datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 856
- 957
Acha bana hizo mdada mbona una cha thaman sana kuliko hiyo namba.Ok lakini kwangu mimi sio kawaida au bora ujitambulishe mimi fulani nimepata nambaako kutoka kwa fulani ningependa tujuane or watsoever lakini sio blah blah coz unaulizwa namba umepata wapi...
We niulize tu unataka nn