Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Dada zangu punguzeni machaguo, muolewe...

Kweli lkn punguzeni machaguo sababu dada angu ktk dunia hii kumpata mwenye hz sif zot ni hadimu sana na kama yupo hawez kuwa wa hazi yako mana mtu mwenye mali yaan magari,elimu nzuri,handsome na good on bed hawez kuw na ww ht cku moja yan wew ni halali yetu
Sasa wewe hujui hata kuandika vizuri nani akubali uwe mume wake?
 
Mkuu...Kama Wewe unaoa unaemtaka..kwanini sisi tusichague tumtakaye...

Hiyo ndoa ha kuolewa na usiemtaka ili tu uolewe...itadumu?..utakuwa na furaha?
Kama mwanamke anaweka vigezo kabla hajaolewa hata kama ni vya kufikirika ni sawa; ubaya ni pale anapoficha mfukoni hivyo vigezo na kuvichomoa baadae baada ya kuolewa hapo ndio tatizo.
 
Wewe huna chaguo? Unaoa tu yoyote anaekuja mbele yako?
Waache wadada kama hawataki kuolewa..kila siku mnazungumzia jinsi ndoa siku hizi zilivyo na matatizo lukuki.. sababu mojawapo ni hiyo ya kuolewa au kuoa kwa kulazimisha kisa jamii itakuonaje.
Wewe oa, waache wasiotaka kuolewa wasiolewe maana ni maisha yao.
.
.
Ndoa sio kwa kila mtu, wengine wabaki watazamaji.
Hlf sijui why ndoa imekuwa overrated sana...ni kitu cha kawaida hakuna jipya zaidi ya mazagazaga.
Umekata tamaa[emoji24][emoji24]
 
Kama mwanamke anaweka vigezo kabla hajaolewa hata kama ni vya kufikirika ni sawa; ubaya ni pale anapoficha mfukoni hivyo vigezo na kuvichomoa baadae baada ya kuolewa hapo ndio tatizo.
Owky
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],haupo serious!!!
Naona dawa inaanza kuingia...badilikeni acheni maish ya movies akilin mwenu et nataka handsome wew ni beautiful au unatak tu
Kama unadhani bango lako litabadilisha mtu pole sana...huko mbeleni watu watakuwa hawanq mpango kabisa na ndoa, unapoteza muda wako bure.
 
Back
Top Bottom