CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

Hivi huwa anatumia Joseph Mbilinyi au Sugu, maana yumo humu humu jukwaani hivyo alitakiwa aje ajibu mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
hao walioibadili USA hawakuwa wa design ya akina SUGU. SUGU ni wa design ya akina 2PAC AMAR SHAKOUR, na wengineo ambao walidhani wataibadili marekani kwa njia ya kufoka

Kwani unaujua mchango wa Wana mzik wa USA? Unajua wakina Michael Jackson walilifanyia nini USA?
 
shida kubwa ni hizi sifa za watu kuwa wanasiasa. panahitajika mjadala mkubwa ili wabunge wawe na viwango maalum vya elimu. haitoshi kwa mtu kujua kusoma na kuandika tu. matokeo yake tunapata watu wa design ya akina sugu. hata wanapotoa michango yao bungeni inakosa mvuto na inakposa kuwa na tija

unaweza ukapata madokta na maprofesa wa ccm ukaishia kupiga makofi na no constructive ideas;
hebu chagua moja bora uwe na waliosoma kidogo wanaoeleza ukweli kama sugu na mnyika na highness, machemli wadai haki na rasilimali za umma; hawana vyeti vya vyuo au uwe na maprofesa wengine wa kujibatiza wanaolala na kubweteka kama wavimbiwa kande, wasiofikiri kwa kichwa wanatumia tumbo kufilisi wanyonge;kwa taarifa sugu amemaliza form four.
 
Jicho3 na wenzako nyie ni wajinga wa hali ya juu.CV YA SUGU mbona ipo wazi sana,yeye hakuwahi sema amesoma sana na ndo mana watu wake alofanya nao kazi wengi wao ni MACHINGA kabla ya kuingia ktk muziki na ukweli muziki umemsaidia sana.Swali sasa kwenu magamba"MLIMSIKIA WAPI AKIJINADI KUWA AMESOMA SANA?au kwa vile alitoa siri ya mulugo a.k.a "HAMIMU"na mmeamua kutuamisha ktk hoja etu dhidi ya CV ya amimu?duuh..Magamba bwana 2015 KWAHERINI...KO..KO..KO.
 
Hata Kama hakuhitimu ila anawakilisha vema!! Mda mwingine tuchague watu na sio kuangalia hawa wasomi wa vyeti!! Wengi wao ni WEZI wa kalamu hakuna lolote zaidi ya kuifisadi nchi!! SUGU anawakilisha vema!

Siyo karne hii wewe, bunge siyo kijiwe cha muziki, tunajidanganya, kawakilisha nini vema? kuandaa kuhamasisha maandamano na vurugu?
 
alifukuzwa mbeya sec na hakuna popote inaonesha alisomatena kama mtoa hoja kasema uongo sugu ajitokeze na aseme kahitimu shule gani na ataje mwaka na namba yake ya mtihani.
Ndugu ya ngu Aman simba. kuna maprofesa wangapi TZ? na wameisaidiaje nchi? Bora Sugu pamoja na elimu yake aliyo nayo katufanyia mambo angalau na barabara za mitaa sasa zinapitika.
 
Jicho3 na wenzako nyie ni wajinga wa hali ya juu.CV YA SUGU mbona ipo wazi sana,yeye hakuwahi sema amesoma sana na ndo mana watu wake alofanya nao kazi wengi wao ni MACHINGA kabla ya kuingia ktk muziki na ukweli muziki umemsaidia sana.Swali sasa kwenu magamba"MLIMSIKIA WAPI AKIJINADI KUWA AMESOMA SANA?au kwa vile alitoa siri ya mulugo a.k.a "HAMIMU"na mmeamua kutuamisha ktk hoja etu dhidi ya CV ya amimu?duuh..Magamba bwana 2015 KWAHERINI...KO..KO..KO.

Matusi ya nini au unataka kudhihirisha how ignorant you are? tunahoji kama udhaifu wa hoja zake bungeni ni kutokana na elimu yake duni. Halafu wewe huna kumbukumbu, SUGU hana uwezo wa kuibua hoja yoyote ya msingi bungeni, hefu fikiria vizuri aliyeibua hoja ya MLUGO mkuu usilete u-CCM na U-CHADEMA.
 
Unajua Elimu ya Zuma wa South Africa? na Unajua anaongoza Taifa la namna gani? Huu ni muda wa kazi nyie mnafanya majungu, wewe kama si mwana mke basi ni mwana mme mwenye homoni za kike

kama elimu sio hoja,nategemea ponda awemo kwenye baraza la mawaziri kama waziri wa utamaduni na habari,vipi inafaa?
 
Ndugu ya ngu Aman simba. kuna maprofesa wangapi TZ? na wameisaidiaje nchi? Bora Sugu pamoja na elimu yake aliyo nayo katufanyia mambo angalau na barabara za mitaa sasa zinapitika.

teh teh teh , barabara ipi ya mtaa hapa MBEYA? au unafikiri wengine hatuko hapa mjini? huyu akija hapa MBEYA kazi yake kujirusha na wasanii wenzake wa kike.
 
Siyo karne hii wewe, bunge siyo kijiwe cha muziki, tunajidanganya, kawakilisha nini vema? kuandaa kuhamasisha maandamano na vurugu?

Hivi mtu anatakiwa Elimu ya kiwango gani ili awe mbunge? Nashauri mabunge mawili. Moja watakaa akina Sugu na Maji Marefu na wengine wa caliber hiyo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

Wenye elimu zao ni kina Dr. Shukuru Kawambwa na Mulugo! Elimu ni zaidi ya vyeti.
 
alifukuzwa mbeya sec na hakuna popote inaonesha alisomatena kama mtoa hoja kasema uongo sugu ajitokeze na aseme kahitimu shule gani na ataje mwaka na namba yake ya mtihani.
nadhani sugu akitoa ushuhuda wake yote yatakuwa wazi kwani nimeongea na watu waliokuwa kwenye kampeni zake za ubunge wanabainisha ukweli kuwa sugu hajamaliza elimu ya sekondari
 
Siyo karne hii wewe, bunge siyo kijiwe cha muziki, tunajidanganya, kawakilisha nini vema? kuandaa kuhamasisha maandamano na vurugu?

we gamba bora sugu kaenda sekondari,nipe elimu ya Lusinde na Ngonyani Maji marefu
 
Siyo karne hii wewe, bunge siyo kijiwe cha muziki, tunajidanganya, kawakilisha nini vema? kuandaa kuhamasisha maandamano na vurugu?

Vicky kamata hamumuoni........lini alishawahi kuongea bungeni
 
shida kubwa ni hizi sifa za watu kuwa wanasiasa. panahitajika mjadala mkubwa ili wabunge wawe na viwango maalum vya elimu. haitoshi kwa mtu kujua kusoma na kuandika tu. matokeo yake tunapata watu wa design ya akina sugu. hata wanapotoa michango yao bungeni inakosa mvuto na inakposa kuwa na tija

sasa nani mjinga?ikiwa anakuja kufanya kampeni na mnamsikiliza kisha baadae mnampgia kura?au uwa wanajichagua wenyewe?kwani katika kugombea c kunawalio kuwa na elimu zaidi yake?ulishajiuliza kwa nn wananchi hawakuwachagua hao wenye elimu zaidi?penda sna kujiuliza kwann iwe hivi na c vile kabla ujaja hapa.
 
Wekeni cheti cha SUGU hapa jamvini, leo ni zamu yake , mbona tunataka kupindisha mada jamani, tutokomeze kelele zisizo na tija bungeni kwa kuwaumbua hawa vihiyo.

kukaa kimya inasaidia pia,kwani Mulugo sijui Mulugu mliweka cheti chake hapa?
 
Jicho3 na wenzako nyie ni wajinga wa hali ya juu.CV YA SUGU mbona ipo wazi sana,yeye hakuwahi sema amesoma sana na ndo mana watu wake alofanya nao kazi wengi wao ni MACHINGA kabla ya kuingia ktk muziki na ukweli muziki umemsaidia sana.Swali sasa kwenu magamba"MLIMSIKIA WAPI AKIJINADI KUWA AMESOMA SANA?au kwa vile alitoa siri ya mulugo a.k.a "HAMIMU"na mmeamua kutuamisha ktk hoja etu dhidi ya CV ya amimu?duuh..Magamba bwana 2015 KWAHERINI...KO..KO..KO.
tatito ta watanzania wengi wana uwelewa mdogo sana,ndo mana wanafikiri maendeleo yanaletwa na wasomi tu.
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

Eleza utata wa elimu yake. Amefika alipofika kwa udanganyifu? Kama ndivyo, amedanganya nini? Funguka zaidi usomeke. Kama ni kuchekesha bungeni hata Madam Speaker na naibu wake kadhalika ni wachekeshaji. Kuhusu weredi hilo ndugu yangu ni tatizo la wengi wala si bungeni tu bali hata huku tuliko tuko wengi. Sielewi wewe unayeshangaa hilo uko wapi?! Nauheshimu sana mchango wa SUGU.
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec


Naona Mulugo anafunika sakata lake la kugushi vyeti, kwa kuanza kuhoji matokeo ya watu wengine.....
 
Back
Top Bottom