Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
watoto wajanja nyie leo nimewavulia nguo siwaweziLawyer hashtakiwi, ombeni razi kabla sjawageuzia kibao mbele ya kipipi
watoto wajanja nyie leo nimewavulia nguo siwaweziLawyer hashtakiwi, ombeni razi kabla sjawageuzia kibao mbele ya kipipi
Haujakutana hata post moja accidentally kipipi ananiulizia?Mie mwenyewe nisha acha kuangalia niliishia wapi, ninapoukuta najiunga papo hapo....lol...
mmmmh kwa lipi?Haujakutana hata post moja accidentally kipipi ananiulizia?
The Finest ashamwibia mtu halaf katoa namba yangu ya sim nini? huyu mzembe nishamuonya sana lakini haskiiwatoto wajanja nyie leo nimewavulia nguo siwawezi
maana kwenye huo mgao ulikuwepo.lohJamani mimi sitaku ushahidi hapa....lol
Tena leo ofisini kaajiliwa sekretari mpya niko kwenye mood kweli aisee.Jamani mimi sitaku ushahidi hapa....lol
yule mtakatifu hawezi kuiba huo wizi umefanywa na familia yenu hadi shem yupo lohThe Finest ashamwibia mtu halaf katoa namba yangu ya sim nini? huyu mzembe nishamuonya sana lakini haskii
Siamini nayoyasoma...yaani smile wangu kabisa umevua???watoto wajanja nyie leo nimewavulia nguo siwawezi
Khaaaaa! hivi kumbe bado sjaweka hazarani uhusiano wangu na kipipi?mmmmh kwa lipi?
kiswahili hicho mpenziSiamini nayoyasoma...yaani smile wangu kabisa umevua???
Endeleeni kumwamini tu, mzembe juzi tu kampatia ujauzito mlemavu flani boda la malawiyule mtakatifu hawezi kuiba huo wizi umefanywa na familia yenu hadi shem yupo loh
hehehe Dah!Siamini nayoyasoma...yaani smile wangu kabisa umevua???
dah! presha imeshuka now...ilikuwa nimwibukie klorokwini popote alipo!kiswahili hicho mpenzi
watoto wajanja nyie leo nimewavulia nguo siwawezi
mmmmh kwa lipi?
maana kwenye huo mgao ulikuwepo.loh
Haujakutana hata post moja accidentally kipipi ananiulizia?
Tena leo ofisini kaajiliwa sekretari mpya niko kwenye mood kweli aisee.
kweli sis una akili sana kuna siku RR aliaga akasema kuna mtu amemtumia hela akatualika bwana loh kumbe?Mdogo wangu believe me sikuwepo, na NARUDIA Sweetie hakuhusika... Nimechoka kuficha Siri ni kati ya hawa... Klorokwin, ODM, The Finest na RR (hasa RR maana hajaonekana kabisa yawezekana anatumbua hizo pesa) lol
ahaaa huu mthread ni wa kufall in love na mimi natangaza hapa nimefall kwa rejao roho yangu ipo kutkut kut kila nionapo huo mpua lohdah! presha imeshuka now...ilikuwa nimwibukie klorokwini popote alipo!
ile story imenifurahisha sana! nimecheka sana!Kloro tuache hayo kwanza... Kuna jamaa alikua anachat na mmoja wenu akaongopa ni mdada na kumwambia atume pesa ya nauli toka Arusha... Ni nani katika kundi lenu lile?? lol
waoooooooooooooooo.................watalia sana watu humu!ahaaa huu mthread ni wa kufall in love na mimi natangaza hapa nimefall kwa rejao roho yangu ipo kutkut kut kila nionapo huo mpua loh