Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
Mnaangaliaga usmart au kama pesa ipo?...hakuna lolote...mi nilishawahi kupendwa nikiwa hovyo kabisa kimavazi sema nilikuwa nazungusha pombe kama sina akili nzuri
 
Unaanza kwa kusamilia KIUSTAARABU.

Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
 
Ila jamani kuna wadada wengine kisanga tu, yaani hata hujamaliza shida yako anaanza kukuporomeshea matusi
 
Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
Sema inabidi na wanawake muwe mnatutongoza bana, yaani unakuta mwanamke anampenda mwanaume badala ya kumwambia ukwel unaumia roho tuuuu so poa bana
 
Sema inabidi na wanawake muwe mnatutongoza bana, yaani unakuta mwanamke anampenda mwanaume badala ya kumwambia ukwel unaumia roho tuuuu so poa bana
Shida wakifanya hivyo wanaonekana kama wanajiuza ndo maana inakuwa vigumu kwao halafu na mwanaume picha inayomjia anahisi labda huyo manzi kuna kitu anakifuata kwake na wala sio mapenzi😁😁😁
 
Mdogo wangu naona unatafuta pepo linalonitesa.
Achana naayo mambo nakushauri.
 
Haya
Mdogo wangu naona unatafuta pepo linalonitesa.
Achana naayo mambo nakushauri.
Haya mambo hayakwepeki mkuu hata mapadree na masister siku hizi wanaibia kimtindo
 
Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
Mambo dada?
 
Ukiwa smart na uko na mwonekano fresh

Aiseee hata ukisema mambo, naomba namb yko huchomolewi
 
Wakuu mpo vizuri isee, inabidi nianze kutafuta maconfidence sema wengine sura zetu ngumu changamoto hiyo pia....unamsalimia demu hata salamu hakupi mpaka unaishiwa na pozi na kushindwa kuendelea hata na mada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom