kabisa mkuu usikute wewe ndio umewekeza wenzio wanagonga tuUsimpe moyo wako mpenzi wako, mpe kucha na nywele, hata ukivikata vitaota Tena. Moyo hauna spea Singasinga
kabisa mkuu usikute wewe ndio umewekeza wenzio wanagonga tuUsimpe moyo wako mpenzi wako, mpe kucha na nywele, hata ukivikata vitaota Tena. Moyo hauna spea Singasinga
Mimi kila demu ninayegonga lazima nimwambie kuwa Mimi napenda pull kuliko nikupendavyo, ukinizingua kidogo tu imekula kwakokabisa mkuu usikute wewe ndio umewekeza wenzio wanagonga tu
Kumekucha!!!Unatakiwa Umuoe ili atulie...
Haa😁😂Park at your own risk
Wakuu
Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni
Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.
Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi[emoj
Ndugu ni hatari,Pole sana
Cheka Sana ila omba yasikukute
Dah! kama ndo hivi hakuna haja ya kuoa(Kwa mimi)Enjoy bro mapenzi matamu sana. Tuliahidiana tusishike simu za wapenzi, we ulienda kushika ya nini?
Sahihi kaka me nkimuamini mtu huwa sihofiiWe una wangapi mkuu, na kwa utahira huo utakuwa ushapiga kavu, nakushauri kapime kwanza acha kuwaza hao mabwana kumi.
Ni kiama inaumiza moyo sana,unajihisi hopeless kabisaUsishike simu ya mpenzi wako.
Wife alishika ya kwangu ndani kukawa na bifu la wiki mbili nzima. Sema nikiwa kama kidume sikosi cha kujitetea na mambo yameisha. Nikamuonya sio vizuri tushikiane simu.
Simu simu weeeee
Shukrani kakaPole sana...
Pole sana mkuu, sahiv mpenz wa peke ako nafikiri hayupo, usijiumize kama unaona huwez kumuacha mweleze apunguze mabwana mbaki hata watatu, ila kama unaweza piga chini mkuuWakuu
Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni
Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.
Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi![]()
Hata kama wapo ila sidhani kama mwanamke anapaswa kuwa na bwana zaidi ya mmoja hata tukirudi kwenye maandikoMbona wewe hujaachana na neema, asha na ireen?
Anamalizia issue zake za kimasomoUnatakiwa Umuoe ili atulie...
Hatari sana kakaUsimpe moyo wako mpenzi wako, mpe kucha na nywele, hata ukivikata vitaota Tena. Moyo hauna spea Singasinga
Kaka unadhani hata mimi natumia nguvu basiKila siku mnaambiwa ukimpenda mtu usimpende kw moyo wote hamsikii... Ukiona unatumia nguvu kubwa kumpenda mtu ujue upo kwny wrong relationship.. na siku zote mtu aliyejitolea xana kumpenda mtu ndy mwisho wa siku anaumia yy.