Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

1.Lazima ujiamini
2.Lazima ujue kuchombeza
3.Lazima uwe nadhifu
4.Lazima uwe mchangamfu
5.Lazima ujue kupandanisha stori (ukianza stori moja hakikisha huimalizi, anza stori nyingine, demu asijue stori zinapandana)
6.Lazima uwe na ka-wallet kana noti za kuzugia (ku-boost confidence) kusudi ukiombwa hata juice sio unaanza kutoa mboni
Zingine ntaku-PM maana list ni ndefu sana
.
Mara nyingi ukiwa na character hizi hutopata shida na mademu hasa ukiwa mtamu kwenye pickup lines na kuamsha tabasamu la mwanamke.

Ila pamoja na yote hayo usiwe mfupi maana response utakayopokea kwa masista duh wengi itamaliza appetite yako ya kula. Labda uwafate wale wafupi wenzio tu 🤣🤣🤣
 
Mara nyingi ukiwa na character hizi hutopata shida na mademu hasa ukiwa mtamu kwenye pickup lines na kuamsha tabasamu la mwanamke.

Ila pamoja na yote hayo usiwe mfupi maana response utakayopokea kwa masista duh wengi itamaliza appetite yako ya kula. Labda uwafate wale wafupi wenzio tu 🤣🤣🤣
Mi sio mfupi mkuu lakin hata mademu warefu kunizidi nshapiga shazi...alafu sasa hata ukienda kiwanja ukiwa na demu aliyekuzidi urefu unaonekana unajiamini
 
Tafuta hela kama million 10.halafu nenda sehemu unayojua ina watoto wazur na wana makalioooooooo..mwambie mmojawapo nakupenda.halafu mnunulie kifurush cha laki 1.asipokukubalia kajitose baharini
Aaah bwashee hayo ni matumizi mabaya ya pesa bwashee
 
Mi sio mfupi mkuu lakin hata mademu warefu kunizidi nshapiga shazi...alafu sasa hata ukienda kiwanja ukiwa na demu aliyekuzidi urefu unaonekana unajiamini
Utakuwa charismatic sana.
 
Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
unamuuliza tu dada unakojoleaga nini akikujibu mwambie nionyeshe.
 
Achana na mastory mob..kwanza pesa unazo..siku hizi ni ushamba kumuomba dem namba...ni hivi vaa vizuri Kula vizuri fanya mazoezi keep-busy na maisha yako chalii'angu utatongozwa na visichana hadi wake za watu...real gear!!
 
Hapo namba 6 ndo nabugi aargh
Hakuna formula. Inategemea na mazingira, mtu alivyo n.k. unahitaji kupiga calculation haraka haraka kichwani. Unaweza kutumia njia zifuatazo:
1. Tafuta upenyo wa kuingilia ( entry point). Yaweza kujifanya unaomba msaada fulani. Kwa mfano samahi dada una kalamu hapo unisaidie.
2. Toa sifa fulani ..Give a complement. Umependeza, nimependa style yako ya nywele...
3. Joke..fanya utani na mzaha kidogo..kumbuka uwe utani au mzaha usioumiza. Lengo ni kumfanye acheke.
4. Endekeza mazungumzo... Mazungumzo yasiyo boa. hakikisha unafanya mazungumzo general, usianze kuzungumzia vitu personal...Kama ulianza kutoa complement ya nywele ongelea nywele. ...siyo unafanya kazi, umesoma nini, unaishi wapi...Epuka pia kujiongekea mwenyewe..mimi nafanya hivi, nakaa kule.. Unless akuulize.
5. Omba mawasiliano.
6. Sepa zako. Usimpigie mpaka baada ya siku 2.

Note:
1. Kama ni sehemu ya kukaa, nunua kinywaji
2. Hakikisha always unavaa vizuri
 
Be friends to em first...

Get em to know you just a little but make em trust you thousand times...(believe me, trust comes first)

Avoid using words like "i love u", "be my wife", "i wanna marry you" etc zile maneno za kujicommit as iff unafanya application ya visa za mamtoni...

Instead tumia maneno like "najisikia furaha nikiwa nawe, chat nawe", au "i wanna know more bout you", "natamani kujua kama moyo wako ni mzuri kama lilivyo umbile lako".... etc

Kuna mengi ya kuandika, ngoja niishie hapa...
Wahenga bado mpo tu katika game
 
Mimi nilianzaga kutongoza chekechea huko.Nilimtongoza teacher, nikawa nahongwa vikombe vya uji.
Vijana wa siku hizi sijui mnashindwa wapi?
 
Hama huko chato mkuu!matusi ya huku mjini unaambiwa tu umeme umeisha,kodi imeisha,anadaiwa vikoba,anaumwa malaria,anashida na laki mbili,Simu yake imeharibika,anataka Elfu 50 akaoshe nywele,birthday yake imekaribia etc,huku utakimbia tu mwenyewe hata hautukanwi na mtu
Ila jamani kuna wadada wengine kisanga tu, yaani hata hujamaliza shida yako anaanza kukuporomeshea matusi
 
Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
 
Ila jaman mm demu anayependa sana kunywa pombe, kwenda night club huwa siwapend kabisaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom