Cyberbullying

Cyberbullying

Hivi cyberbullying inainclude misuto ambayo mara nyingi huanzia mmu na kuhamishiwa chitchat? Au hiyo ni.counter cyberbullying?
Kwa njia moja au nyingine cyberbullying inahusiana na misuto haswa wahusika wanapoamua kuchukua hatua !Misuto naweza kusema ni matokeo ya cyber bullying haswa wahusika wanapoamua kusimama dede na kujitetea au kumpa bully makavu live!
 
Yes dear...humu kichefuchefu....nilijaribu kujuana na asakuta same hata masaa hayakupita alinitibua...nikaamini ya ngoswe aachiwe ngoswe mwenyewe...pm nakausha..tujuane hapahapa kwa uzi yatosha
Hahaha una hasira wewe......

Ila hatukujuana barabarani ujue.....
 
Last edited by a moderator:
Hivi cyberbullying inainclude misuto ambayo mara nyingi huanzia mmu na kuhamishiwa chitchat? Au hiyo ni.counter cyberbullying?
Cyberbullying is the use of information technology to repeatedly harm or harass other people in a deliberate manner.[1] According to U.S. Legal Definitions, Cyber-bullying could be limited to posting rumors or gossips about a person in the internet bringing about hatred in other's minds; or it may go to the extent of personally identifying victims and publishing materials severely defaming and humiliating them.[2]

With the increase in use of these technologies, cyberbullying has become increasingly common, especially among teenagers.[3] Awareness has also risen, due in part to high-profile cases like the suicide of Tyler Clementi.
 
Facebook ilipotoka tu tuliitumia vibaya watu mpaka tunatafutana kwa marungu mtaani,maana matusi tunayopeana huko hayakutosha
 
ole wake mtu aje kunizunguka mbuyu uwiiii ntanyooka nae afu ni ushamba wa hali ya juu

Hahaha...unatoa mikwara au???usijali kama unaojichanganya nao ni matured hawawez kufanya hivyo
 
Sasa mtu anatafuta likes kwa kukashifu na kuzusha....??? Si aandike vitu vya maana apate hizo likes

namkumbuka ticha wangu alikuwa anatusisitiza "vijana jitahidini kutafuta umaarufu, jamba hata mbele za watu ili uwe maarufu"
 
namkumbuka ticha wangu alikuwa anatusisitiza "vijana jitahidini kutafuta umaarufu, jamba hata mbele za watu ili uwe maarufu"

Mi nakumbuka, tena wewe ndo ulikuwa mjambaji maarufu pale skonga. Hivi yule ticha anaitwa nani vile na yupo wapi siku hizi? kitambo sana hatujaonana.
 
kwani anaongelewa nani wajameni tujuzane basi nani nipate cha kukoment teh...
 
Kwa njia moja au nyingine cyberbullying inahusiana na misuto haswa wahusika wanapoamua kuchukua hatua !Misuto naweza kusema ni matokeo ya cyber bullying haswa wahusika wanapoamua kusimama dede na kujitetea au kumpa bully makavu live!

Then nafikiri njia rahisi ya kudeal na anaye kubull iwe mtandaoni au kwenye réal life ni kuignore tu. Maana mchokozi yoyote lengo lake ni kupata reaction yako, sasa ukimuignore atachoka.

Lkn pia, some people call for attacks, pâle wanapojikweza na kujiona wao ni binadamu and ahalf na wengine kuwaona less binadamu then it calls for some people with enough time kuanza kuwafuatilia na kuwaexpose. The same happens kwa tunaojudge wengine na kujiona sisi ni watakatifu, unkowngly we call for CIA kuanza kutafuta mafile ili kujua huo utakatifu wetu kama upo kweli in real life au la.

Anyway, kama kuna mtu in any way nimembull anisamehe; itakuwa ilitokea at my weakest point. Sikumbuki kuwa bullied na mtu yoyote humu.

Muwe na Jumapili njema, ngoja niendelee kupraise na Emmanuel TV
 
pole sana
yaani kuna watu washenzi humu sijui wamekulia wapi
unaweza hisi ni watu wenye buasar kumbe zero kabisa
mi hvyo ndo vinaniogopesha hata kujuana na watu humu
maana mi binafsi ikitokea hvyo ntakachokufanya sijui yaani km utanisahau

Unamtoa roho tu....akafie mbele
 
Back
Top Bottom