Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Mwambie samahani dada kuna jambo nataka nikushirikishe ila muda sio rafiki naomba namba yako ya simu kama itakupendeza nitakupigia baadaye tuongee.

Akikataa usijiskie vibaya kwasababu waswahili wanasema "wali wa kushiba unauona tu kwa macho"
 
Akikijibu asante, huwa unachukua hatua gani??
akiniambia Asante
Mi namuacha Kama siku mbili hivi
Lazima atajileta,
Huwa wanaenda kunifikiria
Kwasababu wakati huo namkodelea macho kama natia huruma hivi halafu very serious
Lazma ajigonge😏😏😏😎😎😎
 
Mbona unatufelisha wanaume kweli na hili nila kufungulia uzi nalo
Men tumebaki wachache
 
Tafuta hela mdogo wangu,mambo ya kusimamisha mdada wa watu na kuanza kumpa sound,na mistari mireeefu,tulifanya kaka zako,enzi hizo mpaka mwisho wa miaka ya 1999s,kabla ya smart phone na Social networks,
Sasa HV unaanzia wapi kupiga sound,unaye mpiga sound yupo bize na smart phone muda wote?
Tafuta hela kwanza mengine utazidishiwa
Tafuta hela.... bolded
 
Tuseme tu hivyo.
Mtu akinitongoza akianza usumbufu namblock.
Block list yangu ina watu kama 80 hivi na kati ya hao nadhani 70 ni kwa sababu ya kunitongoza.
Huwa wanachukuaga namba vizuri tu? Kama rafiki wakileta mitongozo ndo wanakutana na block!

why lakini, block inauma kiukweli, afu unakuta ndo ivo mtu yupo for real na wala si masihara
 
we jamaa mahakama ya mapenzi unajua kabisa ipo kule bustani ya edeni afu unasema kirahis tu kuwa nakupenda.Mwisho wa siku unashangaa huyo Hawa anachepuka anakuacha anamfuata shetan.
Mana shetan ndo bingwa wa kupiga swaga hadi Hawa anakubali mziki
Unaanza hivi

Mambo sister
Poa
Nikwambie kitu
Ndio
Mwenzio nakupenda.

Basi kazi imekwisha
Mi ndo navyofanyaga
 
Umenichekesha ila wasukuma tunamambo ukimyatia mdada anajifanya unic namwacha tu atakapokuja kujua title yangu huwa wananifuata kunitongoza hapo sasa
Lipia tangazoooo😂😂
 
Tuseme tu hivyo.
Mtu akinitongoza akianza usumbufu namblock.
Block list yangu ina watu kama 80 hivi na kati ya hao nadhani 70 ni kwa sababu ya kunitongoza.
Kwa hiyo wewe tunakupataje sasa bila kukutongoza...!?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom