Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,356
- 33,898
Miaka mitano sasa bado unapigana vita zile zile zisizokua na maanaKhaaaah!! Mabwakuuu.
Kumbe Hii ndio Dis enyewee??
Afu mbona sijawahi kujificha humu ndani, niko winja winja na leleleleee, na bwana nikawa nae na alinitambulisha wazi wazi humu jukwaanii.
Sio yeye kutwaa kumfata PM Bwana, eti huyo coca anakupa nini hadi umelewa hivyo, tena asubuhi hata hajaamka kwenda kazini. Na PM zote alikua ananioneshaa
After then wakaandaa group la kutaka kunipindua, mnyaki wa watu wakampanga eti nae kujifanya juu wakati hapa JF nilimpokea mie, na mie ndo nilimsarandia kwa mtu akamkataa hamtamki diploma, anataka Degree
Bas alivyoona kuna lecturer wa course yangu si akajifanya kumfata kumuuliza km ananifahamu, mwenzake akamktalia simjui na sidhani hata yeye km ananijua, wakati mie namjua ila yeye hanijui.
Eti alikua ana muambia amsaidie kumsomesha, akamgomea
Na kundi likarapaganyikaa , jamaniiiii
Kiuno kigumu ndio hicho kilichomteka Ex wake, na akaja kwanguuu.
Afu hii naimudu bhanaa, waje na segment mpyaa.![]()
Btw haya maneno maana yake nini
Shengesha
Le le le le le
Winja winja
Njegeka




