CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

Popote nilikoweka colour pananifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani bila hata kukuona. Nimesoma Autobiography ya Joseph Mbilinyi "SUGU" imenifanya nimfahamu zaidi ya elimu unayotaka kupotosha watu hapa.

Ok, wewe una elimu enhhhh! Mbona kama haijakukomboa?

Think broadly and wisely. Ok discuss people but should contain issues.
 
Unajua Elimu ya Zuma wa South Africa? na Unajua anaongoza Taifa la namna gani? Huu ni muda wa kazi nyie mnafanya majungu, wewe kama si mwana mke basi ni mwana mme mwenye homoni za kike

kwa hiyo zuma amefeli form four? jibu hoja na si kumjadili mtoa mada.
 
Aliyesa ya Lusinde katoa vielelezo sasa tatizo likowapi na wewe ukitoa vielelezo?alafu swala la fani ya mtu nadhani siyo tatizo ila tatizo ni uchagiaji hoja,kwani mchemba hajasoma mbona anaongea utumbo mwanzo mwisho?Vick kamata ni mcheza ngumi? mbona mziki wa sugu unawatoa povu?yule mganga wa korogwe sijuo maji mafupi ni wachadema?na yule wa Tarime naye wa chadema?kweli nyani haoni kundule ila poleni sana waTanzania wameishajua pumba na mchele
 
Sugu,Lema na Mbowe wapelekwe shule kwa nguvu, bila hivyo siasa za fujo hazita kwisha.
 
Mpelekeee mwanao akakusomesheee mana unaleta uzi usio ata na manufaa kwa taifa,nenda kagombee ww uone kama utapata. Historia ishaandikwa ivo utakalia majungu tu.
 
hao walioibadili USA hawakuwa wa design ya akina SUGU. SUGU ni wa design ya akina 2PAC AMAR SHAKOUR, na wengineo ambao walidhani wataibadili marekani kwa njia ya kufoka

You don't know shit bout 2 Pac, we endelea kwaongelea haohao wa kina Sugu mnao kutana nao mitaani, 2 pac is beyond u r knowledge.
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

acha majungu, me nimemaliza nae Advance sangu sec. baada ya kuona waziri wenu wa magamba kaumbuliwa sasa mnataka kujibu kwa majungu
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

Mulugo uwezi kujisafisha kwa kuanzisha thread ya kumkashifu Sugu. Kama unaushahidi wa hayo unayoyazungumza basi peleka mahali panapo husika.Tunasubiri uchukue hatua
 
Tukitaka elimu za wabunge tukienda upande wa pili tutacheka mpaka mbavu zipasuke.Mbona mawaziri waliotajwa na Mtokambali kuwa wameghushi mpaka leo kimya?Lukuvi kaishia la NNE mpaka leo hamtakikumhoji kwanini hajajibu.Sijui kama unamfahamu Prof Majimarefu?Mary Nagu,Mulugo,Mwigulu n.k?Simtetei Sugu hata kama hakumaliza kidatu cha NNE ni wa muhimu kuliko wenye ma PHD ya kughushi kama Nape na Sugu ni tegemeo la Mby mjini usijidanganye.Hao wenye elimu kam Chenge mbona hatuwasikii wakiongea cha muhimu?
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

ushabiki mbaya sana. Mr 2 sugu anaelimu ya darasani form 6 na chuo kikuu cha mtaa.

Michango ya sugu bungeni ni makini sana zaidi ya madokta na maprofesa kama Maghembe kwenye ujenzi wa taifa
Mf. SWALA LA HATI MILIKI NA WIZI WA KAZI ZA WASANII adi kufikia muhafaka na serikali wa tra kusimamia uuzwaji na usambazaji wa kazi hizo.

2. Alilalamika swala la wasanii wakubwa kama joe tomas bee man 50cent kufanya shoo bongo na kulipwa ma bilioni bila serikali kuwakata kodi huku walalahoi tunakatwa kodi kwenye mishahara ya lakimbili

3. Amelalama uovu wa polisi

sugu kaanza kutetea wanyonge toka kwenye mziki tafuta vibao vyake kabla ajaanza siasa kama
1. HAKI aliifanya na jastini kalikawe

2. KURA YANGU alifanya na Juma nature na Dr levy

3. MIKONONI MWA POLISI aliifanya mwaka 2000 na 2012 mwangosi akafa mikononi mwa polisi

4. WANACHOTAKA, SUGU MOTO CHINI NA WANAKUITA SUGU hiyo inakugusa kabisa mtu unayemkosoa ata kwenye haki

DARASA KWA JAMII KAMA anamiaka chini ya 18, na zingine kibao

sugu sugu tu

Kaka humjui sugu unachuki nae wala hufatilii michango yake bungeni?
 
kwahiyo tukusaidie nini baada ya maelezo yako hayo?

Huyu ndugu anamshambulia Sugu kujibu mapigo ya kilichoandikwa leo kwenye Mwananchi kuhusu utata wa elimu ya Naibu wa Waziri wa Elimu-Philip Mulugo.

Labda anafanya hivi akiamini Sugu ndio sababu ya haya yote yanayoandikwa kuhusu utata wa Elimu ya Mulugo.
 
Kafikisha ujumbe ambao
wengine hatukua tunajua mkuu, mbona unaweweseka? ingependeza kama
ungekanusha utata wa elimu ya SUGU kwa vielelezo badala ya kuishia
kuweweseka.

Sasa baada ya kujua elimu yake ndo inakuwa vipi sasa?
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

Huna credibility ya kuhoji elimu ya Sugu. Wewe umepata kuchangia wapi ili tuone elimu yako? Angalia ulivyoandika hovyo hapo juu. Hakuna koma, nukta, hujatumia herufi kubwa ipasavyo nk. Unapata wapi ujasiri wa kumsema mwenzio wakati we hujiwezi? Bora ufanye kazi haya majungu hayakusaidii. Baba V, hivi shule za kata wamefunga? Au ndio impact ya form six mtaani? (He doesn't even deserve to be one of them)!
 
Last edited by a moderator:
shida kubwa ni hizi sifa
za watu kuwa wanasiasa. panahitajika mjadala mkubwa ili wabunge wawe na
viwango maalum vya elimu. haitoshi kwa mtu kujua kusoma na kuandika tu.
matokeo yake tunapata watu wa design ya akina sugu. hata wanapotoa
michango yao bungeni inakosa mvuto na inakposa kuwa na tija

CHADEMA wamepanga maandamano ili kumushinikiza waziri wa elimu aiuzuru, hiyo ni kama mojawapo ya move ya kuokoa elimu ya Tanzania, matokeo yake watu mmewaona CHADEMA hawana maana, then mnaanza kuhoji elimu za watu, hii ina maana gani?
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec

...nashauri lianzishwe jukwaa la umbea...mods tafadhali..
 
Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo, Mullungo,
 
Uongozi si elimu UNAWEZA KUWA KIONGOZI NA UKAKUBARIKA KWENYE JAMII NA ELIMU YA SHULE YA MSINGI
 
Back
Top Bottom