Cyberbullying

Cyberbullying

Hamna hata cha maana pachaa........ Sielewi Kwanini hasira zote hizo.

mkuu naona kama huyu BRENDA 18 ndo umeandikiwa manake kama mnaendana hivi mungu hamtupi mja wake pachaaa hebu mkutane muyamalize mie na Madame B tutakua pembeni tunasulihisha pachaa
 
Last edited by a moderator:
Hali ya hewa imetulia sasa kuna muda kulinuka hapa...

Mie mniunge iyo timu ya kuchapana ndio nayotaka.
 
Umeona eeeeeee.
Yaani tulianzia hospital, tukaingia kwenye upenzi....ghafla kupigana mapicha, then nayakuta mtandaoni....goshhhhh!!!!!
Duuuuh ya kweli?how had anakpga picha,?ulikua unafanyiwa operation?pole sana km ni.kweli
 
mkuu naona kama huyu BRENDA 18 ndo umeandikiwa manake kama mnaendana hivi mungu hamtupi mja wake pachaaa hebu mkutane muyamalize mie na Madame B tutakua pembeni tunasulihisha pachaa

This is lame...my interest is never with doctors:thumbdown:
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeeeeee.
Yaani tulianzia hospital, tukaingia kwenye upenzi....ghafla kupigana mapicha, then nayakuta mtandaoni....goshhhhh!!!!!

Madame B, hayo mapicha mimi sijayaona mbona? Kama yameshaonwa bure nitupie na mimi kamoja nikuone, kuna ka $50 sema tu unataka western union au moneygram ukachukue LOL.
 
Bufa ebu nisaidie yule manager wa Bank alie jiua kisa kuanikwa utupu wake ile ni nini? Naweza kuwa sijui sana mkuu.

Umesoma maelezo yangu!! Kwa picha za utupu zilizovuja ni upu.mbavu wa waliojipiga hizo picha, they shouldn't have taken them in the first place. Hiyo kwangu sio cyber bullying ni ujinga wao
 
Umesoma maelezo yangu!! Kwa picha za utupu zilizovuja ni upu.mbavu wa waliojipiga hizo picha, they shouldn't have taken them in the first place. Hiyo kwangu sio cyber bullying ni ujinga wao

Uko sahihi, mtu aliye na akili zimekamilika hawezi kujipiga au kukubali mtu ampige picha akiwa uchi...Hivi unaanzaje kwanza kupiga picha mtindi mpaka **** liko wazi alafu unataka uheshimiwe.
 
hivi watu wanavyomshambulia Le Mutuz mkaree wa ma babes sio cyberbullying???!! jamaa ana roho ngumu sana angekuwa na roho nyepesi angekimbia jf
 
Back
Top Bottom