ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Sasa DR. Slaa elimu yake anaitetea ya nini wakati kashafikisha umri wa kustaafu?
Hivi ben umeshaua mtu yaani kutoa roho ya binadamu mwenzako? Hivi kama ungefanikiwa kumuua Zitto kwa sumu ungeishije kwenye ulimwengu huu huku una damu ya mtu inakuandama?
tunataka Cv ijieleze isiwe na ulazima wa kukodisha majeshi ya wategaji wa sumu kuifafanua na kuitetea kwa rejea rahisi ndo nimekuwekea hizo za wasomi wa kweli, masuala ya kuanza kuchukua Phd kwa kutumia ki sertificate cha kipalapala seminary halafu unakuja kufanya advanced diploma hatuhitaji mseto na mchanyato wa aina hiyo!! Phd ya slaa ni ipigiwe kura iingie kwenye maajabu saba ya Dunia. Certificate ya kipalapala seminary to Phd kweli kiboko jamaa ni genious zaid ya Isack Newton na Faradays!
Sasa DR. Slaa elimu yake anaitetea ya nini wakati kashafikisha umri wa kustaafu?
Sijui unafanya nini kwenye thread hii maana ulipotajiwa maneno kama 'Pontification' tu umepata kizunguzungu.Hizo vocabularies kama kichwa chako hakihimili si uachane na thread kuliko kujidhalilisha hapa?
Hahahahaha Ben Sa8, acha hizo mkuu... niko huru kinoma mkuu.... take it easy.... you know when you are not fan au mwanachama wa hivi vyama vyetu uchwara unakuwa huru sana kuongelea taifa lako!!! try it is a if ni mtu ameokoka vile....hahahahah.
Good Nyt boss in case you are in EAC. My apologies for incoveniences ......
Kwenye Maandishi yako inaonyesha wewe ilimu yako ni Ngumbaru
elimu ya mtu haitetewi kwa thread wala haihitaji wachangiaji wengi kuifafanua, tembelea wasifu wa elimu wa mwesiga baregu, shivji, mwandosya, kimei dau, kigoda, mkumbo,mwakyembe, lipumba,dkt magufuli,tibaijuka na prof Palamagamba uone kama utahitaji matusi na kufungua thread ili ieleweke, elimu ya kanisani au misikitini sio hitajio la Ikulu!
Kila kukicha ni Dr Slaa tu humu,yaonekana mnakiogopa sana kivuli chake
Kweli kichwa chako kigumu mithili ya chuma, yani wewe hata ufungiwe kwenye chumba chenye walimu mia huwezi elewa hata sentensi moja pole sana posho, kofia, vitenge vya bure kutoka ccm vitakuuwaAiseee, kweli hata mimi sikujua kuwa Dr. Slaa ni Msomi wa hali ya juu kiasi hiki kweli masuala ya Uraia na Dini.
Weakness.
It is absolutely very wrong to select polictics as your career...!!! pole sana mzee.
Kweli kichwa chako kigumu mithili ya chuma, yani wewe hata ufungiwe kwenye chumba chenye walimu mia huwezi elewa hata sentensi moja pole sana posho, kofia, vitenge vya bure kutoka ccm vitakuuwa
Unajiita kijana lakini chama chako hukujua kama ni cha mrengo wa Kiliberali hadi juzi ulipoona wabunge wako wakipandisha mapepo bungeni.Jifunze kujisomea ujue dunia inaendaje.Matusi yako kwa Chadema na viongozi wake siku zote humu hayakusaidii
Acha kufuata mkumbo!
Aiseee, kweli hata mimi sikujua kuwa Dr. Slaa ni Msomi wa hali ya juu kiasi hiki kweli masuala ya Uraia na Dini.
Weakness.
It is absolutely very wrong to select polictics as your career...!!! pole sana mzee.
Have a Goodnight! But usiendelee kuwapotosha vijana hawa wa Facebook Songoro ZeMarcopolo chama HAMY-D CHAMVIGA S.HUSSEIN na hata mzee wa "bonafide genuine" pamoja na ukongwe wake huku.Kuthibitisha mazoea yao ya Facebook,baada ya comment hii utaona watakavyoninukuu na kutoa mapovu hapa kisa nimewa-acknowledge!
Goodnight Kasheshe! Acha wivu na chuki zako kwa Chadema.
huyu babu akalee wajukuu hizi zama za vijana