Cyberbullying

Cyberbullying

Hahaha una hasira wewe......

Ila hatukujuana barabarani ujue.....

Usijichekeshe hapa..haijalishi hata tungejuana chooni ila ulichokifanya ni udwanzi..kufatilia habari za watu kama wataka kuchumbia eboo😱...nna hasira ndio ukiingia kwenye anga zisizokuhusu sicheki na kima...yalishaisha lakini😉
 
Usijichekeshe hapa..haijalishi hata tungejuana chooni ila ulichokifanya ni udwanzi..kufatilia habari za watu kama wataka kuchumbia eboo😱...nna hasira ndio ukiingia kwenye anga zisizokuhusu sicheki na kima...yalishaisha lakini😉

Duh..! Thank God nilikoma zamani..!
 
Oh yeah.....ile kama huna mbio tangulia mbele? Hii ni ukweli mtupu ujue...

Nilicheka sana, maana ni point ila uliiweka kimasikhara sana.

Kuna baadhi wanapenda mind games, afu hawana vifua. Kidogo tu makelele meengi, hata mtaani ipo sana hii.
Kweli kama mtu hana mbio bora kutangulia. Hapa unaweza kujikuta una bully mtu bila hata kujua, lakini hutokea sometimes.
 
Kwa kweli kuna umuhimu wa kuelimisha vijana wetu.

Huko IG mtu anapost picha kalala, au ndo ameshajifunika anataka kulala, mie hubaki mdomo wazi tu.

Siku hizi kila kitu ni kuposti tu.

This is serious...mimi ningekuwa na watoto wa kike ningekuwa nawa monitor mitandao wanayotembelea na watu wanao connect nao...unakuta vi teenagers ndio haswa vina misuse social networks...hatari sana...kuna watoto wanajiuza facebook...just imagine...wazazi hawana hili wala lile...
 
Kuwa bullied mtandaoni ni kujitakia tu. Ukishea na mtu privacy zako, humjui-hakujui, akija kukugeuka unamlaumu nani. It's simple, don't share your privacy with everyone. Mnatuma picha za uchi au mnatongozana mtandaoni...unategemea mkikosana itakuwaje?

You're right on the money!

Huwezi kum-bully mtu usiyemjua au usiyekuwa na habari zake.

Wengi wetu madongo tunayorushiana humu ni trolling tu, lakini siyo bulllying.

Mtu nimekutana na wewe mtandaoni, tumebadilishana picha lakini nimekupa wewe picha feki (ambayo si yangu), nimekupa jina feki, na kadhalika. Utaanzia wapi kuni-bully?

Kitu cha busara ni watu kuwa makini sana na kutotoa taarifa zao za ukweli kwa watu ambao hata hawajawahi kukutana nao ana kwa ana.

Wewe unampa mwenzio habari zako za ukweli wakati yeye anakupa za uongo. Nani mjanja hapo?

Trolling is not bullying.
 
Kwa kweli kuna umuhimu wa kuelimisha vijana wetu.

Huko IG mtu anapost picha kalala, au ndo ameshajifunika anataka kulala, mie hubaki mdomo wazi tu.

Siku hizi kila kitu ni kuposti tu.

Ndo maana sisi (mimi na bi mdogo) huwezi kutukuta huko kwenye hayo ma mitandao. Si Facebook wala Instagram.

Hata humu ni mwendo wa NN na Jini Mapembe tu.

Sasa atayejisikia kuni-troll (au katika akili yake kuni-bully), then the joke is on him coz he/ she will never ever know the real me. Never.

Unakuta mtu katoa ushuzi halafu eti anaenda kubandika huko Instagram na lisura lake analiweka huko. Seriously?

Halafu, jambo jingine la kuepuka (at least kwa wajanja kama sisi) ni hizo sijui party za JF.

Nitapiga kelele weee kwamba nakuja sijui nini nini.....but at the end of the day I know I'll be a no-show.

Hebu imagine siku kweli niende kwenye moja ya hizo party.......hahahaaaa. *** no!
 
vyeti vyangu haali mimi siogopi chochote ujue
nimesota four years na majivuno ya ma mramba,mwl.dorie,mrs.bakari,mwl.safari bajahanuni bila kumsahau mwirike na kiingereza chake cha kilugha
bado hostel advance jumlisha mishe za malektara pande za higher learning
najivunia elimu na ualimu wangu ujue

We jifariji tu kwa cheti halali, ila watafanya cyberbullying kuwa umeghushi vyeti sijui utamlilia nani?
 
Hata mimi sielewi kabisa hizi party...I still believe wana joke...

Kabisa mimi NK niende kwenye party ya network ambayo natumia jina fake...labda ntakapoanza kutumia jina langu halisi, na kuanza kuongea serious issues tu...which I am about to...lol

Ndo maana sisi (mimi na bi mdogo) huwezi kutukuta huko kwenye hayo ma mitandao. Si Facebook wala Instagram.

Hata humu ni mwendo wa NN na Jini Mapembe tu.

Sasa atayejisikia kuni-troll (au katika akili yake kuni-bully), then the joke is on him coz he/ she will never ever know the real me. Never.

Unakuta mtu katoa ushuzi halafu eti anaenda kubandika huko Instagram na lisura lake analiweka huko. Seriously?

Halafu, jambo jingine la kuepuka (at least kwa wajanja kama sisi) ni hizo sijui party za JF.

Nitapiga kelele weee kwamba nakuja sijui nini nini.....but at the end of the day I know I'll be a no-show.

Hebu imagine siku kweli niende kwenye moja ya hizo party.......hahahaaaa. *** no!
 
Nimekutana na Maelezo ya Mtaalamu anayeitwa Freeman Nikaona nishare pamoja. Amejaribu kufafanua kwa uzuri.


Cyberbullying is the use of cell phones, instant messaging, e-mail, chat rooms or social networking sites such as Facebook and Twitter to harass, threaten or intimidate someone. Cyberbullying is often done by children, who have increasingly early access to these technologies. The problem is compounded by the fact that a bully can hide behind an electronic veil, disguising his or her true identity. This secrecy makes it difficult to trace the source and encourages bullies to behave more aggressively than they might face-to-face.


Cyberbullying can include such acts as making threats, sending provocative insults or racial or ethnic slurs, gay bashing, attempting to infect the victim's computer with a virus, and flooding an e-mail inbox with messages. If you are a victim, you can deal with cyberbullying to some extent by limiting computer connection time, not responding to threatening or defamatory messages, and never opening e-mail messages from sources you do not recognize or from known sources of unwanted communications. More active measures include blacklisting or whitelisting e-mail accounts, changing e-mail addresses, changing ISPs, changing cell phone accounts, and attempting to trace the source.


Q. How big of a problem is cyberbullying?


Freeman: Cyberbullying is global. Recent statistics show – across the board, across the planet. Between a quarter and a third of teenagers are being affected regularly. It tends to be 11-16 [years olds] … but it does affect younger and older people as well.
Cyberbullying_Victimization_2007-2014-640x459.jpg



Q. Is cyberbullying race, culture or gender-specific?


Freeman: No. The studies we've done and studies other people have done have suggested that apart from a link to teenage girls, there seems to be no particular class or creed that are affected any more than anybody else … Teenage girls are the primary victims.


Q. Why teenage girls, specifically?


Freeman. Teenage girls tend to use social media slightly differently. They tend to spend longer time on it. Our studies have shown that teenage girls spend more time on social media. Therefore it would suggest that the longer time spent there, the more likely that they see it to occur.


Q. How does a person become a cyberbullying target?


Freeman: In a classic case of cyberbullying, they would start being made to feel threatened or upset in one way or the other. Someone's doing it intentionally. So depending on the platform, it would be direct messages sent or, you know, Facebook posts, or whatever platform they are on. And the person would find that they were getting relentless negativity projected towards them, which is always completely unjust and undeserved … And then, the problem with cyberbullying is because it is so public and the reach is immediately so big that more people get to participate as the problem grows.


Q. So is the cyberbully a stranger or an acquaintance of the victim?


Freeman: They normally have a suspicion at the beginning who it is, who is doing it. And people use anonymity to do this. This is in the most classic sense … It normally starts with possibly a disagreement or an argument that could happen at school or could happen on a forum that they frequent, where they actually have a previous contact with the person. And what happens – once it turns into a case of cyberbullying or harassment, more people who see, who are exposed to the abuse actually get involved by publishing posts themselves and that's when we see the problem completely escalate.


Q. So is the cyberbully spurred by a perceived weakness in the victim?


Freeman: When people show any weakness, unfortunately their perpetrators don't see the same empathy as conventional bullying, where you might see the child in the corner saying ‘please don't hurt me', crying. And then the hardiest of bullies would have empathy, whereas with the online bullying you can't see that, so you could potentially have a child on the brink of suicide. And the perpetrators have absolutely no idea. So they continue to do this. So I don't think the weakness comes into it. But certainly retaliation encourages more cyberbullying.


Q. Is cyberbullying particular to some websites more than others?


Freeman: It's prevalent across all websites. And we used to be of the thought that there were some kinds of technological fixes to this problem, i.e., filters that reduce the ability to post anonymous posts. But as we have spent more time around the children that are suffering, we've seen that the real problem is a behavioral one. So irrelevant to their particular platforms, the one constant is this being mean to each other. That's the ultimate bottom line. There are some platforms where there are higher numbers of incidences, but that tends to be reflected to the higher number of users.


Q. What is the effect of cyberbullying?


Freeman: Cyberbullying is devastating because there are so many different facets to it. Social media is so important to teenagers now. The adults – we don't understand how important because we knew the world without it … But for children who don't know any different, social media is so integral in their life that they can't see life without it. So if their [time] in using social media is being made unpleasant or they feel like they can't continue because it's so embarrassing because the whole reach and exposure is so big, then that's what gets children so depressed. It causes depression, self-harm, social isolation, school educational problems, suicide attempts and ultimately suicide. Its all-encompassing destruction is immense.


Q. What can parents do?


Freeman: If you are going to let your child, for instance, go on social media a bit earlier than they possibly should be, you need to make sure your child is emotionally intelligent enough to do this. And then make sure … as learned behavior from day one – that they value their privacy highly and they know the consequences of using these platforms and the Internet in general that once something is posted, you don't own it anymore. This is public property. You can't just delete it. So there's a time and a place for certain tech controls and help. But there is no quick technological fix for this problem.


Q. So how do you address the problem?


Freeman: Cyberbullying is across the board. It's across all platforms … We need to spend more resources on the root of the problem, which is behavior, and slightly less on the tech side purely because we are seeing so many mixed messages coming from official standpoints that that is doing as much damage as the cyberbullying because it is making parents and children and indeed non-profit organizations not know where they stand. We've got no clear messaging.


Q. Can technology help fight cyberbullying?


Freeman: There are parental controls, parental filters. And the most underrated tech tool there is are the privacy and safety settings in the social networks. They are there. We just need to you know, encourage parents and enable them to teach their kids, their children to use them.


Q. Is technology part of the problem?


Freeman: We can't blame technology. We've had generations and generations to learn our etiquette and social behavior and we haven't had time to learn that online yet in line with the growth, so that we shouldn't blame technology. We should embrace technology. And we should actually be using the technology to fix this problem … It's so important for people to start realizing that this problem can be fixed through education. Mia
 
Ndo maana sisi (mimi na bi mdogo) huwezi kutukuta huko kwenye hayo ma mitandao. Si Facebook wala Instagram.

Hata humu ni mwendo wa NN na Jini Mapembe tu.

Sasa atayejisikia kuni-troll (au katika akili yake kuni-bully), then the joke is on him coz he/ she will never ever know the real me. Never.

Unakuta mtu katoa ushuzi halafu eti anaenda kubandika huko Instagram na lisura lake analiweka huko. Seriously?

Halafu, jambo jingine la kuepuka (at least kwa wajanja kama sisi) ni hizo sijui party za JF.

Nitapiga kelele weee kwamba nakuja sijui nini nini.....but at the end of the day I know I'll be a no-show.

Hebu imagine siku kweli niende kwenye moja ya hizo party.......hahahaaaa. *** no!

Uko sawa ,uku kukutana live kwenye izo party ndo kunafanya watu wakati mwingine wajuane.

Let's say ijumaa ijayo mnakutana kwenye party kila mmoja anakua anatamani ajue @NN yukoje iyo siku au mimi mkabasia nikoje.From there watu ndo wanaanza na vistory vyao vya umbea.Bora sijui na uko kwenye party utunge jina lingine la uongo.
 
Last edited by a moderator:
georgeousmimi ondoa iyo update mpenzi inakuwa ndefu inachosha kusoma tutaiona tu kwa figa
 
georgeousmimi ondoa iyo update mpenzi inakuwa ndefu inachosha kusoma tutaiona tu kwa figa
Mi sikuiweka hio update wameweka wenyewe mods hata title ya thread wamebadili wao!Na sijui kwanini....
 
sinza kwetu sina cha kukuambia ila tu SHIKA ADABU YAKO
uliniadd kwenye hizo team au we ni admin wa hizo team???pambaffff
 
Last edited by a moderator:
Usijichekeshe hapa..haijalishi hata tungejuana chooni ila ulichokifanya ni udwanzi..kufatilia habari za watu kama wataka kuchumbia eboo😱...nna hasira ndio ukiingia kwenye anga zisizokuhusu sicheki na kima...yalishaisha lakini😉

Kwahiyo unataka nini haswaa?
Kama yalishaisha sasa ni nini unakiendeleza hapa?
Na Kwanini imekuwa very big deal to you?
Kwani hayo yaliyotokea yalitokea humu jukwaani?
Find the right place unimwagie hizo hasira zako na siyo kuyazungumzia humu , hata haipendezi.
 
Kwahiyo unataka nini haswaa?
Kama yalishaisha sasa ni nini unakiendeleza hapa?
Na Kwanini imekuwa very big deal to you?
Kwani hayo yaliyotokea yalitokea humu jukwaani?
Find the right place unimwagie hizo hasira zako na siyo kuyazungumzia humu , hata haipendezi.

Ua entiltled to your own opinion....na pia huwezi nipangia wapi niseme...una busara sana kuona haya hayakupendezi hata mimi yale hayakunipendeza.....na kama hutaki hili liendelee hapa wacha kunijibu...unakua kama le mutuz bwana kujibu jibu...we piga kimya
 
Back
Top Bottom