Hahahaaa! Bora aisee usiache kuleta mrejeshoNgoja nimfuate mtoa mada pm nikamuombe hela,,,dawa ya moto ni moto tu hadi litokee bomu
Wengi wanakuwa waume za watu na wengine wanakuwa wanatafuta michepuko so dawa ni moja tuAseeh sasa mbona tukijitambua mapema mnatuita wanaume suruali..mabahili!
Kuwaomba pesa.Wengi wanakuwa waume za watu na wengine wanakuwa wanatafuta michepuko so dawa ni moja tu
Utageuka AtmKuwaomba pesa.
Mimi nitaanza kukusumbua nilivyomiss kuombwa pesa andaa kabisa na kiasi cha kuniomba
Wacha weee.Utageuka Atm
HahaaaWacha weee.
ATM yenyewe kuna muda inaandika temporary closed. Umeme nao unakata. Nwei : keep on
Mi mzima my dear... Za weweHahahahaaa! Kabisa yaani.
Mzima wewe?
Nzuri wangu.... Tupo mwaya.Mi mzima my dear... Za wewe
mnaogopa kusema no maana unakua bado unamendea pussy yake...tehMtoa mada nakuunga mkono mpaka miguu!
Unakuta mdada kakomaa kukuomba pesa unamkalia kimya kumtunzia heshima anaanza kutuma vimeseji vya kipuuzi na dhihaka wakati ana njaa mpaka makalioni, sio lazima nikuambie sitaki. Nikikaa kimya inatosha kabsa kuelewa kuwa sitaki kukupa hela. Girls behave urself please, mnaboa sana!
Sio lazima kunyimwa kwa kuambiwa "sikupi" au "sitaki", sometimes silence means No, hasa pale unapomuomba mtu hela!
dawa ya moto ni motoNaona mnaendeleza game.
Kwani baya linafichwa na baya?
ooooh mi natoka kupigwa kibomu na mdada flan, hafu anapiga mzinga saa kumi na moja asubuhi!!!! wanaanza na salamu, ukijibu tu utasikia nyundo kaiweka kichwani kwako. "Paaaa"Siku hizi naona dada zetu mishipa ya aibu imekatika kabisa kiasi kwamba kuomba kwao sasa imekuwa kama ndio mfumo wa maisha yao.
Imefikia hata unaogopa kuzoeana nao kwani mkishazoeana kidogo tu wanaanza vibomu na sana sana huwa wanapenda kuomba 30,000 yaani inafikia kwa siku unaombwa pesa na wadada hata 5 mpaka unajiuliza kama hivi haya ndio maisha yanayowaweka kwenye mitandao au wale wachovu huwa wanaomba 10,000.
Dada zetu maisha yamekuwa magumu kila mtu aangalie maisha na familia yake sasa wakati wa kupeana pesa kirahisi rahisi umeshapita piga kazi upate pesa.
Kumbe asilimia kubwa wanatumia njia zinazofanana🙂🙂🙂sio mtandaoni tu popote umwonapo ukampenda haipiti dakika kumi hata jina hujamjua atakutumia msg nikuambie kitu ukisema niambie ninashida utanisaidia jitahidi ufunge simu haraka
Aseeh haya chaliakedawa ya moto ni moto