Cyberbullying

Cyberbullying

Kama huna kifua unatakiwa kwenye hii mitandao upite kimya kimya...te te te...

Ha ha ha siwezi kuwa bullied mtandaoni...si najitoa tu...ha ha ha...
Ila kabla sijatoka nakupa za uso kwanza nikupime nguvu...unaweza kuwa kidagaa tu....

Wengi wanaolia kuwa ni victims wao ndio attention seekers...
wanajianika issue zao mitandaoni...wakija wanaojua dark side zao ndio inaanza kuwa issue...ukijianika uwe na kifua...

Facebook ilivyotoka tulizinguana huko mpaka tunatafuta mtaani,heri ya mitandaoni yangekuwa yanaisha mitandao but zinakuja mpaka in real life huko mtaani
 
haaaa...mimi facebook niko very quiet...sehemu ambako najua kila kitu ni cha kweli...sianiki issue zangu kivile...zaidi ya picha za watu muhimu maishani mwangu siandikagi story yoyote...

Hata picha zangu ni zile za staa tu maana unaweza kushushwa thamani sababu ya appearance..

Navaa nguo za kila aina mitaani..lakini ikija kwenye picha ya ku share FB siweki picha za mapaja au zozote zilizo sexy...wasije dhania natafuta attention wakati am not available...

Imagine watu wana comment 'you look sexy'...na mumeo anasoma...inahuuuu...


Facebook ilivyotoka tulizinguana huko mpaka tunatafuta mtaani,heri ya mitandaoni yangekuwa yanaisha mitandao but zinakuja mpaka in real life huko mtaani
 
haaaa...mimi facebook niko very quite...sehemu ambako najua kila kitu ni cha kweli...sianiki issue zangu kivile...zaidi ya picha za watu muhimu maishani mwangu siandikagi story yoyote...

Hata picha zangu ni zile za staa tu maana unaweza kushushwa thamani sababu ya appearance..

Navaa nguo za kila aina mitaani..lakini ikija kwenye picha ya ku share FB siweki picha za mapaja au zozote zilizo sexy...wasije dhania natafuta attention wakati am not available...

Imagine watu wana comment 'you look sexy'...na mumeo anasoma...inahuuuu...

Tatizo hizi teams kwenye mitandao imezidi,I'm telling you just wait hii team kajala na wema itakuja kusababisha mengine
 
Huwa nazisikia through blogs...mimi siko IG; na wala sina mpango wa kujiunga...

JF yenyewe ina consume muda wangu sana...nina mpango wa kupotea from next year...lol

Tatizo hizi teams kwenye mitandao imezidi,I'm telling you just wait hii team kajala na wema itakuja kusababisha mengine
 
Hakuna mtu alokuwa bullyied kwenye hii thread!Hakuna alozushiwa kitu wala kusambazwa!Au dhumuni la thread halipo clear?
 
ha ha ha na kuna watu wana mitusi kweli kweli...lakini bado wanapokea likes from like minded members...
Huwa nashindwa kuwashangaa....ila nimeshajua humu kuna teams kama za mitandao ya kitoto...si JF MMU ya those days...

Hizo timu za JF ndo zipi? Manake si wengine hata hatuzijui. Au ziko active huko kwenye PM?

Halafu humu ambapo tunatumia majina feki na wengine hata watu ambao tunawasiliana nao kupitia PM tunawapa majina feki, vipi mtu atakunyanyasa kwa jina feki?

Kama mtu humjui hata chembe naye hakujui zaidi ya jina feki la humu, ataweza kweli kukunyanyasa? Kwa mfano, mtu ataanzia wapi kuninyanyasa mimi bila za ammo za ukweli?

Sana sana ataishia kusema (na pengine hata kuamini) mambo ya uongo kabisa - kama NN ni mzee, NN sijui hivi, NN vile.....na hakuna hata kimoja kilicho na chembe ya ukweli. Watabaki ku guess guess tu na kusadiki mambo. I love it that way.

Sasa hiyo nayo inahesabika kuwa ni cyber-bullying? Mimi sidhani.

Na ndiyo maana wengine humu tuko way ahead of the curve. Never give out your 'real you' kwa watu unaozoeana nao humu kwa sababu kwa kufanya hivyo ni kuwapa fimbo za kukuchapia.

Mimi humu nina uhakika kabisa tena wa asilimia 110 hakuna anayenijua na hivyo siwezi kabisa kuwa bullied.

Nadhani watu wanachanganya kati ya trolling na cyber-bullying. Yatokeayo humu mengi huwa ni trolling tu unless watu kweli wawe wanajuana, yaani wameshawahi kukutana ana kwa ana, wanajuana majina yao halisi, na kadhalika.

Zaidi ya hapo, JF imejaa trolls tu na hakuna anayeweza kukabili trolls kama Le Mutuz (with all his vices).
 
he he he, si nilikwambia nakujua? Unabisha? Wewe hunijui?🙂 ila kuna siku ulinichekesha sana.

Hizo timu za JF ndo zipi? Manake si wengine hata hatuzijui. Au ziko active huko kwenye PM?

Halafu humu ambapo tunatumia majina feki na wengine hata watu ambao tunawasiliana nao kupitia PM tunawapa majina feki, vipi mtu atakunyanyasa kwa jina feki?

Kama mtu humjui hata chembe naye hakujui zaidi ya jina feki la humu, ataweza kweli kukunyanyasa? Kwa mfano, mtu ataanzia wapi kuninyanyasa mimi bila za ammo za ukweli?

Sana sana ataishia kusema (na pengine hata kuamini) mambo ya uongo kabisa - kama NN ni mzee, NN sijui hivi, NN vile.....na hakuna hata kimoja kilicho na chembe ya ukweli. Watabaki ku guess guess tu na kusadiki mambo. I love it that way.

Sasa hiyo nayo inahesabika kuwa ni cyber-bullying? Mimi sidhani.

Na ndiyo maana wengine humu tuko way ahead of the curve. Never give out your 'real you' kwa watu unaozoeana nao humu kwa sababu kwa kufanya hivyo ni kuwapa fimbo za kukuchapia.

Mimi humu nina uhakika kabisa tena wa asilimia 110 hakuna anayenijua na hivyo siwezi kabisa kuwa bullied.
 
Kumbe kweli!! hahahaha!! nitapeleka kesi kwa waziri wa elimu.

vyeti vyangu haali mimi siogopi chochote ujue
nimesota four years na majivuno ya ma mramba,mwl.dorie,mrs.bakari,mwl.safari bajahanuni bila kumsahau mwirike na kiingereza chake cha kilugha
bado hostel advance jumlisha mishe za malektara pande za higher learning
najivunia elimu na ualimu wangu ujue
 
Wee acha tu, team hazina maana kabisa. Naona vijana hawakujifunza kwa akina 2pac na BIG.

Leo nimesikia kuna blogger mmoja wa TZ kavamiwa na sijui team kajala sijui wema. Hadi wameanza kuvamiana, wasipoangalia watatiana vilema.

Afu nikiangalia wanaowaendesh Wema.na Kajala, nabaki tu, really? Inawezekanaje?

ha ha ha na kuna watu wana mitusi kweli kweli...lakini bado wanapokea likes from like minded members...
Huwa nashindwa kuwashangaa....ila nimeshajua humu kuna teams kama za mitandao ya kitoto...si JF MMU ya those days...
 
he he he, si nilikwambia nakujua? Unabisha?

Ah wapi, wala hunijui bana. Kama unanijua weka hapa government name yangu, taja naishi wapi, nimesoma wapi, nafanya kazi wapi, taja majina ya wazazi wangu, taja mwaka niliozaliwa (1952 heheheheee), na weka picha yangu.

Wewe hunijui?🙂

Juzi nimemjua mdada mmoja anaitwa Konnie. Naye ni Mtanzania na nilikuwa sijui kama ni Mtanzania. Sasa mimi nikiwa mimi siwezi kuhitimisha kuwa yeye ndo wewe. Lakini kivyangu vyangu nami nakujua sana wewe....:A S wink:

ila kuna siku ulinichekesha sana.

Oh yeah.....ile kama huna mbio tangulia mbele? Hii ni ukweli mtupu ujue...
 
Wee acha tu, team hazina maana kabisa. Naona vijana hawakujifunza kwa akina 2pac na BIG.

Leo nimesikia kuna blogger mmoja wa TZ kavamiwa na sijui team kajala sijui wema. Hadi wameanza kuvamiana, wasipoangalia watatiana vilema.

Afu nikiangalia wanaowaendesh Wema.na Kajala, nabaki tu, really? Inawezekanaje?

Enhee unaona sasa....

Hao ambao hadi wanavamiana ndo wanaojuana.

Lakini mimi zimwi NN utaanzia wapi hata kunivamia wakati hunijui kabisa zaidi ya kunisoma tu humu na occasional PMs?

Manake for all you know, mi na wewe tunaweza kurushiana maneno humu, halafu jioni tukakutana Mary Brown bila hata kutambuana na pengine hata kusalimiana na ku make small talk.

Trolling is not bullying.
 
ha ha ha...Nyani Ngabu katika uzushi uliomuuma ni wa kuambiwa mzee...lol
ha ha ha ...uzee mwisho Msata...
Tena lilimuuma sana watu kuweka umri wake hadharani, miaka 55+ sio mchezo, keshastaafu.
 
This is serious...mimi ningekuwa na watoto wa kike ningekuwa nawa monitor mitandao wanayotembelea na watu wanao connect nao...unakuta vi teenagers ndio haswa vina misuse social networks...hatari sana...kuna watoto wanajiuza facebook...just imagine...wazazi hawana hili wala lile...

Wee acha tu, team hazina maana kabisa. Naona vijana hawakujifunza kwa akina 2pac na BIG.

Leo nimesikia kuna blogger mmoja wa TZ kavamiwa na sijui team kajala sijui wema. Hadi wameanza kuvamiana, wasipoangalia watatiana vilema.

Afu nikiangalia wanaowaendesh Wema.na Kajala, nabaki tu, really? Inawezekanaje?
 
eeehhhh miaka 55 plus...hata mimi ningeandamana aisee...
Labda kwa sababu anatumia kiinglishi cha Oxford... te te te...wakaona amesoma middle schools...

Tena lilimuuma sana watu kuweka umri wake hadharani, miaka 55+ sio mchezo, keshastaafu.
 
ha ha ha...Nyani Ngabu katika uzushi uliomuuma ni wa kuambiwa mzee...lol
ha ha ha ...uzee mwisho Msata...

Ooh hapana NK.....wala huo uzushi haukuniuma kwa sababu, kwanza si kweli kabisa kwamba mimi ni mzee. Yaani ni uzushi mwanzo mwisho kwa sababu yeyote huyo aliyezusha hanijui kabisa, hajawahi kuniona popote pale katika dunia hii, na yumkini hataweza kuja kuniona wala kunijua.

Pili, nilishangazwa sana kuzushiwa nina umri sawa na wa mama yangu mzazi. Hilo kamwe haliwezi kuniumiza kwa sababu ni bonge la kichekesho. Imagine mimi nasema eti wewe umri wako ni sawa na wa babako au mamako mzazi. Si utaniona mwehu kabisa....

Tatu, nilistaajabu sana ujasiri wa watu kuzusha vitu ambavyo hata wao wanajua (au niseme nilidhani wanajua) ni vya uongo. Mtu hujawahi hata kunitia machoni achilia mbali kuona cheti changu cha kuzaliwa halafu unaanza kunizushia mambo?

We ungezushiwa hivyo usingeshangaa? Niseme Nyumba Kubwa ana miaka 55 wakati hata 40 hujafikisha na hata sijawahi kukuona wala kuona any government issued ID yako.....

Ni upumbavu tu.
 
Very true, maneno ya ku guess hayaumizi hata kama yanaudhi. Shida huja kwa wanaofahamiana in person, kudhuriana ni rahisi sana.

Ukiwa zimwi, aah ni kucheka na ku ignore tu.

Ila kuna haja ya kuelimisha vijana wetu, kujua yapi ya kushare, na yapi si ya kushare.

Watu wanaumia kweli.

Enhee unaona sasa....

Hao ambao hadi wanavamiana ndo wanaojuana.

Lakini mimi zimwi NN utaanzia wapi hata kunivamia wakati hunijui kabisa zaidi ya kunisoma tu humu na occasional PMs?

Manake for all you, mi na wewe tunaweza kurushiana maneno humu, halafu jioni tukakutana Mary Brown bila hata kutambuana na pengine hata kusalimiana na ku make small talk.

Trolling is not bullying.
 
Back
Top Bottom