Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,661
Ingia YouTube mkuu. Kilichoongelewa hapo ni kopi 100% ya mambo yanayoonrkana Tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia YouTube mkuu. Kilichoongelewa hapo ni kopi 100% ya mambo yanayoonrkana Tz
Iko wapi mkuu?Kitambo Sana! Tena Bora Ye Yuko Hai! Nimecheki History Ya Huyo Chalii mwimbaji walivyomdedisha Huko Jela! Dah!....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka Ukwaju afanye manuva hiyooVideo haifunguki aise
PK anataka kuirithisha familia yake nchi ya Rwanda?
Dikteta yeyeto utazama nafsi yakeIla Kagame sijui mwisho wake utakuwa vp..
Jamaa analalamikiwa hadi na Watutsi wenzie.
Si wahamie Tz tu tufanye hybridizationDah! Hii Taarifa Imenipa Simanzi,Majonzi Na Huzuni! Nimeiwasilisha Kama Nilivyoombwa Na Msimuliaji!View attachment 1388803
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiondoka lzm ilipuke ilitakiwa atengeneze mfumo imara hata asipokuwepo uendelee kuwepo.Kagame kaituliza Rwanda na anastahili pongezi
Anamiliki jela ya chinjachinja inaitwa Gitarama prison inaitwa jehanam of Africa Google uoneMimi nimeenda Rwanda mara kadhaa. Kuna ukweli mwingi kwenye hii video. Mojawapo ya kitu serikali ya Rwanda walifanikiwa kudanganya ni kuonesha kwao mambo ni tambarare. Huko ni mkono wa Chuma tu. Na ukiacha Kigali, Rwanda hamna kitu.
Mbona tunoana ripoti za Transparency Int. kuwa Rwanda ni nchi ambayo inaongoza kwa kutokuwa na matumizi mbaya ya madaraka (corruption) ikiwa imezizidi nchi zote za Afrika Mashariki na Kati hadi baadhi ya nchi za Ulaya?Kitambo Sana! Tena Bora Ye Yuko Hai! Nimecheki History Ya Huyo Chalii mwimbaji walivyomdedisha Huko Jela! Dah!....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona tunoana ripoti za Transparency Int. kuwa Rwanda ni nchi ambayo inaongoza kwa kutokuwa na matumizi mbaya ya madaraka (corruption) ikiwa imezizidi nchi zote za Afrika Mashariki na Kati hadi baadhi ya nchi za Ulaya?Akiondoka lzm ilipuke ilitakiwa atengeneze mfumo imara hata asipokuwepo uendelee kuwepo.
Yeye ndie chanzo cha yaliyotokea lkn
Jamaa hataki anaita yoyote ya opposition,iwe ya kujenga au ya kubomoa hatofautishi.Dah! Kuna Mskaji Mmoja Hapa Nae Ameishi Rwanda Ananiambia The Really Situation! Bwana Paulo Sio Mtu Poa Kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Hii Taarifa Imenipa Simanzi,Majonzi Na Huzuni! Nimeiwasilisha Kama Nilivyoombwa Na Msimuliaji!View attachment 1388803
Sent using Jamii Forums mobile app

Watawala wa kiafrica wako bize kupambana Na RAIA wao kuliko kupambana Na umasikini. Africa nzima huyu kapigwa risasi, huyu kesi,huyu kafilisiwa ni bora tutawaliwe Na wakoloni weupe kuliko weusiDuuh aisee......africa kila nchi inashida zake na matatizo yanafanana
Atakuwa ameruka mkojo