Elevenn
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 9,775
- 19,442
Kuna mgahawa classic huwa naenda kupata msosi. Mimi ni mtu low key sana, napenda hata nikifika sehemu attention isiwe kwangu. Huwa nafika pale wadada wasaidizi wananihudumia vizuri tu, na huduma zao ziko safi sana.
Nimejikuta napapenda pale kwasababu ni wasafi, japo chakula ndo gharama ila nitafanyaje sasa kuuguwa uguwa sipendi.
Kuna mrembo huwa anakuwa pale kumpokea cash na inavyoonekana yeye ndo boss wao. Huwa anapokea cash ila mimi huwa nalipa kwa njia ya kuscan maana kutembea na cash nilisha acha zamani.
So baada ya kufanya muamala huwa naenda pale kwake na mwonesha muamala then naondoka zangu.
Ila sasa amenizoea sana kwakweli, mara aniambie nisilipe tu kuna siku akaniambia anataka tushee plate, Mara aniite boss, na kuna siku akaja kukaa napokula then akaanza kunywa juice huku anarembua flani hivi, akaanza kugusisha upaja wake kwenye goti langu.
Nilivyo mkazia macho akaacha ila mimi naye stori kama sijamzoea mtu hazipandi, so namwacha tu anabonga wee, mimi labda nitaitikia au kuongea maneno Machache. Ila ndo ivyo yaani kaniganda na hataki kabisa nichomoe.
Sasa najiuliza ni ichape ama maana wadada wa namna hii japo ni watamu ila Kuna madhara baadae. Ukizingatia Sehem hii nayo kula ndo karibu na job, kingine ni mwanamke mshangazi si ndo hawa huwa mpaka wanawaroga hawa?
Ni pisi haswa ila naona hapa soo. Na sijawahi kudate na watu wa migahawa. Nipeni experience wataalamu.
Nimejikuta napapenda pale kwasababu ni wasafi, japo chakula ndo gharama ila nitafanyaje sasa kuuguwa uguwa sipendi.
Kuna mrembo huwa anakuwa pale kumpokea cash na inavyoonekana yeye ndo boss wao. Huwa anapokea cash ila mimi huwa nalipa kwa njia ya kuscan maana kutembea na cash nilisha acha zamani.
So baada ya kufanya muamala huwa naenda pale kwake na mwonesha muamala then naondoka zangu.
Ila sasa amenizoea sana kwakweli, mara aniambie nisilipe tu kuna siku akaniambia anataka tushee plate, Mara aniite boss, na kuna siku akaja kukaa napokula then akaanza kunywa juice huku anarembua flani hivi, akaanza kugusisha upaja wake kwenye goti langu.
Nilivyo mkazia macho akaacha ila mimi naye stori kama sijamzoea mtu hazipandi, so namwacha tu anabonga wee, mimi labda nitaitikia au kuongea maneno Machache. Ila ndo ivyo yaani kaniganda na hataki kabisa nichomoe.
Sasa najiuliza ni ichape ama maana wadada wa namna hii japo ni watamu ila Kuna madhara baadae. Ukizingatia Sehem hii nayo kula ndo karibu na job, kingine ni mwanamke mshangazi si ndo hawa huwa mpaka wanawaroga hawa?
Ni pisi haswa ila naona hapa soo. Na sijawahi kudate na watu wa migahawa. Nipeni experience wataalamu.