Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Wewe huna chaguo? Unaoa tu yoyote anaekuja mbele yako?
Waache wadada kama hawataki kuolewa..kila siku mnazungumzia jinsi ndoa siku hizi zilivyo na matatizo lukuki.. sababu mojawapo ni hiyo ya kuolewa au kuoa kwa kulazimisha kisa jamii itakuonaje.
Wewe oa, waache wasiotaka kuolewa wasiolewe maana ni maisha yao.
.
.
Ndoa sio kwa kila mtu, wengine wabaki watazamaji.
Hlf sijui why ndoa imekuwa overrated sana...ni kitu cha kawaida hakuna jipya zaidi ya mazagazaga.
Mimi niseme uzi huu ni kwa wale ambao wanaitaka hiyo ndoa, na wanaitafuta.
Ila kama hutaki kuolewa nadhani haukuhusu.
 
Hakuna mdada ambae atakuwa na Vigezo vitano vikatimia vitatu akakataa kuolewa.

Kuna vyamsingi kabisa....mfano mimi DINI Kwanzaa alafu tunaanza angalia vingine.
Kwahiyo mimi utanikataa kisa dini. Mimi Mgalatia
 
Ukiona hivyo mtu kashapigwa chini kulia, kushoto na katikati.

Unamlazimishaje mwanamke akubali mtu asiyemtaka?
Kuna mtu analazimishwa hapa?
Wewe atheist unamatatizo.
 
Oooh kumbe huwezi kukosa!! Sasa kwanini unateseka?
Mie siteseki ila manung'uniko yenu ndio yanafany mie kuandika mada hii

Mana nahisi wengi wenu kutojua unataka nn maishani ikawa tatz

Jus kuwakumbusha tu
 
Mie siteseki ila manung'uniko yenu ndio yanafany mie kuandika mada hii

Mana nahisi wengi wenu kutojua unataka nn maishani ikawa tatz

Jus kuwakumbusha tu
Ooooh!! Kumbe umenung'unikiwa!!! Haya pambana na walokunung'unikia. Usiku mwema.
 
Ooooh!! Kumbe umenung'unikiwa!!! Haya pambana na walokunung'unikia. Usiku mwema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787],anateseka vby san huyu mbibi....tafuta uliekula nae ujana
 
Wacha bwana!! Pole sana mdogo wangu. Time will heal you.
Usinikasilikie mie,cyo mie lie kukataa

Mie metoa mada lkn kwa wale wanao jitambua


Usinichoshe....zeeka na mikosi yako
 
hata hao wanaume wapo wa kutosha...yanini uolewe na mwanaume usiempenda...ukamtese tu

Halafu mtu una akili timamu unakosaje kuweka Vigezo vya mtu unaemkataka...eti kisa wanawake tupo wengi?
Endeleeni na Ubeijing wenu.. Those wife matilio ndio tuwatakao na kuwaoa.. Nyinyi jua likisha kuchwa mtakaa sawa kiakili..
 
Kama kuna pimbi flani enzi hizo niko juu ya Mawe nikawa namfukuzia, akaniambia eti sina hata gari ntamuweza kweli..saivi hivi hao wenye magari wamemkula wakamchakaza na wakamuacha,eti ndio anajirudisha kwangu..nilichofanya nilimla tu then nikammwambia live kuwa mimi simtaki tena.
 
Endeleeni na Ubeijing wenu.. Those wife matilio ndio tuwatakao na kuwaoa.. Nyinyi jua likisha kuchwa mtakaa sawa kiakili..
Mkuu...ubeijing unajua Maana yake..au umeamua kukurupuka..
Kama mwanamke wako ulomuoa hakuwai kuwaza anataka mwanaume wa Aina gani....UTAKUWA umebeba galasa
 
Usinikasilikie mie,cyo mie lie kukataa

Mie metoa mada lkn kwa wale wanao jitambua


Usinichoshe....zeeka na mikosi yako
Sasa makasiriko ya nini dogo? Hayo ndio maisha, kubali tu na songa mbele. Wala haina haja ya kuleta makasiriko.
 
Back
Top Bottom