Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Niliongelea anaye taka kutongoza nilimpa easiest way ya kumaliza ugwadu..sijasema njia ya kutoa shahawa
Sasa ww mahela yote hayo na pesa ilivyokuwa ngumu huoni hiyo mbinu yako ni kwa ajili ya watu wachache
 
Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
Hata tukikusaidia kutongoza ukaweza utafaidi wewe kama wewe na sio kwa maslahi mapana ya nchi.
 
Hili jibu tunasema limetokea kwenye marking scheme
Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
 
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.

1.Lazima ujiamini
2.Lazima ujue kuchombeza
3.Lazima uwe nadhifu
4.Lazima uwe mchangamfu
5.Lazima ujue kupandanisha stori (ukianza stori moja hakikisha huimalizi, anza stori nyingine, demu asijue stori zinapandana)
6.Lazima uwe na ka-wallet kana noti za kuzugia (ku-boost confidence) kusudi ukiombwa hata juice sio unaanza kutoa mboni
Zingine ntaku-PM maana list ni ndefu sana
.
 
Hivi bado Kuna kutongoza?
Mi nilishasahau.
Natangaza lengo langu na pesa mbele.
Akigoma naendelea mbele!!
Hawa wanawake miaka sio wa kuumiza kichwa, mpe offer ya kitimoto na bia ushamaliza!!
Mkimaliza hapo anakuambia anaogopa kurudi kwake peke yake!!
Kama ni Muislamu au Msabato je..??? Na sio kila demu anakula kitimoto na kunywa bia
 
1.Lazima ujiamini
2.Lazima ujue kuchombeza
3.Lazima uwe nadhifu
4.Lazima uwe mchangamfu
5.Lazima ujue kupandanisha stori (ukianza stori moja hakikisha huimalizi, anza stori nyingine, demu asijue stori zinapandana)
6.Lazima uwe na ka-wallet kana noti za kuzugia (ku-boost confidence) kusudi ukiombwa hata juice sio unaanza kutoa mboni
Zingine ntaku-PM maana list ni ndefu sana
.
Mkuu kwamba unaanza kutoa mboni....
 
Kwa kuongezea tu asiwe amenyoa kiduku!hahaaa!
Madomo zege tuyateketeze yote kwenye nchi hii walah
Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
 
Kama ni Muislamu au Msabato je..??? Na sio kila demu anakula kitimoto na kunywa bia
Mkuu mbuzi anakula majani wanayokula mbuzi wenzie.
Huwezi Anza kumpeleka mwanamke wa kiislamu kwenye kitimoto.
Kuna maeneo yao.
Kiufupi, tafuta hela. Pochi inaongea 98% ya mtongozo tuliokuwa tunautumia enzi za secondary.
 
kama sio mtu wa story na blah blah nyingi kumtongoza mtu tu mara ya kwanza kazi sana
Aiseee...! Mi huwa natumia EYE CONTACT nikifeli hapo ndo basi tena
Maana mi muda mwingi nakua Serious kiasi kwamba watu wanashindwa hata kunisemesha
 
Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
Dada
mambo vip .........

Nimependa mwandiko wako.

kama hutojali nitaomba kukushikia kalamu wakati mwingine ukiwa unandika.
 
Wakuu mpo vizuri isee, inabidi nianze kutafuta maconfidence sema wengine sura zetu ngumu changamoto hiyo pia....unamsalimia demu hata salamu hakupi mpaka unaishiwa na pozi na kushindwa kuendelea hata na mada
Mwanaume UNATUMIAJE NENO.. KUISHIWA POZI?
KIPA KATOKA AU VIPI MWENZETU?
 
Wasukuma wanachekesha sana. Juzi tu alianza kuniita hivi.

Dhadha( Dada) simama basii.nikasimama alipofika, mambo nikasema poa. Akaanza sasa.

Unajua mayoo, yaani Mimi nilikuona pale umeshuka, nikajisemea yaan, nikasikia kama vile yaan.nikacheka.

Akasema moyo huu huu jamani hapo haniangalii usoni ,mm namuona Usoni, hapo kashika lile li iPad likubwaa yaan nusu ya laptop, Mara mtu kampigia akaliweka skioni ni lilikuwa kama sahani akasema alooooooo, alooooooo sauti kubwa dah, nikaendelea kumuona suruali zile za kisabato, akamaliza kuongea.

Yaani mm najiskia kugupenda (kukupenda) . Nilicheka alikuwa na vituko. Mwisho akaomba no, nikamwambia hapana sitaki mwanaume. Nikamwambia byeee nikaacha ananiita wewe dhadha
Hahaha kma nilikuwepo na sauti zao hahah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom