Hhahahaa chuga noma sanaHuku R,chuga hatuzunguki sana unasalimia kisha unamuliza, sister hapo kati niaje?
Hhahahaa chuga noma sanaHuku R,chuga hatuzunguki sana unasalimia kisha unamuliza, sister hapo kati niaje?
Sana mi nikimuuliz dem upo single or akijibu tu kashatongozwaMbona unaturudisha nyuma
Nunua gari wape lift utawafaudu kiulaini
Wasukuma wanachekesha sana. Juzi tu alianza kuniita hivi.shida ni kutafuta starting point. kama si mtu wa maneno mengi ukikutana na wale hawapendi kusema sema shughuli ipo.
Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
😂😂😂😂 Aiseeh.Wasukuma wanachekesha sana. Juzi tu alianza kuniita hivi.
Dhadha( Dada) simama basii.nikasimama😁 alipofika, mambo nikasema poa. Akaanza sasa.
Unajua mayoo, yaani Mimi nilikuona pale umeshuka, nikajisemea yaan, nikasikia kama vile yaan.nikacheka.
Akasema moyo huu huu jamani 😁😁 hapo haniangalii usoni ,mm namuona Usoni, hapo kashika lile li iPad likubwaa yaan nusu ya laptop, Mara mtu kampigia akaliweka skioni ni lilikuwa kama sahani akasema alooooooo, alooooooo sauti kubwa dah, nikaendelea kumuona suruali zile za kisabato, akamaliza kuongea.
Yaani mm najiskia kugupenda (kukupenda) 😁😁😁😁. Nilicheka alikuwa na vituko. Mwisho akaomba no, nikamwambia hapana sitaki mwanaume. Nikamwambia byeee nikaacha ananiita wewe dhadha😂😂



Tafuta hela kama million 10.halafu nenda sehemu unayojua ina watoto wazur na wana makalioooooooo..mwambie mmojawapo nakupenda.halafu mnunulie kifurush cha laki 1.asipokukubalia kajitose bahariniWakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
Naunga mkono hoja, ajitose kwenye boti zinazoenda Zanzibari.Tafuta hela kama million 10.halafu nenda sehemu unayojua ina watoto wazur na wana makalioooooooo..mwambie mmojawapo nakupenda.halafu mnunulie kifurush cha laki 1.asipokukubalia kajitose baharini
Naaamini kuwa mwanaume anaweza akawakosa wanawake wote ila hawez kumkosa mwanamke anayependa pesa..na ukiwa na pesa zinakusaidia kutongoza labda awe hana tamaaa ya pesa na hao ni wafew sana 3%Naunga mkono hoja, ajitose kwenye boti zinazoenda Zanzibari.