujitetea na mambo yameisha. Nikamuonya sio vizuri tushikiane simu.
Simu simu weeeee
Pole Sana kiongozi, Inaumiza Sana ki ukweli.Mojawapo naona anasisitiza anampenda sana jamaa kama ambavo huniambia
Nyingine naona analaumiwa hakutokea Jpili maskani kama walivohaidiana
Nyingine naona anachat na Ticha wake ila wanavoitana unaona kuna jambo linaendelea
Nyingine ndo hiyo wanakaribishana bed na mshkaji anamwambia hadi alivovaa
etc etc
Huku kujiamini wanawake nahisi tafsiri yake hamuijui kabisa yani. Ina maana mwanaume akae kimya anapoona unatongozwa na mafisi au kuitwa chocho zao. Yeye akiona akaushe tu ili kusudi umuone anajiamini?Shida ni kwamba watu hamjiamini, na kama Mwanaume halafu haujiamini Mwanamke anaona haraka sana na kukudharau, ukiwa mtu wa kujiamini uta-date mademu wanaojiamini pia na hivyo kuwa na Mahusiano bora na ya kudumu yaliyo na heshima na shaha, sasa swali linakuja unawezaje kujiamini kama Mwanaume? Siyo rahisi kihivyo kwani ni swala la malezi kama ulilelewa na baba asiyejiamini na asiyemwamini Mke wake uwezekano wa wewe kutokujiamini ni mkubwa sana, ...
Huku kujiamini wanawake nahisi tafsiri yake hamuijui kabisa yani. Ina maana mwanaume akae kimya anapoona unatongozwa na mafisi au kuitwa chocho zao. Yeye akiona akaushe tu ili kusudi umuone anajiamini?
Kumkalia kimya malaya ili tu akuone unajiamini ni uzwazwa. Ukileta flirting around lazma uchanwe na kupigwa chini. Wanawake wengi wanatumia hili neno "kutojiamini" kama silaha ya kuwanyamazisha wanaume wenye wasiwasi na nyendo zao.
Binadamu anabadilika mda wowote mkuu. Thats why watu wanaoa na kuachana mkuu.Kama unajiamini huwezi ku-date Mwanamke ambaye anaweza kukufanyia hayo uliyayataja, ukijiamini utajithamini na kutafuta mtu ambaye pia atakuthamini I mean, aina ya demu unaye date inatoa pia tafsiri ya wewe jinsi ulivyo na mipaka uliyojiwekea kimaisha, ...
Binadamu anabadilika mda wowote mkuu. Thats why watu wanaoa na kuachana mkuu.
Unaemuona bora sasa kesho anaweza kukustaajabisha sana.
Inabidi nizame bush tu japo Wadau walisema ni wale waleM
Mzee kupenda wanawake wa mjini ni kama kulima shamba la miwa pembeni ya shule!!!
Usimuamini mwanamke wa mjini kamwe![]()