Dah! No true love

Dah! No true love

65% ya wana ndoa wenye zaidi ya 5yrs of marriage wana ishi sababu ya kuonekana ni couples but deep down there is no affection kati yao Bali ni conditional love na kuwalea watoto.
 
Pole Sana kiongozi, Inaumiza Sana ki ukweli.

Kipind hiki Cha magonjwa ndo hatar zaidi.
Kwa upande wangu ningepiga chini maana sio mke bado.
Jaribu kumtangazia kumuacha uone anasemaje ukiona anaonba msamaha na kuahidi hawez rudia basi huna budi kumsamehe ila ukiona as if hajari basi achana nae atakutesa Sana.
Hawa watu wa masomoni bwana hawaamiki kabisa.
Dah! yani malezi nlopata na hulka yangu
Napata majonzi sana kuona hakuna aina ya wanawake nnaotaman kumpata

Nimefanya scout nyingi sana mpaka nlipokomea kwa huyu zote zimeprov failure

Hapa mwakani nafikisha 30 nlitaman sana nianze maandalizi ndani ya mwaka ujao nioe
 
Huku kujiamini wanawake nahisi tafsiri yake hamuijui kabisa yani. Ina maana mwanaume akae kimya anapoona unatongozwa na mafisi au kuitwa chocho zao. Yeye akiona akaushe tu ili kusudi umuone anajiamini?

Kumkalia kimya malaya ili tu akuone unajiamini ni uzwazwa. Ukileta flirting around lazma uchanwe na kupigwa chini. Wanawake wengi wanatumia hili neno "kutojiamini" kama silaha ya kuwanyamazisha wanaume wenye wasiwasi na nyendo zao.
Hata huyu hii kauli huwa ananijaza sana
Kabla sijakutana na hizi sms za jana
Ndo hapa nimepata picha
 
65% ya wana ndoa wenye zaidi ya 5yrs of marriage wana ishi sababu ya kuonekana ni couples but deep down there is no affection kati yao Bali ni conditional love na kuwalea watoto.
Sure
 
Unahisi yameisha mkuu, anakulia timming nawewe atakuliza soon.😂😂😂
Dah huyu bhana hana mambo hayo kabisa. Mi wanawake nawajua sana nshachafua chafua sana lkn kwa huyu hanaga kabisa hizo mambo. Simtetei.
Ni mwanamke wa kipekee sana.
Japo sitakiwi kuweka mia kwa mia ile kibaharia baharia.
 
Dah! yani malezi nlopata na hulka yangu
Napata majonzi sana kuona hakuna aina ya wanawake nnaotaman kumpata

Nimefanya scout nyingi sana mpaka nlipokomea kwa huyu zote zimeprov failure

Hapa mwakani nafikisha 30 nlitaman sana nianze maandalizi ndani ya mwaka ujao nioe
Pole Sana kijan, I feel the pain you feel.

Mrejesho plz, vipi umemuuliza chochote na response ipoje??
 
Wakuu

Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni

Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.

Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi
Yani kwa mabinti wa sasa hivi huwezi kuwa peke yako ukimchunguza tu lazima uumie.
 
Dah! yani malezi nlopata na hulka yangu
Napata majonzi sana kuona hakuna aina ya wanawake nnaotaman kumpata

Nimefanya scout nyingi sana mpaka nlipokomea kwa huyu zote zimeprov failure

Hapa mwakani nafikisha 30 nlitaman sana nianze maandalizi ndani ya mwaka ujao nioe
Faza yaani miaka 30 tu ndio unapata moto hivyo!? Enewei, kila mtu na mipangilio yake. Nina 30+ sasa ishu ya kuoa naifikiria ila haijawa kipaumbele bado
 
Huku kujiamini wanawake nahisi tafsiri yake hamuijui kabisa yani. Ina maana mwanaume akae kimya anapoona unatongozwa na mafisi au kuitwa chocho zao. Yeye akiona akaushe tu ili kusudi umuone anajiamini?

Kumkalia kimya malaya ili tu akuone unajiamini ni uzwazwa. Ukileta flirting around lazma uchanwe na kupigwa chini. Wanawake wengi wanatumia hili neno "kutojiamini" kama silaha ya kuwanyamazisha wanaume wenye wasiwasi na nyendo zao.
Umesahau waongeze na makonzi

Kingsmann
 
pole mkuu bt maumivu unayopitia ni ajili ya kuingilia privacy za watu, ukishampenda mtu kinachofuata muamini kisha uangalie kama anakutreat vizuri inatosha, mambo yakumfuatilia utakuja jisababishia matatizo bure
Sasa Kama mke wako au mtarajiwa na unantunza usichunguze.!???

Mara moja moja muhimu Sana.
 
Wakuu

Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni

Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.

Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi

Utakufa bure wewe mapigo ya moyo kisa mpenzi bora ukauze iyo simu unywe bia zako ukalale gesti na mwajuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom