Naungana na waliosema kwamba wewe Ni Mr domo zegeUjue iko hivi mkuu, Mimi huwaga sina utaratibu wa kumuomba namba mtu nikiyemuona kwa mara ya kwanza. So nikipata bahati ya kuonana naye hata mara nne hivi napiga naye stori ndio naomba namba ili safari yetu isiwe ngumu sana kuanza kuhangaishana kwa maswali ya watoto wa miaka 18.
Siwezi kuosema dhamiri yangu siku hiyo hiyo asee, nitajitahidi kuwa karibu yako kusoma character na namna vile unavyokuwaga ikitokea mtu kaelezea hisia zake. So nitakuwa karibu yako kwa siku kadhaa, nitakuomba labda twende out mara kadhaa huko ndio nitasema dhamiri yangu.
Hebu rudia kusoma ulichokiandika hapa.Suala sio kumface, jana nilienda tunapokutanaga nikitegemea nitamkuta sikumkuta nikamwambia rafiki yake bhana yule rafiki yako nimempenda. Sasa yeye akasema ni jambo jema, nikamwambia vipi naweza kumpata wapi nikimkosa hapa akasema hafahamu labda anisaidie namba yake kwa sababu tubapigaga stori mara kwa mara hatakuwa na utata. Sasa wewe tumekumushana ukanimumbuka na nimekuambia siku hiyo nilitarajia utakuja hujaja kwenye glosari ninetafuta bamna ya kuwasiliana nawewe unakomaa nikuambie aliyenioa namba yako.
Kanuni yangu, namwambia shida yangu ana kwa ana. Nampa maelekezo. Yeye ndiye wa kusema nimpe namba, siyo mimi nimwombe namba yeye.Watu tuko tofauti kama mimi nina tabia ya kuongea na mtu siku nyingi bila kumuuliza jina lake wala kuuliza chochote kumuhusu. Sometimes akiniuliza jina namwambia utanijua mbeleni kama tutalazimika kuendelea kufahamiana. Mwisho wa siku najua jina lake kwa kusikia anaitwa, napata namba yake kwa njia yoyote ya utulivu ila sio kwake. Mazingira kama hayo asiponielewa basi kakaza kichwa mwenyewe
Ile inayoishia na 000?Nimeshakutumia
Ningemjibu tu..."kanipa mdada flan anapangisha gesti house mtaa wa pili hapo,anasema ww ni mteja wake sana pale"Ilikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali?
Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba
Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?
Mimi huwa siwaaambii namba nimepata wapiOk lakini kwangu mimi sio kawaida au bora ujitambulishe mimi fulani nimepata nambaako kutoka kwa fulani ningependa tujuane or watsoever lakini sio blah blah coz unaulizwa namba umepata wapi...
Huu sasa unyanyapaa kwa wanawake.
Hebu rudia kusoma ulichokiandika hapa.
Mimi huwa siwaaambii namba nimepata wapi
Naweza kukuambia nilipo Pat's namba mkaenda korofishana na Huyo alienipa namba au
Mkapanga yenu mnizunguke mnigeuze danga .
Bora usijue udili na Mimi perpendicular
Kama Demu unapiga nae story halafu namba unaenda kuomba kwa rafiki yake huo ni umama full stop.
Kanuni yangu, namwambia shida yangu ana kwa ana. Nampa maelekezo. Yeye ndiye wa kusema nimpe namba, siyo mimi nimwombe namba yeye.
Naungana na waliosema kwamba wewe Ni Mr domo zege
Tuanzie kwanza,kwa nn wewe umepungukiwa nguvu za kuombea namba kwa wanawake?
Mzee mwenzangu financial services heb njoo huku uone vijana walivyo wazito ht kuomba no...no tu mtihani, mbususu ndo ataweza kuiomba, au ndo atasubiri apewe kimasihara?
Ntaku confess shauri'ako...