Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Mleta uzi hajasema uolewe tu na mtu kisa ni mwanaume No.
Alimaanisha mpunguze vigezo vingine ni nadra sana kuvipata vyote kwa mtu mmoja na kitu kibaya wenye vingezo almost vyote mnavyovitaka ndo hao sio waoaji kwa sababu wana uhakika wa kushobokewa na karibia kila mwanamke hivyo wanatembeza rungu tu hawaoi.
Unaweza kujiwekea vigezo vichache vya msingi MFANO:-
1:UWE UMEMPENDA NAE ANAKUPENDA.
2:AWE MTAFUTAJI NA KUJARI FAMILIA.
3:AWE MWELEWA NA KUSIKILIZA ANAPOSHAURIWA.
4: ETC......
Huo ni mfano tu.SIO
AWE MREFU
AWE NA PESA
AWE NA GARI
AWE HANDSOME
AWE VIZURI ON BED
AWE NA KAZI NZURI
MARA AWE MARAIKA(kidding)
Hata sisi WANAWAKE wengi tunao jielewa .. hatuwezi kuwa na masharti mengi namna hiyo...

Japo urefu muhimu[emoji2960][emoji2960]
 
Nahisi ata yule jamaa kagundua kuna kitu umempendea ila sio mapenzi halisi
Jamani Yule Kaka nampenda... Wallahi
vigezo vya kupendwa na Mimi anavyo..

Naomba usiku namchana ...mapenzi yake kwangu yazidi yangu
 
Wanawake lazima mjue kua mna biological factor, (wakati huo wanaume tuna financial factor ambayo effect yake naweza sema ni indirect)

Biological factor kwa wanawake ni kwamba at the age of 18-27yrs Thamani ya mwanamke hasa kimaumbile (kimwili) inakua kubwa sana lakini kadri miaka inavyosonga mbele thamani yake inaanza kupungua hatimaye akifikisha miaka 30+ basi ndio kabisa thamani yake kiuhalisia inakua imepukutika watoto wa mjini wanasema "kushneii au kwisha habari yake", wakati huo mwanaume thamani yake inakua imeongezeka kwa sababu hi process ni vice versa. At the age of 18-25 hivi mwanaume anakua hana thamani lakini kadri miaka inavyosonga anaanza kushika pesa thamani yake inaanza kuongezeka na wakati mwingine kua kubwa zaidi.

Sasa ya nini ninyi dada zetu kuwa na selection nyingi na conditions kibao kiasi cha kusahau kua thamani yenu inakwenda na muda (sina maana mbaya ila kiuhalisia ndio ipo hivyo) hamuoni kua mnajiharibia zaidi maana wengi wenu mkifika above 30 stress za ndoa zinaanza hata maombi yanabadilika mkilikua mnaomba Mungu akupe mwanamume wa sifa zako sasa unaanza kuomba akupe tu anayevaa suruali.

Muda ni ukuta ukishindana nao utaumia wewe, unakuta ka mwanamke kengine kameshafikisha miaka 30+ lakini kanavyochagua wanaume utasema Yesu anachagua mitume wapya, mara ooh nataka mume mwenye six pack wakati huo kenyewe kana kitambi kama cha brother K,, mara nataka mume mwenye pesa wakati kenyewe hakana hata biashara ya kumuingizia hata buku 2 kwa siku.

Mwanamke ukitaka kufanya selection hadi uchoke basi pambana uwe na pesa zako mwenyewe hio kidogo itakuongezea thamani hasa pale biological factor itakapokua imekung'oa meno ya mbele.

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Uzuri dada zetu ukifikisha vigezo wanakubali hata kuwa side chick, huu ndio uzuri wa ku qualify [emoji3]
 
Ni 1% tu ya wanawake duniani wenye ufundi on bed na ambao huwaridhisha wanaume.
Wengi wa wanawake hudhani kukata mauno ndio ufundi, hufikiri throating ndio final weapon kwa mwanaume...kumbe la hasha.
Kwa bahati nzuri, sisi hujiridhisha wenyewe, na hapo wao hupata credet kuwa wanaturidhisha.
Muelewa hawez kuelewa, hii ni kwa magwiji wa vitanda tu[emoji1787]

Habari ya kulala na Amina huku unamuwaza Winfrida ndio zinaanziaga hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida inakuja kila mwanaume na mwanamke wanavigezo vyao.
Umepata mwanaume mwenye vigezo unavyovihitaji ila kumbuka na yeye ana vigezo vyake kibaya zaidi haujakidhi vigezo vyake. Usifikiri ukiwa na K basi lazima awe na ww. That is big NO
Kuna mwanamke alijilengesha, sijui nilikidhi vigezo vyake. Nilimla, na nishamuacha maana hakukidhi vigezo vyangu.
Vigezo vyangu
1. Awe mweupe
2. Mwembamba wa wastani, usiwe mnene au mwembamba sana
3. Awe na urefu wa futi 4.5, 5 au 5.2 maana mm ni futi 5 na inchi 4
4. Usiwe na wowo kubwa au maziwa. Ya wastani tu
5. Sipendi mwanamke muongeaji sana km muimba taarabu. Lzm tuachane tu
Yeye alikuwa mweusi, mwembamba sana. Vigezo vingine alikidhi ila sikumpenda 100%. Sijui yuko wapi, anafanya nn. Hiyo hainuhusu maana na namba zake nishafuta.
Kwanini asiwe nami Mkuu?...Hawezi kuwa na vigezo vyoote..Bali vya muhimu atimize
 
Back
Top Bottom