Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

we acha halafu umkute mtu mwenyewe mambo yote anachukulia kirahisi rahisi roho itakusimama mpaka ujute aliyetengeneza mapenzi angejua toka mwanzo angeacha tu!



Chauro ukianza kugungua anakuboa... Then love ishaanza kuyeyuka hio.....lol... Yaaani wee unakua huoni....
 
Jamani your gal friend umtafutie visa?? C'mon... and preserve that nerve.....lol... Taking in mind he is a married Bachelor.

ha ha ha, married bachelor aka MBA(Married But Available)
Mie yalinishinda, kufa na kijiba cha roho ila ukisema presha hupingua na kuanza kumuona wa kawaida.
 
etieeeeeee si unajua mapenzi upofu mpenzi ukiambiwa cheusi unaendelea ngangani cheupe ukija zinduka mpaka mabawa yameyeyuka ...............mie nahisi kupendwa kutamu zaidi!

Chauro ukianza kugungua anakuboa... Then love ishaanza kuyeyuka hio.....lol... Yaaani wee unakua huoni....
 
["I think I am in LOVE" ila sio kiviile moyo wangu ushakuwa sugu sishtuki shtuki ovyo .simiss kiviile akiwepo poa asipokuwepo poa tu ,kazi napiga kama kawaida yaani aniaffect kiviile but anatouch maisha yangu vyovyote anavofanya naona sawa tu ila namshukuru mungu i think ananipendapenda kweli maana ......................................................






(
]
 
ha ha ha, married bachelor aka MBA(Married But Available)
Mie yalinishinda, kufa na kijiba cha roho ila ukisema presha hupingua na kuanza kumuona wa kawaida.


Kongosho, the Man is interested in Interesting women (as per his say) are you saying umeshindwa na hali ni evident you are interesting?? lol
 
etieeeeeee si unajua mapenzi upofu mpenzi ukiambiwa cheusi unaendelea ngangani cheupe ukija zinduka mpaka mabawa yameyeyuka ...............mie nahisi kupendwa kutamu zaidi!



mmmh!! Chauro mie naona kupenda raha zaidi,.... Sasa hio ikiambatana na kupendwa.... Asikuambie mtu.... Heaven on Earth! lol
 
Dada,Love is the friendship that cautht fire.It take roots and grows one day at the time.INFATUATION is marked by a feeling of insecurity.It says"we must get married right away,i cant risk loosing u".It has an element of sexual excitement,Kwa kuongeza dada,ni kuwa mimi nilizungumzia hali ulizozungumzia wewe kuwa anakua mapenzini nikaja na mtazamo tofauti kuwa ukiwa na hali hiyo unakuwa hauko mapenzini bali ni mhemko inayosababisha aina ya ukichaa,na ni ugonjwa unahitaji tiba sio kuukumbatia kama ulivyosema mwishoni.Halafu kingine ambacho umechanganya ni kujadili upendo na mtu kujihusisha na mahusiano,hivi ni vitu viwili tofauti,hapa tunapojadili upendo au hali anayokua nayo mtu mwenye hisia za upendo wa kweli huku akijua anachokifanya haiathiriwi na uamuzi wangu wa kutojihusha na uhusiano wa kimapenzi,mapenzi yapo tu hata kama siyafanyi,na matatizo yake yatajadiliwa na watu wote!
 
["I think I am in LOVE" ila sio kiviile moyo wangu ushakuwa sugu sishtuki shtuki ovyo .simiss kiviile akiwepo poa asipokuwepo poa tu ,kazi napiga kama kawaida yaani aniaffect kiviile but anatouch maisha yangu vyovyote anavofanya naona sawa tu ila namshukuru mungu i think ananipendapenda kweli maana ......................................................



Hii ni dalili ya kusema ushawahi penda ukaumizwa sasa upo makini zaidi for unaogopa kabisa kuumizwa tena.... Am i wrong??
 
hii ni dalili ya kusema ushawahi penda ukaumizwa sasa upo makini zaidi for unaogopa kabisa kuumizwa tena.... Am i wrong??
ni kweli sijiachii tena kiviiile nipo kimachale machale loh?
 
tatizo kubalance equations ndio kwenye shughuli mara nyingi mizani huwa zinapishana lol!


mmmh!! Chauro mie naona kupenda raha zaidi,.... Sasa hio ikiambatana na kupendwa.... Asikuambie mtu.... Heaven on Earth! lol
 

Kwa sababu kila nikisoma swali la AshaDii napata jibu "No"… halafu muda huo huo napata jibu "YES".. halafu kabla sijaenda swali la pili napata jibu "No" again.. Yaani taaabu kwelikweli..

Tulizo I am not surprised... Infact i know that for a fact tokana na maelezo ya post zako (thou sio love related) Umekumbuka siku ile nikasema sijui niseme kama una bahati ama bahati mbaya..... Yaani wewe ni moja ya member ambae nikiona baadhi ya topics hapa MMU, I think about... uko kind of mysterious.....

Nadhani uko kweli.. kwani I feel kuna upande unaniambia I have Love.. lakini kuna upande unaniambia hiyo siyo love ni sacrfice whether you like it or not.. Lakini kuna upande mwingine unaniuliza swali “mbona unachanganyikiwa ukifikiri kukosa iko kitu ambacho hauko tayari kukubali ni mapenzi? Happily confused!
 
Dada,Love is the friendship that cautht fire.It take roots and grows one day at the time.INFATUATION is marked by a feeling of insecurity.It says"we must get married right away,i cant risk loosing u".It has an element of sexual excitement,Kwa kuongeza dada,ni kuwa mimi nilizungumzia hali ulizozungumzia wewe kuwa anakua mapenzini nikaja na mtazamo tofauti kuwa ukiwa na hali hiyo unakuwa hauko mapenzini bali ni mhemko inayosababisha aina ya ukichaa,na ni ugonjwa unahitaji tiba sio kuukumbatia kama ulivyosema mwishoni.Halafu kingine ambacho umechanganya ni kujadili upendo na mtu kujihusisha na mahusiano,hivi ni vitu viwili tofauti,hapa tunapojadili upendo au hali anayokua nayo mtu mwenye hisia za upendo wa kweli huku akijua anachokifanya haiathiriwi na uamuzi wangu wa kutojihusha na uhusiano wa kimapenzi,mapenzi yapo tu hata kama siyafanyi,na matatizo yake yatajadiliwa na watu wote!



I Love the words in this Post... Eiyer nimekupata kabisa!!
 
["I think I am in LOVE" ila sio kiviile moyo wangu ushakuwa sugu sishtuki shtuki ovyo .simiss kiviile akiwepo poa asipokuwepo poa tu ,kazi napiga kama kawaida yaani aniaffect kiviile but anatouch maisha yangu vyovyote anavofanya naona sawa tu ila namshukuru mungu i think ananipendapenda kweli maana ......................................................






(
]
Then probably this is not love but i can define it as CRUSH
 
PA umesema vyema
Ila nahisi kuna kitu nakimiss hapa
Kuna wakati ukiwa kwenye love au unajihisi unaingia kwenye love or to love someone inabidi usahau kama ushawahi kuumizwa
Uone liffe has to move on hata kama kuna mengi yametendeka
It hard to do that ila sometime to make life easy u have to do that

Very true....lakini ni ngumu sana aiseee,mara nyingi huwa najiuliza hili swali. How can i believe in love again after being hurt so badly???tena not once!!!!
The truth is I don't want to put walls up and guard my heart and i don't want to be bitter about love,but right now I am.
Sasa mkuu hebu nisaidie natokaje hapa to start a new relationship kwa imani kuwa haitakua kama zilizopita na kuachia moyo wangu nimpe mtu penzi haswaaa analostahili....lol!

AshaDii - I'm sorry to say I'm not in LOVE!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom