asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Hamna hata cha maana pachaa........ Sielewi Kwanini hasira zote hizo.asakuta same pachaa ulimfanya nini brenda mbona kakushikia bango
Hamna hata cha maana pachaa........ Sielewi Kwanini hasira zote hizo.asakuta same pachaa ulimfanya nini brenda mbona kakushikia bango
Bullying ipo sana NN na Kongosho msikatae.....
Tatizo hizi teams kwenye mitandao imezidi,I'm telling you just wait hii team kajala na wema itakuja kusababisha mengine
inaelekea kubaya sana hii
Kuna watu ni ma bully na hawajijui...hii kitu ni relational/relative...
Unaweza kumjibu kitu NK akakuona mpuuzi...lakini ukampa jibu hilo hilo mtu mwingine likamuumiza kwa muda mrefu...
kuna watu wanaweza kukupa jibu ambalo unaweza kuona wame panic...lakini ndio personality... tunatofautiana sana...
Kuna watu ni ma bully na hawajijui...hii kitu ni relational/relative...
Unaweza kumjibu kitu NK akakuona mpuuzi...lakini ukampa jibu hilo hilo mtu mwingine likamuumiza kwa muda mrefu...
kuna watu wanaweza kukupa jibu ambalo unaweza kuona wame panic...lakini ndio personality... tunatofautiana sana...
wataanzia wapi...?!&
hunijui sikujui...!!
Dah! tutatoka nje ya mada sasa.
Weee mbona mi nakujuaa...
Kwa hiyo mnataka wote tuwe na ideas sawa? Wengine wataleta utoto, masikhara, ujinga na upuuzi. Ndivyo maisha yalivyo, hata huko mitaani, kazini, misikitini na makanisani ndivyo watu walivyo..!
Mtu kwenye busara anachanganua kipi cha kuchangia na kipi sio cha kuchangia. Ajabu Ni kuwa tunalalamika lakini ikija thread ya kipuuzi sie ndio wa kwanza kuipa traffic.
Kuwa bullied mtandaoni ni kujitakia tu. Ukishea na mtu privacy zako, humjui-hakujui, akija kukugeuka unamlaumu nani. It's simple, don't share your privacy with everyone. Mnatuma picha za uchi au mnatongozana mtandaoni...unategemea mkikosana itakuwaje?
Karibu nakula wali kisamvu na samaki, mi ngoja nile nishibe mwaego wenye stress kazi kwao teh teh
Hahahaaaaa kula mwaya ushibeee....mie mwenyewe nashibajee apaa yani full burudan watajiju na stress zaoo hukooo
Hahahaaaaa kula mwaya ushibeee....mie mwenyewe nashibajee apaa yani full burudan watajiju na stress zaoo hukooo
Kuna mmoja nimemdharau muda mrefu hajielewi
Namtafutia siku nimpe vitasa vya haja
Atasimulia hadi wajukuu zake
hahaha ulivyo mpole nani tena huyo kakukorofisha