AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,114
- Thread starter
- #1,021
Mi simooooo... Ila mkinibana sana naweza kurudisha sehemu ya pesa (nadhani nimekazika kama shilingi 16 500 hivi) lol
Oh Alter inabidi nikuombe MSAMAHA dear... Huyo ni RR wa kundi la akina Kaizer.... lol... Kuna jamaa karusha uzi kaliwa pesa na kidume alie kua anajifanya mdada....lol...