CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

Wewe umemuona huyo tu? Karibu timu yote ya CHADEMA bungeni viwango vyao ndio hivyo hivyo. Huyo mbona afadhali sana.

Kwa CHADEMA elimu sio muhimu. Ukishakuwa na uwezo wa kusema tu basi inatosha.
 
Ni vyema kama ukaleta document au link yenye mchango wake bungeni ili tujue.
Naona wengi tunakazia mtindo wa mazungumzo hatuangalii uzito wa hoja bungeni.
 
am not fan of fancy resumes when it come to politics.
 
Mnaoweka mabandiko humu mjue kuwa watu wana akili ya kujua ni kwa nia gani yanawekwa. Haihitaji akili nyingi kutambua kuwa badniko hili dhidi ya Sugu limekuja baada ya gazeti la mwananchi kumuanika waziri Mulongo kuwa vyeti vya elimu yake vina walakini. Mnataka mhamishe mjadala huo umbao unajulikana sasa kitaifa, na kuanza kujadili humu jamvini elimu za watu wengine ambao hata uwezo wa wa kikazi haujapata dosari lolote mpaka sasa. Hebu tuendelee kujadili kuhusu ukweli wa elimu ya waziri Mulugo, tukizingatia kuwa huyu ni waziri katika wizara nyeti, ambayo hivi karibuni imehusishwa na kutofaulu kwa wanafunzi wengi nchini.
 
Hapa naona kuhama hama shule kumemsaidia kuongeza ukubwa wa CV yake lakini ukweli ni form four tu hata sijui alipata Daraja gani huyu jamaa.
 
Celebrity toka 1994 hadi 1998? Ndo kazi gani hyo inaitwa celebrity?
Mkuu, yawezekana "umekaa sana" darasani kumshinda Mhe. Sugu, hongera.

Lakini kama umeshindwa hata kutafsiri maana ya neno position ukaifanya ndiyo kazi yake Mhe. Sugu, basi ni heri Mhe. Sugu mara mia kuliko weye na mleta mada ambaye amelitumia neno weredi badala ya weledi mahala pasipostahili.

Nani ni muelimika na siyo mkaa darasani, kati yenu na Mhe. Sugu?
 
Bora huyu amekuwa mkweli kuhusu elimu yake, au unataka afanye kama Mulugo na Profesa William Lukuvi? Si ndiyo zenu magamba? Suala la uchambuzi wa bajeti na uchambuzi wa mambo mengine huwa ni uwezo wa mtu binafsi kufuatilia mambo,ndiyo maana hata wapo mnaowaita wasomi wanatoa suggestion eti uchumi wa tanzania utapanda kwa kufanyiwa maombezi! Weka na cv ya lusinde tuone. JF SHOULD BE USED FOR SERIOUS MATTERS, SIYO MIPASHO YA KIPUUZI KAMA HII
 
naomba nionshe umuhimu wa elimu hata kwa mbunge mbunge si sawa na spika ya matangazo yaanikazi yake iwe kama mc anachokisikiabila kukipima anakwenda kukisema kisha alipwe mshahara mnono kisha wasomi wamuite yeye ni mheshimiwa ? haya kwatikamchango wa mbunge huyu wakati wa kujadili Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano, 2011/2012 – 2015/2016 alisema hivi "Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Ni vizuri tukawa serious katika kujadili masuala ya maendeleo. Waziri anayehusika jana alisema mfumuko wa bei ulidhibitiwa kuanzia mwaka 2001 kwa asilimia sita mpaka sasa lakini wote tunajua kwamba kilo ya sukari mwaka 2005 ilikuwa shilingi 400/- sasa hivi ni shilingi 2,000/-, kilo ya nyama ilikuwa shilingi 800/- na sasa hivi ni zaidi ya shilingi 4,000/-. Sasa huo mfumuko wa bei uliodhibitiwa kwa asilimia sita sijui ni mfumuko wa bei wa wapi labda Uganda."

hapa utajua kuwa huyu anahitajielimu elimu ya kutaambua vigezo gani vinatumika kutafiki mfumuko w bei kiuchumi. sasa hapa katika kuchangia anauliza swali ili kwanza afundishwe kisha ndipo hoja ijadiliwe. huu ni upotezaji wa muda na mali ya walipa kodi wa nchi hii.
 
wewe mtoa uzi, hebu na wewe weka CV yako tuifananishe na ya SUGU.\
Inawezekana umefika chou kikuu, lkn GPA 2.0!
 
Acha kutetea ujinga, kuna job position gani inaitwa "Celebrity?"
 
walioomba cv ya lukuvi hii hapa.nikwelikasoro ni nyingi hakuna elimu ya msingi na sekondari hamna......

[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1004.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]William[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Vangimembe[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Lukuvi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Ismani[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O.Box 980, Dodoma[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 262 321 151[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD]+255 22 2320046[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]wlukuvi@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]15 August 1955[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Open University of Tanzania[/TD]
[TD="align: center"]Masters in Political Science[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Washington International University - USA[/TD]
[TD="align: center"]BA (Inter. Studies &Diplomacy)[/TD]
[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Johanesburg - South Africa[/TD]
[TD="align: center"]International Observers Course[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Moscow - USSR[/TD]
[TD="align: center"]Leadership Course[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Moscow - USSR[/TD]
[TD="align: center"]Diploma in Political Science[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD="align: center"]Political Course[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora Teacher's Training College[/TD]
[TD="align: center"]Teaching Course[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD="align: center"]Training in Defence and Security[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Computer Training College-Dar es Salaam[/TD]
[TD="align: center"]Training in Computer Course[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]United Republic of Tanzania[/TD]
[TD]Minister Of State(Policy,Coordination and Parliamentary Affairs)[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]To date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma Regional Commissioner[/TD]
[TD]Regional Commissioner (RC)[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Prime Minister's Office[/TD]
[TD]Minister Of State(Policy,Coordination and Parliamentary Affairs)[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ministry of Labour and Youth Development[/TD]
[TD]Deputy Minister[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bukoba District Commissioner[/TD]
[TD]District Commissioner[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM[/TD]
[TD]Member of the Central Committee[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2012[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM[/TD]
[TD]Member of the National Executive Committee[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]To date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM[/TD]
[TD]Member of the Region/Executive committee[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]To date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM - Head Office (Youth Organisation)[/TD]
[TD]Deputy Secretary General[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM[/TD]
[TD]Regional Secretary - Youth Organisation[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM[/TD]
[TD]Head of Department - Youth Organisation[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM[/TD]
[TD]Regional Secretary - Youth League[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
At least he is honest na CV yake, kwa hilo nampongeza
Hajataka kuipamba risala ya marehemu wala nini
He is a man enough!
 
Ha ha ha ha, no wonder

walioomba cv ya lukuvi hii hapa.nikwelikasoro ni nyingi hakuna elimu ya msingi na sekondari hamna......

MEMBER OF PARLIAMENT CV

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation
[/TD]
[TD]Honourable
[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1004.jpg

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:
[/TD]
[TD]William
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:
[/TD]
[TD]Vangimembe
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:
[/TD]
[TD]Lukuvi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:
[/TD]
[TD]Ismani
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:
[/TD]
[TD]P.O.Box 980, Dodoma
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:
[/TD]
[TD]+255 262 321 151
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:
[/TD]
[TD]+255 22 2320046
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:
[/TD]
[TD]wlukuvi@parliament.go.tz
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:
[/TD]
[TD]Current Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth
[/TD]
[TD]15 August 1955
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location
[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date
[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date
[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Open University of Tanzania
[/TD]
[TD="align: center"]Masters in Political Science
[/TD]
[TD="align: center"]2008
[/TD]
[TD="align: center"]2011
[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Washington International University - USA
[/TD]
[TD="align: center"]BA (Inter. Studies &Diplomacy)
[/TD]
[TD="align: center"]2001
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Johanesburg - South Africa
[/TD]
[TD="align: center"]International Observers Course
[/TD]
[TD="align: center"]1994
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Moscow - USSR
[/TD]
[TD="align: center"]Leadership Course
[/TD]
[TD="align: center"]1985
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Moscow - USSR
[/TD]
[TD="align: center"]Diploma in Political Science
[/TD]
[TD="align: center"]1982
[/TD]
[TD="align: center"]1983
[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi
[/TD]
[TD="align: center"]Political Course
[/TD]
[TD="align: center"]1976
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora Teacher's Training College
[/TD]
[TD="align: center"]Teaching Course
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]1975
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa
[/TD]
[TD="align: center"]Training in Defence and Security
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]1980
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Computer Training College-Dar es Salaam
[/TD]
[TD="align: center"]Training in Computer Course
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]1998
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name
[/TH]
[TH="align: center"]Position
[/TH]
[TH="align: center"]From
[/TH]
[TH="align: center"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]United Republic of Tanzania
[/TD]
[TD]Minister Of State(Policy,Coordination and Parliamentary Affairs)
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[TD="align: center"]To date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma Regional Commissioner
[/TD]
[TD]Regional Commissioner (RC)
[/TD]
[TD="align: center"]2006
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Prime Minister's Office
[/TD]
[TD]Minister Of State(Policy,Coordination and Parliamentary Affairs)
[/TD]
[TD="align: center"]2000
[/TD]
[TD="align: center"]2005
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ministry of Labour and Youth Development
[/TD]
[TD]Deputy Minister
[/TD]
[TD="align: center"]1995
[/TD]
[TD="align: center"]2000
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bukoba District Commissioner
[/TD]
[TD]District Commissioner
[/TD]
[TD="align: center"]1994
[/TD]
[TD="align: center"]1995
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]Member of the Central Committee
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[TD="align: center"]2012
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]Member of the National Executive Committee
[/TD]
[TD="align: center"]1997
[/TD]
[TD="align: center"]To date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]Member of the Region/Executive committee
[/TD]
[TD="align: center"]1995
[/TD]
[TD="align: center"]To date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM - Head Office (Youth Organisation)
[/TD]
[TD]Deputy Secretary General
[/TD]
[TD="align: center"]1992
[/TD]
[TD="align: center"]1993
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM
[/TD]
[TD]Regional Secretary - Youth Organisation
[/TD]
[TD="align: center"]1989
[/TD]
[TD="align: center"]1992
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM
[/TD]
[TD]Head of Department - Youth Organisation
[/TD]
[TD="align: center"]1984
[/TD]
[TD="align: center"]1989
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM
[/TD]
[TD]Regional Secretary - Youth League
[/TD]
[TD="align: center"]1980
[/TD]
[TD="align: center"]1984
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
Ni vigumu kuwabadilisha watanzania/waafrika kuhusu Imani yao kwenye vyeti vya Elimu. Na ni imani hizi kali ambazo zimewapa nafasi wengi wetu kutumia vyeti vyetu kudai haki ya kupata ajira (hata kama hatuna uwezo wa kutoa tija/ kusaidia kwenye ajira tuayopata - zaidi ya kuongeza vitambi).

Ni kweli ni vizuri kukawa na vigezo vya kuchambua na kutambua mtu anaeweza kutoa suluhu ya tatizo lolote. Mojawapo ya njia ya kujua/kutambua uwezo wa mtu au uelewa au ujuzi alionao ni kutizama kama mtu hutu amefundishwa na ana elimu katika jambo tajwa.

Lakini mara nyingi tumeshuhudia watu wengi wenye vyeti vya elimu na wakawa ni watupu kabisa vichwani.

Niliwahi kufanya kazi nchi moja Ulaya. na maneja wangu alikuwa ni msichana mdogo tu wa umri kama miaka 22. Nilipomwuliza elimu yake aliniambia kuwa alimaliza tu sekondari na akawa anasoma akiwa kazini.

Alikuwa ni regional manager wa PR & Marketing Company - kampony yenye annual turnover ya £210 million as of last year. Hakuwahi kufika university. Lakini anasimamia watu zaidi ya 25 ambao wengi wao wana masters (hasa waafrca na wahindi).

Ni sehemu nyingi sana zenye watu kama hawa ambao ni wazuri sana kichwani, wanafanya kazi kubwa, wanatoa mchango mkubwa katika hilo wanalolifanya, lakini hawana elimu ya chuo kikuu.

Ninachosema ni hiki: Tujitahidi kubadili mitizamo yetu, ya kwamba watu wanaopewa dhamana ya Uongozi/ Utawala wawe ni wale WANAOTOA MAJIBU (ABLE TO GIVE SOLUTION) na sio hawa wanaopeperusha vyeti wakidai haki ya kututawala.

Suala la sugu siwezi kuliongelea sana maana simjui sana hasa uwezo wake wa kutoa majibu (solutions) Ila ningependa watu wengi wahukumiwe kwa kigezo cha SOLUTION.
 
sugu kichwa hata kama form 4 lakini mwkilishi bora jimboni kwake kaanzisha mfuko wa elimu wa kusomesha watoto wa masikini mpka vyuo vikuu wabunge wangap wasomi wameshindwa kusaidia jamii zao na sifa ya mbunge tanzania uwe umemaliza darasa la saba!
 
Back
Top Bottom