CV ya Dr Slaa From Certificate to PhD

CV ya Dr Slaa From Certificate to PhD

Status
Not open for further replies.
Nikuulize swali rahisi: kama umesoma miaka ya 1980s hapa Tanzania mtu yeyote aliyekuwa anafaulu somo la siasa grade aliyokuwa anapata ni S (kwa maksi zote za ufaulu). Sasa niulizi je ina maana Watanzania hawajawahi kufaulu siasa? Kwa nini mtu akipata 50% alikuwa anapata S sawa na mtu anayepata 100%? Jibu ni rahisi: kwamba mfumo wa grading Tanzania ndivyo ulivyokuwa. Sasa nije kwa swala la Dr Slaa. Miaka aliyosoma Dr Slaa Philosophy na Theology hata Tanzania hapakuwa na chuo ambacho hivi vyuo vilikuwa affiliated maana UDSM hapakuwa na Faculty of Philosphy or Theology tofauti na Makerere University (Uganda) au Chancellor College (Malawi University) ambazo zilikuwa na hizo faculties. Hivyo, wanafunzi wote waliosoma hapa Tanzania kwa wakati huo were subjected to such grading na mwanafunzi akimaliza alikuwa anapata certificate of philosophy or theology siyo kwa sababu ya certificate kama hizo tulizo nazo leo, la. Maana mtu anayepata certificate ni yule ambaye hajafikisha alama za kumtosha kupata diploma au degrii. Lakini kilichohesabika wakati huo ni wastani wa ufaulu ambao ulikuwa umewekwa ili kwamba kama mwanafunzi wa philosphy au theology atapata zaidi ya 75% (distinction) alikuwa anapelekwa kuendelea na masomo kwa ngazi inayofuata ya masomo ya specialisation. Na Dr Slaa alikuwa kati ya wanafunzi waliofaulu vizuri sana na pia alipomaliza masomo yake St Alban University, Rome, (kama sikosei) alipata distinction. Ili mtu aende seminari kuu kwa muda huo ilibidi kwanza awe amemaliza Form VI na amefaulu vizuri (yaani, awe na qualifications za kwenda chuo kikuu). Hivyo, isingewezekana mwanafunzi asome miaka 2 philosphy halafu apate certificate na baadaye asome miaka 4 na apate certificate pia. Na tangu mfumo huo ubadilishwe, wanafunzi wote wanaosoma Ntungamo, Kibosho, St Peters (Segerea) na Kipalapala hakuna anayepata certificate au diploma tena. Wote ni degree na kama mtu hawezi kuipata anarudishwa nyumbani. Lakini wakati ule ndiyo ilikuwa award ya mwisho kwa seminari kuu za Katoliki hapa nchini. Mimi ningekuwa na wasi wasi iwapo chuo alikoenda wangemkataa au angepata matatizo ya usaili/usajili wa masomo yake. Lakini hapakuwa na tatizo na maadam alikidhi vigezo vya kujiunga na chuo kikuu cha St Alban, sioni shida au hujui ni chuo gani? Hebu tafuta kwenye mtandao na uone ni walimu wa aina gani wanaofundisha hapo na ndipo uje ujadili tena elimu ya Dr Slaa.
...mkuu umefafanua vizuri. lakini pia certificate, diploma na degree ni vitu vyenye tafsiri tofauti inategemea unaongelea mfumo upi wa elimu. mfano ujerumani diploma ni kitu tofauti na tunavyoielewa Tanzania.
Ukimwambia mjerumani kuwa nina diploma ya kitu fulani yeye anakutambua una degree.
 
Majibu yake yamezaa maswali mengi kuliko majibu "read between the lines" huyu jamaa ni hatari kwa maisha ya watanzania, tunapaswa kumuogopa na kukaa nae mbali kama ukoma, ni mtu mwenye kubuni mambo kwa maslahi yake, hivi anawanya watanzania wote wajinga au ni yeye tu ndie aliesoma seminary, kwa majigambo yote haya ameondokea nini kanisani kuja kwenye wasema uwongo (wanasiasa), hana ukweli mnafiki katika wanafiki wengine!
 
Kwani diwani hapo hoja ilikuwa ni mtiririko wa elimu au hoja ni elimu na ubora wake?
Nb: tupia na ya kwako tukujadili kidogo, tumesharidhika ya dr Slaa tunataka ya mwingine tuanze na ya kwako mkuu wangu
Usifafanue neno MTIRIRIKO katika slander interpretation.

Ubora wa elimu ni pamoja na mtiririko wa elimu yenyewe. Ndiyo maana tunaanza kusoma kuanza elimu ya vidudu mpaka elimu ya juu. Level ya elimu na muda wa elimu ni mojawapo ya mtiririko wa katika elimu.

Usiwaweke watu wengine kwenye box la fikra zako na kusema TUMESHARIDHIKA, sema NIMEISHARIDHIKA.

Unataka kujua Elimu yangu kwa kupitia njia ya UNVERIFIED ID?. Hasara tupu!.
 
Aiseee, kweli hata mimi sikujua kuwa Dr. Slaa ni Msomi wa hali ya juu kiasi hiki kweli masuala ya Uraia na Dini.

Weakness.

It is absolutely very wrong to select polictics as your career...!!! pole sana mzee.

Prejudice is detrimental
your VABEs are questionable
 
...Hopeless! Elimu is about content. anyways hata huo muda unaoutaka soma vizuri utaona miaka inatajwa mitano, saba nk. Kuna faida gani mtu kusoma miaka kadhaa halafu uwezo unaodevelop ni kama wa Nape?
Nape ameingiaje hapa?.

If education is about content. Then, the content must include timeline.

Ndiyo maana kila daraja la elimu lina muda wake. That's what I'm talking about
 
Dr wa ukweli aliyefundishwa maadili ha haa haa.
 
Kwa wanao mfahamu vizuri huyu Kiongozi wa CHADEMA Bw.W.Slaa ni kweli amefikisha Miaka 70? Mbona haonekani kihivyo? Nina mashaka na hiyo namba nafikiri atakuwa chini ya hapo!
 
Kwa wanao mfahamu vizuri huyu Kiongozi wa CHADEMA Bw.W.Slaa ni kweli amefikisha Miaka 70? Mbona haonekani kihivyo? Nina mashaka na hiyo namba nafikiri atakuwa chini ya hapo!
Hiki ni kibabu kizee sana kimezidi hapo
 
Wilbrod Peter Slaa (amezaliwa tarehe 29 Oktoba 1948) alikuwa mbunge wa jimbo la Karatu katika bunge la kitaifa nchini Tanzania. Baada ya kugombea urais mwaka 2010 si mbunge tena, ila anaendelea kuwa katibu mkuu wa chama cha CHADEMA. Hajanituma kumfanyia kampeni bali nimefurahi tu kumweka hapa hasa kipindi ambapo kuna watu kadhaa wasiofaa hata kuitwa wagombea lakini wametanguliza majina yao. Kwanini ninyamaze ili niishie kuona Kigwangala, Makamba, Lowassa, Membe, Wasira, Sitta, Mwigulu....eti wanajitangaza na kupigiwa debe waongoze Tanzania inayoachwa mahututi bin dhoofu 2015!!!!!!! tena toka chama chao cha CCM bila hata aibu waendelee kumdidimiza mtanzania huyu aliyechoka. Mimi nimetangulia kumtangaja huyu mpigania haki wa nchi hii.


Kwa kuanza naomba niweke CV yake
(alipokuwa mbunge) ili tukijadiliana tuwe tunarejea hasa tunapomlinganisha na wengine wa aina ya hapo juu:

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1253.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Dr. Wilbrod[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Peter[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Slaa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Karatu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 119, Karatu - Arusha[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 784 666995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD]+255 22 2668866[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]wslaa@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]29 October 1948[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Urban University, Rome[/TD]
[TD="align: center"]PhD (JCD) Law[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]PHD[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Thomas Aquinas University[/TD]
[TD="align: center"]Advanced Diploma in Rural Development[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TransWorld Tutorial College, London[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Management[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kibosho Seminary School[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Philosophy[/TD]
[TD="align: center"]1972[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kipalapala Seminary[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Theology[/TD]
[TD="align: center"]1974[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]International Eye H. Centre[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Eye Health[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Itaga Seminary School[/TD]
[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dung'unyi Seminary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1966[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kwermusl Primary School(Mbulu)[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1958[/TD]
[TD="align: center"]1960[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Daudi Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1961[/TD]
[TD="align: center"]1961[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Karatu Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1962[/TD]
[TD="align: center"]1965[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Society for Blind[/TD]
[TD]Managing Director[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Episcopal Conference[/TD]
[TD]Secretary General[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Diocese of Mbulu[/TD]
[TD]Development Director[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Diocese of Mbulu[/TD]
[TD]Vicar General[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Diocese of Mbulu[/TD]
[TD]Development Director[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church[/TD]
[TD]Padre[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]Secretary General[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]Vice Chairman[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]Member of Parliament (Karatu Constituency)[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]Member of National Executive Committee[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi - CCM[/TD]
[TD]Secretary Foreign Branch(Rome)[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Youth Union -TANU[/TD]
[TD]Secretary[/TD]
[TD="align: center"]1974[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANU[/TD]
[TD]Chairman (Kipalapala Branch)[/TD]
[TD="align: center"]1974[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]SPECIAL SKILLS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Skill Name or Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Years Experience[/TH]
[TH="class: text_menu"]Acquired Through[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Udiwani Course[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Advanced Political Course[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Institute for International Solidarity[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Management of Eye Care[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Centre For Eye Health, London[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Special Education[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Sight Savers International[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


 
Nimepekua mahali na kuona sifa adimu nyingine ya Dr.Slaa ni ukunga.Ni mategemeo yangu kuwa vifo vya kipumbavu,vya kujitakia vya wanawake wanaokufa kwa matatizo ya uzazi mara baada ya kuapishwa tu rais wangu huyu yote yatakwisha.

Love you too president Dr.Slaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom