I don't think this is true, labda hapa Africa. Kwa nchi za wenzetu, education and good brain matter a lot. Kwa mfano, USA, Clinton alikuwa professor wa University, Condeliza Rice the same na sasa Obama just to mention a few. UK, the same strory. Hapa tunaona watu wajinga ndio wakutuongoza. By the way nilikuwa Italy mwaka jana na kubahatika kwenda pale Urbaniana University just for curiosity to see what is there. Nilikutana na prof. mmoja mzee na alipogundua mimi ni M-TZ akaniuliza, unamjua Dr. Slaa, nikamwambia ndio. Akaniulizia na watu wengine baadhi nimewasikia pia. Akaniambia, Slaa was one of our best students. Nilipojaribu kudadisi, nikagundua huyu bwana alitoka pale na distinction. Anyway, tuendelee kujenga nchi as I am not a politician.