Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
Kama hauna hela hauwezi kula mzigo
 
Sikuizi kumtaka Demu atutongozi mbona mnaleta mambo ya kale
kutongoza si lazima useme nakutaka, au nakupenda, ishu ni kujenga mazoea na mtu akuelewe na kukuamini,

au wewe unamshika tu mkono unamwambia twende huku?
 
Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
Tafuta hela mdogo wangu,mambo ya kusimamisha mdada wa watu na kuanza kumpa sound,na mistari mireeefu,tulifanya kaka zako,enzi hizo mpaka mwisho wa miaka ya 1999s,kabla ya smart phone na Social networks,
Sasa HV unaanzia wapi kupiga sound,unaye mpiga sound yupo bize na smart phone muda wote?
Tafuta hela kwanza mengine utazidishiwa
 
Tafuta hela mdogo wangu,mambo ya kusimamisha mdada wa watu na kuanza kumpa sound,na mistari mireeefu,tulifanya kaka zako,enzi hizo mpaka mwisho wa miaka ya 1999s,kabla ya smart phone na Social networks,
Sasa HV unaanzia wapi kupiga sound,unaye mpiga sound yupo bize na smart phone muda wote?
Tafuta hela kwanza mengine utazidishiwa
Sawa mkuu ngoja tutafute pesa watakuja wenyewe tu
 
Simple sana. Kutongoza kuna hatua 4.
1. Salamu ,
(Dada habari? .......)

2. Kumsifia,
( Mrembo Umedamshi ....).

3. Kuomba Namba ya simu
(Dada tunaweza kuwasiliana tena,... Tubadilishane mawasiliano...) hapa sasa usije ukatoa li TECNO mfukoni.

4. Kuagana
(Bye Mrembo, Baadae nitakupigia simu Nikutongoze....) kama mpo kwenye daladala au hotelini unamlipia.

Akijibu Haaaaya, ndo basi tena ushamtongoza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom