Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Kama kuna pimbi flani enzi hizo niko juu ya Mawe nikawa namfukuzia, akaniambia eti sina hata gari ntamuweza kweli..saivi hivi hao wenye magari wamemkula wakamchakaza na wakamuacha,eti ndio anajirudisha kwangu..nilichofanya nilimla tu then nikammwambia live kuwa mimi simtaki tena.
Ndio ndio...savage
 
Sasa makasiriko ya nini dogo? Hayo ndio maisha, kubali tu na songa mbele. Wala haina haja ya kuleta makasiriko.
Makasiriko[emoji1787][emoji1787][emoji1787],af naona unaenjoy unavyo niita dogo[emoji1]

By the way,wazo unalo hisi siyo japo naona umekazia sn
 
Hawezi kua kaolewa huyo[emoji2][emoji2][emoji2]
Upo sahih madam lk nauhakika kam umeolewa mumeo hana vigezo vyot vilivyo orodheshwa hapo japo vichache anavyo,tatz ni pale wanapo vihitaji vyot mara gari wao gari kwao lipo,et good on bed wao wanajua,mara elimu degree yey anayo au hizo pes kwao zipo...mbona wazaz wao walilidhika hv hv mpk kapatikana yy


Tatz dad zetu mnapo ambiw vitu vya maan unakuw watata san
 
hata hao wanaume wapo wa kutosha...yanini uolewe na mwanaume usiempenda...ukamtese tu

Halafu mtu una akili timamu unakosaje kuweka Vigezo vya mtu unaemkataka...eti kisa wanawake tupo wengi?
Mleta uzi hajasema uolewe tu na mtu kisa ni mwanaume No.
Alimaanisha mpunguze vigezo vingine ni nadra sana kuvipata vyote kwa mtu mmoja na kitu kibaya wenye vingezo almost vyote mnavyovitaka ndo hao sio waoaji kwa sababu wana uhakika wa kushobokewa na karibia kila mwanamke hivyo wanatembeza rungu tu hawaoi.
Unaweza kujiwekea vigezo vichache vya msingi MFANO:-
1:UWE UMEMPENDA NAE ANAKUPENDA.
2:AWE MTAFUTAJI NA KUJARI FAMILIA.
3:AWE MWELEWA NA KUSIKILIZA ANAPOSHAURIWA.
4: ETC......
Huo ni mfano tu.SIO
AWE MREFU
AWE NA PESA
AWE NA GARI
AWE HANDSOME
AWE VIZURI ON BED
AWE NA KAZI NZURI
MARA AWE MARAIKA(kidding)
 
Ni 1% tu ya wanawake duniani wenye ufundi on bed na ambao huwaridhisha wanaume.
Wengi wa wanawake hudhani kukata mauno ndio ufundi, hufikiri throating ndio final weapon kwa mwanaume...kumbe la hasha.
Kwa bahati nzuri, sisi hujiridhisha wenyewe, na hapo wao hupata credet kuwa wanaturidhisha.
Muelewa hawez kuelewa, hii ni kwa magwiji wa vitanda tu[emoji1787]
Hapo kwenye "throating" ndio udhaifu wangu ulipo.
 
Back
Top Bottom