Nimekuja mzee mwanzangu, hawa vijana wa siku hizi ni wazembe sana sasa kuomba no tu mtihani kweli🙄😂 umeamkaje lknMzee mwenzangu financial services heb njoo huku uone vijana walivyo wazito ht kuomba no...no tu mtihani, mbususu ndo ataweza kuiomba, au ndo atasubiri apewe kimasihara?
Suala ni kwamba kwann usiombe direct ukaanza kuzunguka mbuyuSijapungukiwa Mkuu..! Alfu mbona mnaniandama utazani nimemtukana ama vipi ??
Kingine ni kwamba, Kama nimekupigia ukaniulizia wewe nani nikajitambulisha ukanikumbuka. What’s so important to know the person who gave me yournumber?
Halafu analaumu umri wa huyo dada kwa ujinga wake dunia ya Leo mtu humfahamu unamtafta hujitambulishi huo ni uzembe tu, hata mtu akiwa na 70 year's lazima ahojiHuyu jamaa atakuwa domo zege. Mtu unapiga naye stori kila mara! Unakuja kuomba namba kwa rafiki yake? Na lengo la kuomba namba ni kutongoza? Umetuabisha sana sisi mabaharia.
Nimekuja mzee mwanzangu, hawa vijana wa siku hizi ni wazembe sana sasa kuomba no tu mtihani kweli umeamkaje lkn
Halafu analaumu umri wa huyo dada kwa ujinga wake dunia ya Leo mtu humfahamu unamtafta hujitambulishi huo ni uzembe tu, hata mtu akiwa na 70 year's lazima ahoji
Ndio hata Mimi ningekukomalia maana sijui Lengo lako kwanini usiseme aisee nimeipata number yako na shida ya a, b, c, d hapo nakuelewa kuliko ku ficha ficha MamboNimejitambulisha akanikumbuka vizuri ila akakomalia ajue aliyenipa namba. Cariha jamani
hata kama nna miaka 60, nikipigiwa na stranger ntakuuliza umetoa wap namba. hii ni curiosity kikawaida namba natakiwa nikupe mwnyw. ss vuuup sijakupa unipigie athubutuu wewe
Ndio hata Mimi ningekukomalia maana sijui Lengo lako kwanini usiseme aisee nimeipata number yako na shida ya a, b, c, d hapo nakuelewa kuliko ku ficha ficha Mambo
Mimi lazima unieleze bila hvo staki mazoea, dunia ya sasahivi kugawa number mtihani kidogo lohDaaah bado unataka niseme nani kanipa…! Naogopa kuwagombanisha na rafiki yako. Cariha Usinishambulie hivyo
Nilipewaga namba na rafiki yangu nikampiga mzigo.
Itakua ndio tabia yako domo zege.Jipige dole la kati hapo hapo ulipo naona unawashwa.!
Bila shaka utakuwa hujui kutongoza (Domo Zege) hata kama mtu ana miaka 28+ isiwe sababu ya kuwa na namba yake bila hiari yake mwenyewe.
Namshangaaa afu anakuja kujitapa kwenye jukwaa kwani ukiwa na miaka 28 ndo uwe kama jalala,na suala la miaka linakuhusu nini maana hapa mjini kila mtu anamipango yake.Sio kawaida mtu usiyemfahamu awe na namba yako lazima uulize ameipata wapi? Hata kama ana miaka 40+,na yupo single.Tabia ya kugawa namba za watu bila ruhusa ya muhusika ni mbaya.Je kama wewe ni stalker je?Huyo alokupa namba amefanya makosa!
Kitu kingine yaani wewe umekosa ujasiri hata wa kuomba namba mpaka upewe na mtu mwengine!Tatizo ni nini?