pablo escobar7
Member
- Jun 17, 2019
- 47
- 49
Tafuta pesa tu mengine yanakuja tu yenyewe bila pressure
ExactlyTafuta pesa tu mengine yanakuja tu yenyewe bila pressure
Umenichekesha ila wasukuma tunamambo ukimyatia mdada anajifanya unic namwacha tu atakapokuja kujua title yangu huwa wananifuata kunitongoza hapo sasaWasukuma wanachekesha sana. Juzi tu alianza kuniita hivi.
Dhadha( Dada) simama basii.nikasimamaalipofika, mambo nikasema poa. Akaanza sasa.
Unajua mayoo, yaani Mimi nilikuona pale umeshuka, nikajisemea yaan, nikasikia kama vile yaan.nikacheka.
Akasema moyo huu huu jamanihapo haniangalii usoni ,mm namuona Usoni, hapo kashika lile li iPad likubwaa yaan nusu ya laptop, Mara mtu kampigia akaliweka skioni ni lilikuwa kama sahani akasema alooooooo, alooooooo sauti kubwa dah, nikaendelea kumuona suruali zile za kisabato, akamaliza kuongea.
Yaani mm najiskia kugupenda (kukupenda). Nilicheka alikuwa na vituko. Mwisho akaomba no, nikamwambia hapana sitaki mwanaume. Nikamwambia byeee nikaacha ananiita wewe dhadha
![]()
Hakuna mwanamke aliye single,mwenye nguvu ndio anayekula!Sana mi nikimuuliz dem upo single or akijibu tu kashatongozwa
ukiwa huna mavi huwezi ona umuhimu wa choo, subiri mavi kijana.Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
Wewe mwambie tu kwamba Dondoka Nikurarie then kuanzia hapo kila kitu kitatiririka automatically kutegemea na atakavyo kujibu. Au Mwambie tu kwamba Dada mimi nataka Ile kitu namesa mwenzakeWakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
Be friends to em first...
Get em to know you just a little but make em trust you thousand times...(believe me, trust comes first)
Avoid using words like "i love u", "be my wife", "i wanna marry you" etc zile maneno za kujicommit as iff unafanya application ya visa za mamtoni...
Instead tumia maneno like "najisikia furaha nikiwa nawe, chat nawe", au "i wanna know more bout you", "natamani kujua kama moyo wako ni mzuri kama lilivyo umbile lako".... etc
Kuna mengi ya kuandika, ngoja niishie hapa...
Ukikutana na mwanamke mkazie jicho km 'propesa' wa jalalani mwambie unataka UKAMTOMB.E hapo kazi yako inakuw imeisha.Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
Na wasiokula kitimoto na bia unawapa nini?....Hivi bado Kuna kutongoza?
Mi nilishasahau.
Natangaza lengo langu na pesa mbele.
Akigoma naendelea mbele!!
Hawa wanawake miaka sio wa kuumiza kichwa, mpe offer ya kitimoto na bia ushamaliza!!
Mkimaliza hapo anakuambia anaogopa kurudi kwake peke yake!!
Hahahahahhaha hao ndio vilaza kabisaaa kwenye nchi yetu sijui wapojeWasukuma wanachekesha sana. Juzi tu alianza kuniita hivi.
Dhadha( Dada) simama basii.nikasimamaalipofika, mambo nikasema poa. Akaanza sasa.
Unajua mayoo, yaani Mimi nilikuona pale umeshuka, nikajisemea yaan, nikasikia kama vile yaan.nikacheka.
Akasema moyo huu huu jamanihapo haniangalii usoni ,mm namuona Usoni, hapo kashika lile li iPad likubwaa yaan nusu ya laptop, Mara mtu kampigia akaliweka skioni ni lilikuwa kama sahani akasema alooooooo, alooooooo sauti kubwa dah, nikaendelea kumuona suruali zile za kisabato, akamaliza kuongea.
Yaani mm najiskia kugupenda (kukupenda). Nilicheka alikuwa na vituko. Mwisho akaomba no, nikamwambia hapana sitaki mwanaume. Nikamwambia byeee nikaacha ananiita wewe dhadha
![]()
Daaah, kweli lakini, mi ni mtu mmoja mgumu sana kutoa pesa kwa msichana ambae sija..... sijui nina matatizo gani,Naaamini kuwa mwanaume anaweza akawakosa wanawake wote ila hawez kumkosa mwanamke anayependa pesa..na ukiwa na pesa zinakusaidia kutongoza labda awe hana tamaaa ya pesa na hao ni wafew sana 3%
Hii imekaa poa ngoja tuanze kufanyia kaziHakuna formula. Inategemea na mazingira, mtu alivyo n.k. unahitaji kupiga calculation haraka haraka kichwani. Unaweza kutumia njia zifuatazo:
1. Tafuta upenyo wa kuingilia ( entry point). Yaweza kujifanya unaomba msaada fulani. Kwa mfano samahi dada una kalamu hapo unisaidie.
2. Toa sifa fulani ..Give a complement. Umependeza, nimependa style yako ya nywele...
3. Joke..fanya utani na mzaha kidogo..kumbuka uwe utani au mzaha usioumiza. Lengo ni kumfanye acheke.
4. Endekeza mazungumzo... Mazungumzo yasiyo boa. hakikisha unafanya mazungumzo general, usianze kuzungumzia vitu personal...Kama ulianza kutoa complement ya nywele ongelea nywele. ...siyo unafanya kazi, umesoma nini, unaishi wapi...Epuka pia kujiongekea mwenyewe..mimi nafanya hivi, nakaa kule.. Unless akuulize.
5. Omba mawasiliano.
6. Sepa zako. Usimpigie mpaka baada ya siku 2.
Note:
1. Kama ni sehemu ya kukaa, nunua kinywaji
2. Hakikisha always unavaa vizuri
Haya ndo changamoto kwa kweliWasukuma wanachekesha sana. Juzi tu alianza kuniita hivi.
Dhadha( Dada) simama basii.nikasimama😁 alipofika, mambo nikasema poa. Akaanza sasa.
Unajua mayoo, yaani Mimi nilikuona pale umeshuka, nikajisemea yaan, nikasikia kama vile yaan.nikacheka.
Akasema moyo huu huu jamani 😁😁 hapo haniangalii usoni ,mm namuona Usoni, hapo kashika lile li iPad likubwaa yaan nusu ya laptop, Mara mtu kampigia akaliweka skioni ni lilikuwa kama sahani akasema alooooooo, alooooooo sauti kubwa dah, nikaendelea kumuona suruali zile za kisabato, akamaliza kuongea.
Yaani mm najiskia kugupenda (kukupenda) 😁😁😁😁. Nilicheka alikuwa na vituko. Mwisho akaomba no, nikamwambia hapana sitaki mwanaume. Nikamwambia byeee nikaacha ananiita wewe dhadha😂😂
Usichoke kuandika hayo uliyobakisha ndo tunayahitajiBe friends to em first...
Get em to know you just a little but make em trust you thousand times...(believe me, trust comes first)
Avoid using words like "i love u", "be my wife", "i wanna marry you" etc zile maneno za kujicommit as iff unafanya application ya visa za mamtoni...
Instead tumia maneno like "najisikia furaha nikiwa nawe, chat nawe", au "i wanna know more bout you", "natamani kujua kama moyo wako ni mzuri kama lilivyo umbile lako".... etc
Kuna mengi ya kuandika, ngoja niishie hapa...
Sasa kama huna pesa inamaana tuanzishe CHAPUTATafuta hela kama million 10.halafu nenda sehemu unayojua ina watoto wazur na wana makalioooooooo..mwambie mmojawapo nakupenda.halafu mnunulie kifurush cha laki 1.asipokukubalia kajitose baharini
Unaziwazia sana pesa au unakuwa na pesa ya mawazo.nasemea Sisi wenye kulala na ten unaamka na m 3 hadi 10Daaah, kweli lakini, mi ni mtu mmoja mgumu sana kutoa pesa kwa msichana ambae sija..... sijui nina matatizo gani,
Unaanza hivi
Mambo sister
Poa
Nikwambie kitu
Ndio
Mwenzio nakupenda.
Basi kazi imekwisha
Mi ndo navyofanyaga![]()





Wasukuma wanachekesha sana. Juzi tu alianza kuniita hivi.
Dhadha( Dada) simama basii.nikasimamaalipofika, mambo nikasema poa. Akaanza sasa.
Unajua mayoo, yaani Mimi nilikuona pale umeshuka, nikajisemea yaan, nikasikia kama vile yaan.nikacheka.
Akasema moyo huu huu jamanihapo haniangalii usoni ,mm namuona Usoni, hapo kashika lile li iPad likubwaa yaan nusu ya laptop, Mara mtu kampigia akaliweka skioni ni lilikuwa kama sahani akasema alooooooo, alooooooo sauti kubwa dah, nikaendelea kumuona suruali zile za kisabato, akamaliza kuongea.
Yaani mm najiskia kugupenda (kukupenda). Nilicheka alikuwa na vituko. Mwisho akaomba no, nikamwambia hapana sitaki mwanaume. Nikamwambia byeee nikaacha ananiita wewe dhadha
![]()




Niliongelea anaye taka kutongoza nilimpa easiest way ya kumaliza ugwadu..sijasema njia ya kutoa shahawaSasa kama huna pesa inamaana tuanzishe CHAPUTA