Kafikisha ujumbe ambao wengine hatukua tunajua mkuu, mbona unaweweseka? ingependeza kama ungekanusha utata wa elimu ya SUGU kwa vielelezo badala ya kuishia kuweweseka.
sasa utata uko wapi hapo? Wewe ambaye elimu yako haina utata una faida gani kwa taifa?
Sugu hana tabia chafu ya kughushi vyeti, tunaanza kupambana na mafisadi wa elimu.kiongozi wa juu kutumia majina tofauti na vyeti ni uhuni.Mulugo must go hana sifa ya kupambana na muadilifu Mr.Sugu
amekupa kielelezo gani ku-justify utata anaodai wa elimu ya Sugu?
kwa hiyo unafurahishwa na ile pumba za SUGU bungeni? ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Hebu tuambia michango ya Chenge Bungeni aliye soma Harvad, Wabongo tumekalia ana ishu za Vyeti, Nchi kama USA walio ifikisha hapo ilipo hawakuwahi kwenda shule watu kama Thomas Edson, Mchael Dell, wakina BILL hawajaenda shule ila ndo walio ibadili USA, huku tunakomaa na vyeti,
Tanzania tutakuja kubadilika tukiachana na elimu za vyeti
si kasema tangu amefukuzwa sekondari hakuna uthibitisho kuwa AMEMALIZA KIDOTO CHA NNE? kama una hoja za kumpinga mtoa mada tudadavulie
alifukuzwa mbeya sec na hakuna popote inaonesha alisomatena kama mtoa hoja kasema uongo sugu ajitokeze na aseme kahitimu shule gani na ataje mwaka na namba yake ya mtihani.amekupa kielelezo gani ku-justify utata anaodai wa elimu ya Sugu?
Haya ni Majungu na bila shaka wewe ni Mwanamke,
sasa utata uko wapi hapo? Wewe ambaye elimu yako haina utata una faida gani kwa taifa?
Wekeni cheti cha SUGU hapa jamvini, leo ni zamu yake , mbona tunataka kupindisha mada jamani, tutokomeze kelele zisizo na tija bungeni kwa kuwaumbua hawa vihiyo.
mkuu CHADEMA ni Chama cha mambumbumbu. hivyo usishangae kukuta watu wa aina hiyo. kwa taarifa yako sugu ana uafadhali. unajua sifa za baba yao MBOWE?
Mkuu jina lenyewe umeliona? Chasha!! hawezi kuwa na mawazo ya kusaidia akili zake kama za SUGU tu.kwa hiyo wanawake hawana mawazo mazuri
sasa utata uko wapi hapo? Wewe ambaye elimu yako haina utata una faida gani kwa taifa?
So what next