Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
King'a, wewe kwa jinsi ninavyokuimagine, hustahili bati za mgongo mbinyuko, wewe unastahili viezekeo vya tiles za decra high quality with 50-year guarantee na hizo tiles za Italy, nitakubadilishia, zimetoka za tiles za Spanish, ziko spiral!, hata kama umeishajengea nitamlipa fundi kubomoa!.hehehe, im bad in my own good ways banaa.
kwanza mie huwa naona shida sana kumchagulia mtu zawadi ambae hatuko karibu. hata harusini sibebi zawadi unless tuko close na najua standards zako. nilikaa na mtu akiletewa zawadi anainanga afu kama isipoishia kwa dustbin basi ujue hgal kajivunia. to be honest, nilishawahi kutupa zawadi nililetewa, a very sub standard thing kwa kweli. kama sitaki kuwekeza kwako, nitakupa smiles zitakutosha ( Pasco, ndo maana mi nakupiga mzinga wa apartment. afu yule fundi naona hajaleta zile bati za migongo mbinyuko lol, tiles za italy zilifika. hizo skin tite zako za kichina mi hazinitoshi, usinletee)
Tuachane utani, nyie dada zetu mliojaaliwa, kwa wale wanaojua kuyatumia majaaliwa yao vizuri, wanaishi peponi hapa hapa duniani!. Juzi kati a friend anaedrive Vogue sport, nimensindikiza pale LRT kuweka service booking, si nikakiona kile ki Female mini vogue pale, nikakiulizia tuu ili kujifurahisha!, nikaelezwa vinaletwa kwa order tuu, mwanzo walileta only 10 pieces to test Tanzania Market, vilikwisha hapa hapo on the spot!, "wazeiye" waliwanunulia "nanihino" hivyo nikiwaona wadada wadogo wanavuta hizo kitu mabarabarani, najiishia tuu kusema "mashallah", sisi kanda ya Ziwa, moyo ukindondoka mahali, tunaupendo mkubwa ajabu wa kutoa kila kitu kuliko hata upendo wa mshumaa, yaani siku nikukona!, naweza kabisa kupasua kifua changu, nikakupa moyo wangu ukaenao wewe, mimi hata nikibaki bila moyo!, kwani moyo wa nini ukilinganisha na kutaka ukitakacho!, bora kuishi bila moyo kuliko kukukosa!.
Pasco.