Dada ukitaka mchumba usijifungie ndani toka out sometimes

Nafahamu kuwa Mabinti hutegemea wanaume wawatongoze ili kuanza kujenga mahusiano na baadae Ndoa. Ni sahihi kabisa.
.
Lakini, ukiwa kama Binti, unayo nafasi yako endapo mwanaume aliye sahihi atakufuata. Ukweli ni kwamba, kuna upungufu mkubwa wa wanaume bora ukilinganisha na mahitaji ya mabinti kuolewa.
.
Na Mtaalamu wa masoko yeyote yule atakwambia bidhaa yenye Uhitaji (demand) (m)kubwa hununuliwa sio na wale wanaostahili ama wenye fedha, bali wale walio fasta. Yaani wale ambao wako tayari kuchukua hatua kuipata bidhaa hiyo.
.
Hivyo, kama unahitaji Mwanaume bora, usiwe mtu wa kujifungia ndani all day.
.
Haitajalisha ni kwa kiasi gani utamuomba Mungu akupe Mume, Mungu hatamleta Huyo mume moja kwa moja nyumbani kwenu/kwako.
.
Hebu patikana. Kama umeenda kanisani, mnapomaliza ibada ongea ongea na waumini wenzako kidogo, sio ukitoka tu moja kwa moja nyumbani.
.
Kutana na watu, ongea nao, tengeneza network, acha kuwa serious na anti social kwa kujifungia fungia ndani.
.
Mungu hatamtuma huyo mume aje avunje mlango wa kwenu na kukushawishi Ndoa.
.
Hebu patikana, sali na angalia!
.
#SeeYouAtTheTop
View attachment 1168549
Naomba kutofautiana nawe mkuu. Sio sawa binti anayejiheshimu kuzurura hovyo eti kutafuta mchumba. Tabia hii ndio inapelekea mimba za mapema na kukosa muelekeo kwa mabinti wengi. Kuna namna nyingi tu ambazo binti huonekana na mwanamume mwenye nia thabiti ya kuoa akavutiwa naye. Shughuli za kawaida za maisha mfano kwenda sokoni, dukani, kwenye ibada, harusini, kutembelea ndugu n.k. zinatosha kabisa kumtambulisha binti.

Habari ya kutoka matembezi ni chanzo cha kujiweka mdomoni mwa mamba. Wako wanaume wengi wanatega, wamejaa mistari ya kila namna, wanatafuta nafasi moja tu wafunge goli, na hao nfio wengi kuliko waoaji. Mwanamume aliyedhamiria kuoa hawezi kuchagua binti anayejitembeza mtaani, bali ataangalia sifa njema kama kutokuwa na mazoea na wanaume hovyo, na aibu ya kujichanganya kila mahali. Ukiona mwanamke hana aibu ujue unaoa mume mwenza, aibu ni sifa kuu ya mwanamke.

Mabinti wanaotaka waume wa kweli wasithubutu kuwatafuta, bali waendelee na maisha ya kawaida huku wakiepuka makundi ya marafiki wapenda starehe (viwanja) na kuwa karibu na wanaume ambao kiasili ni wapenda ngono kuliko kuoa.
 
Naomba kutofautiana nawe mkuu. Sio sawa binti anayejiheshimu kuzutura hovyo eti kutafuta mchumba. Tabia hii ndio inapelekea mimba za mapema na kukosa muelekeo kwa mabinti wengi. Kuna namna nyingi tu ambazo binti huonekana na mwanamume mwenye nia thabiti ya kuoa akavutiwa naye. Shughuli za kawaida za maisha mfano kwenda sokoni, dukani, kwenye ibada, harusini, kutembelea ndugu n.k. zinatosha kabisa kumtambulisha binti.

Habari ya kutoka matembezi ni chanzo cha kujiweka mdomoni mwa mamba. Wako wanaume wengi wanatega, wamejaa mistari ya kila namna, wanatafuta nafasi moja tu wafunge goli, na hao nfio wengi kuliko waoaji. Mwanamume aliyedhamiria kuoa hawezi kuchagua binti anayejitembeza mtaani, bali ataangalia sifa njema kama kuyokuwa na mazoezi na wanaume hovyo, na aibu ya kujichanganya kila mahali. Ukiona mwanamke hana aibu ujue unaoa mume mwenza, aibu ni sifa kuu ya mwanamke.

Mabinti wanaotaka waume wa kweli wasithubutu kuwatafuta, bali aendelee na maisha ya kawaida huku wakiepuka makundi ya marafiki wapenda starehe (viwanja) na kuwa karibu na wanaume ambao kiasili ni wapenda ngono kuliko kuoa.
Ombi la kutofautiana limekubalika, ukisoma heading nimesema "kutoka out sometimes" sio (kuzurura hivyo mitaani).

Nlipokua chuo 2005 mchungaji wangu aliwahi kutusimulia kisa cha binti mmoja mrembo kweli aliyejitosheleza kiuwezo maana alikua anatembelea gari la thamani kubwa.

Alikua bize sana na kazi kiasi cha kukosa muda wa kuintaract na vijana wa rika lake kazini zaidi ya ma MDs, CEOs and the like ambao kiumri ni wakubwa kwake na wanandoa zao.

Akienda kanisani anakua too classy, ibada ikiisha anaondoka wa kwanza na gari yake ya thamani, kutokana na daraja alilojiweka na kutokuwa na muingiliano na watu hasa vijana wa rika lake, siku moja akaenda kumuona mchungaji wake kwa ushauri kwann hapati mchumba licha ya uzuri na mali?

Mchungaji akamuambia
"binti yangu anza mazoezi ya kuja kanisani au kwenda kazini kwa usafiri wa umma(daladala) tembea kwa miguu, utapata mtu wa kukusindikiza na mkaongea kidogo na ukajenga mazoea na watu".
yule binti akaanza kwenda kanisani na kazini au matembezini kwa mguu, akawa anaenda Beach za kawaida kama coco, akawa ana socialize na watu hatimaye akapata mwenza.

Maana yangu girls get out of the shell usijijengee ukuta mrefuu, tika siku mojamoja ikiwezekana jaribu sometimea unaenda kusali makanisa yenye watu wengi, au kanisa lingine tofauti na hilo lako,

Niamini kuna mabinti hawana magari ila wanatinted gari ya Magu inasubiri haitikii hata salamu kisa kakumbatia biblia.
 
Ombi la kutofautiana limekubalika, ukisoma heading nimesema "kutoka out sometimes" sio (kuzurura hivyo mitaani).

Nlipokua chuo 2005 mchungaji wangu aliwahi kutusimulia kisa cha binti mmoja mrembo kweli aliyejitosheleza kiuwezo maana alikua anatembelea gari la thamani kubwa.

Alikua bize sana na kazi kiasi cha kukosa muda wa kuintaract na vijana wa rika lake kazini zaidi ya ma MDs, CEOs and the like ambao kiumri ni wakubwa kwake na wanandoa zao.

Akienda kanisani anakua too classy, ibada ikiisha anaondoka wa kwanza na gari yake ya thamani, kutokana na daraja alilojiweka na kutokuwa na muingiliano na watu hasa vijana wa rika lake, siku moja akaenda kumuona mchungaji wake kwa ushauri kwann hapati mchumba licha ya uzuri na mali?

Mchungaji akamuambia
"binti yangu anza mazoezi ya kuja kanisani au kwenda kazini kwa usafiri wa umma(daladala) tembea kwa miguu, utapata mtu wa kukusindikiza na mkaongea kidogo na ukajenga mazoea na watu".
yule binti akaanza kwenda kanisani na kazini au matembezini kwa mguu, akawa anaenda Beach za kawaida kama coco, akawa ana socialize na watu hatimaye akapata mwenza.

Maana yangu girls get out of the shell usijijengee ukuta mrefuu, tika siku mojamoja ikiwezekana jaribu sometimea unaenda kusali makanisa yenye watu wengi, au kanisa lingine tofauti na hilo lako,

Niamini kuna mabinti hawana magari ila wanatinted gari ya Magu inasubiri haitikii hata salamu kisa kakumbatia biblia.
Afu hiyo ya kusema eti mwanamke awe na aibu, au asizurure ili aolewe ni mawazo ya mfumo dume sana.
Mi mke wangu ni kama alijitongozesha kwangu lakini leo hii ni mke wangu na namthamini sana.

Nafikiri wadada kama kuna kijana umempenda weka hisia zako wazi kwake.
 
Naomba kutofautiana nawe mkuu. Sio sawa binti anayejiheshimu kuzutura hovyo eti kutafuta mchumba. Tabia hii ndio inapelekea mimba za mapema na kukosa muelekeo kwa mabinti wengi. Kuna namna nyingi tu ambazo binti huonekana na mwanamume mwenye nia thabiti ya kuoa akavutiwa naye. Shughuli za kawaida za maisha mfano kwenda sokoni, dukani, kwenye ibada, harusini, kutembelea ndugu n.k. zinatosha kabisa kumtambulisha binti.

Habari ya kutoka matembezi ni chanzo cha kujiweka mdomoni mwa mamba. Wako wanaume wengi wanatega, wamejaa mistari ya kila namna, wanatafuta nafasi moja tu wafunge goli, na hao nfio wengi kuliko waoaji. Mwanamume aliyedhamiria kuoa hawezi kuchagua binti anayejitembeza mtaani, bali ataangalia sifa njema kama kuyokuwa na mazoezi na wanaume hovyo, na aibu ya kujichanganya kila mahali. Ukiona mwanamke hana aibu ujue unaoa mume mwenza, aibu ni sifa kuu ya mwanamke.

Mabinti wanaotaka waume wa kweli wasithubutu kuwatafuta, bali aendelee na maisha ya kawaida huku wakiepuka makundi ya marafiki wapenda starehe (viwanja) na kuwa karibu na wanaume ambao kiasili ni wapenda ngono kuliko kuoa.
I'm happy with your comments
 
Ombi la kutofautiana limekubalika, ukisoma heading nimesema "kutoka out sometimes" sio (kuzurura hivyo mitaani).

Nlipokua chuo 2005 mchungaji wangu aliwahi kutusimulia kisa cha binti mmoja mrembo kweli aliyejitosheleza kiuwezo maana alikua anatembelea gari la thamani kubwa.

Alikua bize sana na kazi kiasi cha kukosa muda wa kuintaract na vijana wa rika lake kazini zaidi ya ma MDs, CEOs and the like ambao kiumri ni wakubwa kwake na wanandoa zao.

Akienda kanisani anakua too classy, ibada ikiisha anaondoka wa kwanza na gari yake ya thamani, kutokana na daraja alilojiweka na kutokuwa na muingiliano na watu hasa vijana wa rika lake, siku moja akaenda kumuona mchungaji wake kwa ushauri kwann hapati mchumba licha ya uzuri na mali?

Mchungaji akamuambia
"binti yangu anza mazoezi ya kuja kanisani au kwenda kazini kwa usafiri wa umma(daladala) tembea kwa miguu, utapata mtu wa kukusindikiza na mkaongea kidogo na ukajenga mazoea na watu".
yule binti akaanza kwenda kanisani na kazini au matembezini kwa mguu, akawa anaenda Beach za kawaida kama coco, akawa ana socialize na watu hatimaye akapata mwenza.

Maana yangu girls get out of the shell usijijengee ukuta mrefuu, tika siku mojamoja ikiwezekana jaribu sometimea unaenda kusali makanisa yenye watu wengi, au kanisa lingine tofauti na hilo lako,

Niamini kuna mabinti hawana magari ila wanatinted gari ya Magu inasubiri haitikii hata salamu kisa kakumbatia biblia.

Hilo mbona liko wazi? Huyo binti hata kama angetembea kwa miguu hafai kuwa mke, ameonyesha daliliza kuwa mwenye kiburi na majivuno. Hakuna mume atavumilia hayo, labda wale wanaooa kwa ajili ya mali. Mwanamke wa sifa hizo hata akianza kwenda beach akajichanganya na watu maeneo mbali mbali sana ataambulia mimba kama ana uzazi. Mke mwema hatafuti wanaume bali anatafutwa.

Samahani kwa kutumia neno kuzurura, lakini maana yangu ni hii, unaposema binti ajifunze kutoka ili aonekane na wanaume ni kujaribu kujiweka sokoni. Hii ni mbinu inayotumiwa na makahaba pia, ingawa yaweza kuonekana kwamba binti atakuwa na nia njema. Sijaelewa bado mantiki ya huyo mchungaji , lakini kwa mtazamo wangu vitu vinavyovuta hisia za mwanamume anayetafuta ndoa ni pamoja na:

1. Usafi binafsi

2. Mwonekano mzuri na mavazi ya staha.

3. Heshima na adabu kwa watu wa rika zote, mfano awapo kwenye jamii jinsi anavyozungumza na watu mbalimbali, anavyowachukulia wengine, aina ya mazungumzo anayofanya yawe yenye busara za mke, sio mtazamo wa kahaba. Kuna tabia ya binti akitongozwa kuporomosha matusi kama defensive mechanism. Jambo hili ni dalili ya tabia mbaya na mwanamke anayetenda hivi atafanya haya haya kwa mumewe.

3. Aina ya marafiki. Binti akiwa na marafiki wenye sifa mbaya hawezi kukwepa aibu yao. Atahesabiwa kati yao kwa sababu hata aina ya ushauri anaoupanda kwenye ubongo utafuatana na maisha ya hao rafiki zake.

4. Familia aliyotoka. Kama binti anatoka kwenye familia yenye sifa mbaya ni vigumu sana kupata mchumba. Malezi ya binti hufanywa kwa kiasi kikubwa na mama, hivyo kama mama hana sifa njema ni nadra sana kwa watoto wake kuwa tofauti.

Hizi ni baadhi tu ya sifa mabazo kijana yeyote mwenye nia ya mke akizigundua kwa binti, hakika atavutwa nazo na kuamua kumfuatilia jinsi anavyoishi na familia yake, ambapo huko atajua namna gani anayamudu maisha familia.

Mojawapo ya sifa mbaya kabisa ya mke ni kutokujua kupika, na hii imepelekea wanaume wengi kula mahotelini kuliko majumbani. What a shame!!

Mwanamke mwenye sifa hizi hahitaji kujitangaza bali atafuatwa kama nyuki wafuatavyo asali. Atakuwa na wakati mgumu kuamua yupi ni mume sahihi kwa sababu wengi watamtamani.

Ni mtazamo wangu
 
Afu hiyo ya kusema eti mwanamke awe na aibu, au asizurure ili aolewe ni mawazo ya mfumo dume sana.
Mi mke wangu ni kama alijitongozesha kwangu lakini leo hii ni mke wangu na namthamini sana.

Nafikiri wadada kama kuna kijana umempenda weka hisia zako wazi kwake.
Exactly mkuu wajiongeze kuna namna kibao ya kujiweka karibu na umpendaye sio lazima mwanamke akuongeleshe ni vitendo tu
 
Afu hiyo ya kusema eti mwanamke awe na aibu, au asizurure ili aolewe ni mawazo ya mfumo dume sana.
Mi mke wangu ni kama alijitongozesha kwangu lakini leo hii ni mke wangu na namthamini sana.

Nafikiri wadada kama kuna kijana umempenda weka hisia zako wazi kwake.
Well, kwa mantiki hii ukp sahihi, mfumo dume. Mimi huwa nashangaa nikimsikia mwanamume analalamikia mfumo dume. I always remain speechless!!
 
Exactly mkuu wajiongeze kuna namna kibao ya kujiweka karibu na umpendaye sio lazima mwanamke akuongeleshe ni vitendo tu
Ok, nadhani tumetofautiana kifikra, mimi sipo kwenye hiyo mifumo dume na jike. Niko kinyume na hizo theory.
 
Well, kwa mantiki hii ukp sahihi, mfumo dume. Mimi huwa nashangaa nikimsikia mwanamume analalamikia mfumo dume. I always remain speechless!!
Well at the core sisi wote ni binadamu. Haina maana kwamba kwa vile mi ni mwanaume siwezi kuona na kusemea mifumo yoyote ya ovyo isiyoleta afya ya jamii hata kama mi ni mfaidika.
 
Oooh hiyo imeshanishinda, tusipoonana kwenye mabus Muda wa kusafiri baaasi, mie na kushinda ndani ni kama Pete na kidole
 
Well at the core sisi wote ni binadamu. Haina maana kwamba kwa vile mi ni mwanaume siwezi kuona na kusemea mifumo yoyote ya ovyo isiyoleta afya ya jamii hata kama mi ni mfaidika.
Kwa hiyo mfumo jike ndio umeleta afya ya jamii? Think again!!
 
Nafahamu kuwa Mabinti hutegemea wanaume wawatongoze ili kuanza kujenga mahusiano na baadae Ndoa. Ni sahihi kabisa.
.
Lakini, ukiwa kama Binti, unayo nafasi yako endapo mwanaume aliye sahihi atakufuata. Ukweli ni kwamba, kuna upungufu mkubwa wa wanaume bora ukilinganisha na mahitaji ya mabinti kuolewa.
.
Na Mtaalamu wa masoko yeyote yule atakwambia bidhaa yenye Uhitaji (demand) (m)kubwa hununuliwa sio na wale wanaostahili ama wenye fedha, bali wale walio fasta. Yaani wale ambao wako tayari kuchukua hatua kuipata bidhaa hiyo.
.
Hivyo, kama unahitaji Mwanaume bora, usiwe mtu wa kujifungia ndani all day.
.
Haitajalisha ni kwa kiasi gani utamuomba Mungu akupe Mume, Mungu hatamleta Huyo mume moja kwa moja nyumbani kwenu/kwako.
.
Hebu patikana. Kama umeenda kanisani, mnapomaliza ibada ongea ongea na waumini wenzako kidogo, sio ukitoka tu moja kwa moja nyumbani.
.
Kutana na watu, ongea nao, tengeneza network, acha kuwa serious na anti social kwa kujifungia fungia ndani.
.
Mungu hatamtuma huyo mume aje avunje mlango wa kwenu na kukushawishi Ndoa.
.
Hebu patikana, sali na angalia!
.
#SeeYouAtTheTop
View attachment 1168549
mdada mtamu uyo nmejipigia.sana
 
Ni kweli...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Kuna wanawake wanadhani mume bora anapatikana usingizini...



Cc: mahondaw
 
Perpendicular na kitanda safi sana! Sio mnaamka asbh km mlifungwa kamba vileee...km najiona vile kujiandaa cha asbh.
 
Back
Top Bottom