Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,970
Discuss... I'm a bit confused..
Kutokana na kupata "No" mbili tatu mfululizo, niliogopa kumaliza kusoma ..kwa kuogopa kupata jibu.. " I think I am not in love"..
Discuss... I'm a bit confused..
Kutokana na kupata "No" mbili tatu mfululizo, niliogopa kumaliza kusoma ..kwa kuogopa kupata jibu.. " I think I am not in love"..
Yaani hapo Gaga umenikuna... Hii technology ya sasa hii.... Yaani inabidi Ucheki E-mail (hapo ukute ni G&Yahoo) ucheki voice mail, Messages, simu line zooote unaogopa kuzima,...lol... Mie sitaki niseme zaidi yanitia HASIRA! lol
ngoja nifikirie
Shut already, i have remained with only one nerve and you are stepping on to it.hahaha!!! Mapenzi kikohozi dear.... Nitakua nakuangalia ukiwa karibu na Boss.....lol...
AU Ulikua na maana "Hate that I Love you"??
Tabu niliyoipata kwakipindi cha miezi mine iliyopita nimimi namwenyezi mungu ndiyo tunajua,kwani nilikonda nilikuwa nikikaa kwenye kiti ofisini siwezi natoka natembea nje ili mraadi nikidhi haja lakini nikirudi home ndo kwanza hatanikiona picha ya mtu anayefanana naye rohoo inalipuka kwa uoga!!!Asikwambie mtu mimi najiona nimehitimu chuo cha mapenzi!!kasheshe zake nazijua naninaweza kutoa lecture kwa yeyote anayehitaji ushahuri kutoka kwangu!!
kha kweli mapenzi wakati mwingine maumivu mtu kakosea yeye halafu wewe ndio uko busy kuomba msamaha maisha haya!
AM IN LOVE,unfortunately nnaempenda hajui.. Inaumaaa asikwambie m2
Barikiwa bidada uzi umetulia
pole sana kitaambo ilishanitokea ni ngumu kumeza na kutema pia, wanawake huwa wanateseka zaidi sababu hawawezi wengi kwenda next step yaani kumwambia muhusika...but still you can shoe him signsAM IN LOVE,unfortunately nnaempenda hajui.. Inaumaaa asikwambie m2
... I'm a bit confused..
Kutokana na kupata "No" mbili tatu mfululizo, niliogopa kumaliza kusoma ..kwa kuogopa kupata jibu.. " I think I am not in love"..
nimekumbuka kuhusu no moja tabasamu -NAPENDA SANA KUTABASAMU YAANI HATA KAZINI PRINCIPLE YANGU KWA MTEJA NI SERVICE WITH A GOOD SMILE ....NA HII IMENISAIDIA SANA NITAKUELEZA SIKU MOJAMy kid sis Say something.....
Shut already, i have remained with only one nerve and you are stepping on to it.
Ntakutafutia na wewe kisa nikusumbue.
nimekumbuka kuhusu no moja tabasamu -NAPENDA SANA KUTABASAMU YAANI HATA KAZINI PRINCIPLE YANGU KWA MTEJA NI SERVICE WITH A GOOD SMILE ....NA HII IMENISAIDIA SANA NITAKUELEZA SIKU MOJA
NO 2SIO KIVIILE
KUHUSU NO 3 MMMMH AM SPEECHLESS
NO 4 5 6 NA KUENDELEA NITAMALIZIA BAADAE KUNA CUSTOMER ANAITAJI SMILE HAPA
Ndo maana wahenga walisema Love is blind....lol... Yaani to you s/he so perfect husikii wala huambiwi!!
Fidel wee si umesema uko in love.... Au sababu tamaa ni kitu ingine?? lol