Cyberbullying

Cyberbullying

hivi watu wanavyomshambulia Le Mutuz mkaree wa ma babes sio cyberbullying???!! jamaa ana roho ngumu sana angekuwa na roho nyepesi angekimbia jf

I think that's just trolling. I wouldn't call it bullying because they just wanna get under his skin but fortunately for him and unfortunately for them, he is a pachyderm. And as such I really admire him for that trait.

Halafu unajua nini....sidhani kuna hata mmoja anayeweza kumwambia ana kwa ana mambo wamwambiayo humu.

The internet can create a whole bunch of tough guys and gals.
 
Inakuwaje post zangu zinafutwa nilitaka kuonyesha jinsi bullying inavyofanya kazi jf na imeaffect vp wa2 na life yao kwa ujumla sikuwa na nia mbaya.

Kwani ni uongo kuhusu teams mbona zipo?na makocha wao wapo au kwa kuwa mnayasponsa mnafichaficha. Habari nilitaks kuzimwaga nyingi ili bullying ipungue ila mmenizingua na modz wenu.

Kwani uwongo watu hawajaibiana mabwana umu? kwani uwongo watu wamevunjiana ndoa umu that's y chuki zimezidi? kwani uwongo watu kusambazia wakaka picha zao za uchi wasap? kwani uwongo makundi yamekimbia jukwaa au mnawaona siku hizi?
 
Inakuwaje post zangu zinafutwa nilitaka kuonyesha jinsi bullying inavyofanya kazi jf na imeaffect vp wa2 na life yao kwa ujumla sikuwa na nia mbaya.

Kwani ni uongo kuhusu teams mbona zipo?na makocha wao wapo au kwa kuwa mnayasponsa mnafichaficha. Habari nilitaks kuzimwaga nyingi ili bullying ipungue ila mmenizingua na modz wenu.

Kwani uwongo watu hawajaibiana mabwana umu? kwani uwongo watu wamevunjiana ndoa umu that's y chuki zimezidi? kwani uwongo watu kusambazia wakaka picha zao za uchi wasap? kwani uwongo makundi yamekimbia jukwaa au mnawaona siku hizi?

Dude, do you have proof of what you're talking about or are you just doing crazy talk?

If it's crazy talk, then I get it.

But if it's true then it ought to be underpinned by some solid, compelling evidence.
 
I think that's just trolling. I wouldn't call it bullying because they just wanna get under his skin but fortunately for him and unfortunately for them, he is a pachyderm. And as such I really admire him for that trait.

Halafu unajua nini....sidhani kuna hata mmoja anayeweza kumwambia ana kwa ana mambo wamwambiayo humu.

The internet can create a whole bunch of tough guys and gals.

what if u do the same to a weak person?? trolling can lead to bullying??? coz what people say may not trouble le mutus but doing the same to somebody else inaweza kuleta madhara kwa huyo mtu.
 
Usijichekeshe hapa..haijalishi hata tungejuana chooni ila ulichokifanya ni udwanzi..kufatilia habari za watu kama wataka kuchumbia eboo😱...nna hasira ndio ukiingia kwenye anga zisizokuhusu sicheki na kima...yalishaisha lakini😉
Mdogo wangu tulia wanaume ndivyo walivyo ata mwenzio alifanyiwa hivi hivi.
 
what if u do the same to a weak person?? trolling can lead to bullying??? coz what people say may not trouble le mutus but doing the same to somebody else inaweza kuleta madhara kwa huyo mtu.

Yeah, there is a fine line.

But more of what goes on in here behind these noms de plume is trolling because, for example, me and you don't know each other.

You don't know my principal place of abode, you don't know my real name, you don't know what I do for a living, etc.

And what that means is that, you don't really have the necessary ammo to make my life a living hell.

Or do you really think that you can attack NN in here and make his life miserable?

What ammo do you have to make that happen?
 
Dude, do you have proof of what you're talking about or are you just doing crazy talk?

If it's crazy talk, then I get it.

But if it's true then it ought to be underpinned by some solid, compelling evidence.
if i gonna tell everything will be banned coz my previous post has beeen deleted with no reason.... i av strong evdnc but how shud i take it out?
 
Dude, do you have proof of what you're talking about or are you just doing crazy talk?

If it's crazy talk, then I get it.

But if it's true then it ought to be underpinned by some solid, compelling evidence.
my previous posts has been deleted with no reason....how shud i gv things out if will be banned?
 
hizi nyingine za kujitakia tu kisa pm ya mwanaume chupi inaloa details zinamwaga weeee tena kwa mtu usomjua kesho jasho linatiririka ooh nimetangazwa ha ha ha ha uuuhhh!!!!
 
Yeah, there is a fine line.

But more of what goes on in here behind these noms de plume is trolling because, for example, me and you don't know each other.

You don't know my principal place of abode, you don't know my real name, you don't know what I do for a living, etc.

And what that means is that, you don't really have the necessary ammo to make my life a living hell.

Or do you really think that you can attack NN in here and make his life miserable?

What ammo do you have to make that happen?

i wont do that even if i know u.
watu wanajuana humu so it can happen.
 
Back
Top Bottom