Dah! No true love

Dah! No true love

Pole sana mkuu, sahiv mpenz wa peke ako nafikiri hayupo, usijiumize kama unaona huwez kumuacha mweleze apunguze mabwana mbaki hata watatu, ila kama unaweza piga chini mkuu
Yani ni hatar nawaza hata nimwambie au niache
Afu cha ajabu changamoto zake hata za kiuchumi najitahidi kuzitatua,hawa wengine mbona hawamsaidii yuko vile vile?
 
Kutongozwa sio shida,ila hapa kwenye hizi chats anatoa ushirikiano mno kiasi cha kusema hata amevaaje akiwa amelala
kutoa ushirikiano haimanishi kua huo ndo ukweli wa moyo wake, ke nao ni kama sisi unaeza kua na watu 20 bt ukweli wa moyo unajua ni yupi umpendae hivo hupaswi mhukumu ajili ya ushirikiano huo maana hata wewe unapotongoza usio wapenda huwapa ushirikiano hata kama ni kwa kuigiza
 
Shida ni kwamba watu hamjiamini, na kama Mwanaume halafu haujiamini Mwanamke anaona haraka sana na kukudharau, ukiwa mtu wa kujiamini uta-date mademu wanaojiamini pia na hivyo kuwa na Mahusiano bora na ya kudumu yaliyo na heshima na shaha, sasa swali linakuja unawezaje kujiamini kama Mwanaume? Siyo rahisi kihivyo kwani ni swala la malezi kama ulilelewa na baba asiyejiamini na asiyemwamini Mke wake uwezekano wa wewe kutokujiamini ni mkubwa sana, ...
 
Usikute ni rafiki zake tu wa kawaida au ni kweli wanamsumbua ila hana mahusiano nao.

Labda tupe mfano wa hizo msg zinazungumzia nn!??
Mojawapo naona anasisitiza anampenda sana jamaa kama ambavo huniambia

Nyingine naona analaumiwa hakutokea Jpili maskani kama walivohaidiana

Nyingine naona anachat na Ticha wake ila wanavoitana unaona kuna jambo linaendelea


Nyingine ndo hiyo wanakaribishana bed na mshkaji anamwambia hadi alivovaa

etc etc
 
Shida ni kwamba watu hamjiamini, na kama Mwanaume halafu haujiamini Mwanamke anaona haraka sana na kukudharau, ukiwa mtu wa kujiamini uta-date mademu wanaojiamini pia na hivyo kuwa na Mahusiano bora na ya kudumu yaliyo na heshima na shaha, sasa swali linakuja unawezaje kujiamini kama Mwanaume? Siyo rahisi kihivyo kwani ni swala la malezi kama ulilelewa na baba asiyejiamini na asiyemwamini Mke wake uwezekano wa wewe kutokujiamini ni mkubwa sana, ...
Hasa hapa kosa langu lipi
 
Wakuu

Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni

Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.

Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi
Kaka mm mwenyewe sas HV nimepewa Taarifa mbaya Sanaa mwanamke ambaye nilitazamia nimuoe januari mwakan nimepewa Taarifa kuwa yuko kwao na anaujauzito ..na kwa taakriban miez mitatu nyuma huyu mwanamke alikuwaa akinikwepa kwepa kumbe alikuwaa na Jambo lake
 
Unataka awe na wewe tu je ukifa? Umefikiria hilo? We muoe mueke ndani
ataowa vip mwanamke mwenye wanaume 11 hiyo nitimu ya mpira kasoro rizevu tu inaonyesha hata wewe una msururu tu mnaambiwa sitirini tupu zenu ila mtu unakubali kila atakae unamvulia nguo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
kutoa ushirikiano haimanishi kua huo ndo ukweli wa moyo wake, ke nao ni kama sisi unaeza kua na watu 20 bt ukweli wa moyo unajua ni yupi umpendae hivo hupaswi mhukumu ajili ya ushirikiano huo maana hata wewe unapotongoza usio wapenda huwapa ushirikiano hata kama ni kwa kuigiza
Dah! poa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom