Dada zetu punguzeni kuomba pesa mitandaoni

Dada zetu punguzeni kuomba pesa mitandaoni

Hapana!!! Ila mwanamke usipomtongoza bado atakuomba hela??? Huyo anaesema kuombwa na wanaeake watano!!! Wote ni marafiki tu au nayeye kuna kitu aliomba?
Humuombi kitu ila mkishakuwa marafiki tu atajitahidi kukuzoea hadi akupige kirungu hapa Hatuzungumzii wanawake wote ila siku hizi wengi wao wanaenda less sanaaa nahisi huu ugumu wa maisha sasa unasababisha. Sikutanii nina hakika mi haipiti siku sijaombwa pesa na Wadada wawili au watatu na zaidi ingawa sijasema ni wote
 
Humuombi kitu ila mkishakuwa marafiki tu atajitahidi kukuzoea hadi akupige kirungu hapa Hatuzungumzii wanawake wote ila siku hizi wengi wao wanaenda less sanaaa nahisi huu ugumu wa maisha sasa unasababisha. Sikutanii nina hakika mi haipiti siku sijaombwa pesa na Wadada wawili au watatu na zaidi ingawa sijasema ni wote
[emoji23] [emoji23] duuh! Poleni!!!
Mbombo ngafu!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hapana!!! Ila mwanamke usipomtongoza bado atakuomba hela??? Huyo anaesema kuombwa na wanaeake watano!!! Wote ni marafiki tu au nayeye kuna kitu aliomba?
Sikutaka hata kujadili mada.

Ila ngoja niseme.
Wanawake wapo wanaomba pesa hata kama sio mpenzi wako. Mfano ni ma x na marafiki wa kawaida .

Point yangu mwanamke anayekosea au mwanaume anayekosea asisafishwe na mwanamme au mwanamke anayekosea.
 
Sikutaka hata kujadili mada.

Ila ngoja niseme.
Wanawake wapo wanaomba pesa hata kama sio mpenzi wako. Mfano ni ma x na marafiki wa kawaida .

Point yangu mwanamke anayekosea au mwanaume anayekosea asisafishwe na mwanamme au mwanamke anayekosea.
Ni kweli!!! Mi nadhani mwanamke kuomba pesa ishakua tatizo... Haswa kwa waafrika... Tabia na aili ya kupenda miteremko
 
Ni kweli!!! Mi nadhani mwanamke kuomba pesa ishakua tatizo... Haswa kwa waafrika... Tabia na aili ya kupenda miteremko
Kuomba sio vibaya ila kuombaomba wakati una nguvu na uwezo ni mbaya. Kaka na baba wa watoto wa kiume ni vyema wakajitahidi kwa hili.
 
sio mtandaoni tu popote umwonapo ukampenda haipiti dakika kumi hata jina hujamjua atakutumia msg nikuambie kitu ukisema niambie ninashida utanisaidia jitahidi ufunge simu haraka
Teh teh teh
 
Me kuna mtu aliamka anatuma picha kibao na wala cmjui ikabidi nimwambie picha inatosha tuma na hela mpaka leo ajarudia picha zake za uchi
 
Siku hizi naona Dada zetu mishipa ya aibu imekatika kabisa kiasi kwamba kuomba kwao sasa imekuwa kama ndio mfumo wa maisha yao.

Imefikia hata unaogooa kuzoeana nao kwani mkishazoeana kidogo tu wanaanza vibomu na sana sana huwa wanapenda kuomba 30.000 yaani inafikia kwa siku unaombwa pesa na Wadada hata 5 mpk unajiuliza kama hivi haya ndio maisha yanayowaweka kwenye mitandao au wale wachovu huwa wanaomba 10,000.

Dada zetu maisha yamekuwa magumu kila mtu aangalie maisha na familia yake sasa wakati wa kupeana pesa kirahisi rahisi umeshapita piga kazi upate pesa
Vice versa is true...[emoji12] [emoji1] [emoji1]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom