Ernst kipire
JF-Expert Member
- Dec 16, 2019
- 299
- 310
- Thread starter
- #61
Vipo lkn siyo vingi kana kwamba mie ni mkamilifu kwa kila jamboWewe huna vigezo vya mke unaemtaka?
Vipo lkn siyo vingi kana kwamba mie ni mkamilifu kwa kila jamboWewe huna vigezo vya mke unaemtaka?
Mbn unapenda kucoment so personal,alie kuambia mie mekataliwa nani? By the way ujumbe ukufunze kitu, mwanaume hawez kosa mwari hata siku mojaMbona its like wewe ndio unayaita mma[emoji848][emoji848]
Kukataliwa ni step tu katika kuelekea kumpata wa kwako, tulia tu utampata. Haina haja ya kuanza kulia lia.
Mbona hasira dogo, tulia tu. Kukataliwa sio mwisho wa maisha.Usitoe pole kwa mtu usiye mjua.....af sio kila anaetoa mada jambo hilo linamuhus yy,
Amka wew mvaa wigi
Kwahiyo kwavile vyako ni vichache basi unataka kila mtu awe na vichache!!! Basi sawa.Vipo lkn siyo vingi kana kwamba mie ni mkamilifu kwa kila jambo
Oooh kumbe huwezi kukosa!! Sasa kwanini unateseka?Mbn unapenda kucoment so personal,alie kuambia mie mekataliwa nani? By the way ujumbe ukufunze kitu, mwanaume hawez kosa mwari hata siku moja
Acha utoto
Well saidSichagui yeyote tu ili mradi mwanaume na anapumua😉.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....KabisaWa ifakara mwenzangu huu ujumbe unakuhusu kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapo wanaume wanahaha Kutafuta huyo mwari....Mbn unapenda kucoment so personal,alie kuambia mie mekataliwa nani? By the way ujumbe ukufunze kitu, mwanaume hawez kosa mwari hata siku moja
Acha utoto
..hatuombi kwa sababu ya KUPATA wanaume TU...Dunia hii Ina mengi na wanaume ni sehemu TU.Sasa kama wanachagua mbona wanashinda makanisani wakiomba wapate wachumba wema
Hujawai muomba Mungu .kitu chochote maishani mwako?Sasa kama wanachagua mbona wanashinda makanisani wakiomba wapate wachumba wema
[emoji23][emoji23]Ni 1% tu ya wanawake duniani wenye ufundi on bed na ambao huwaridhisha wanaume.
Wengi wa wanawake hudhani kukata mauno ndio ufundi, hufikiri throating ndio final weapon kwa mwanaume...kumbe la hasha.
Kwa bahati nzuri, sisi hujiridhisha wenyewe, na hapo wao hupata credet kuwa wanaturidhisha.
Muelewa hawez kuelewa, hii ni kwa magwiji wa vitanda tu[emoji1787]
Kwaiyo ulitaka...Afanyaje?.. Tatizo mnadhani mnamajibu ya maisha ya WatuYupo kiazi mmoja hapakijiweni ninaposhinda, yaan ana 31 anaishi kwao, hadi sasa hana hata boyfriend lakini akizungumza kuhusu mahusiano ni kama alichosema mtoa uzi hapo juu. Huwa namwangaliaaaa na alivyo na sura personal kama mimi tu naishia kuguna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu mnayemtaka hajawahi kuwepo ... Nyie mko extra ordinary katika kufanya uchaguzi ..wakati kwa upande wenu mna weakness kibaoMkuu...Kama Wewe unaoa unaemtaka..kwanini sisi tusichague tumtakaye...
Hiyo ndoa ha kuolewa na usiemtaka ili tu uolewe...itadumu?..utakuwa na furaha?
Au ww ni mama uliyesingle nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unadhani bango lako litabadilisha mtu pole sana...huko mbeleni watu watakuwa hawanq mpango kabisa na ndoa, unapoteza muda wako bure.
My Lady, your grace.ukiwa chini ya miaka 30 ndivyo vitu kama ndoa ndio unasumbuka, ukishakua above 30 especially after 35 una accept kuna kupata na kukosa lol
Nyie ndo mnadhani tunataka vitu vingi..labda wasichana wadogo wanao angalia tamthilia zakiphilipino..Mtu mnayemtaka hajawahi kuwepo ... Nyie mko extra ordinary katika kufanya uchaguzi ..wakati kwa upande wenu mna weakness kibao