Hilo sakata nalijua mkuuMkuu sio kama alikimbia kabisa, isipokiwa alikimbia kwenda kutafuta hifadhi kwa yule kiongozi mkuu, ndipo kiongozi mkuu alipowasiliana na yule wa kule ndipo baadae jaamaa akatafutiwa sehemu ya kutulia. Lakini baada ya miaka kadhaa kupita mkimbiaji ndio akawa kiongozi wa nchi na mkimbizaji akaona mwisho wake ndio umefika.....Hukuipata hiyo!?
Nyota moja ngao ya taifa na mkasiNauliza hivi brigedia ana nyota ngapi
Hizi cod sasa!!Mkuu sio kama alikimbia kabisa, isipokiwa alikimbia kwenda kutafuta hifadhi kwa yule kiongozi mkuu, ndipo kiongozi mkuu alipowasiliana na yule wa kule ndipo baadae jaamaa akatafutiwa sehemu ya kutulia. Lakini baada ya miaka kadhaa kupita mkimbiaji ndio akawa kiongozi wa nchi na mkimbizaji akaona mwisho wake ndio umefika.....Hukuipata hiyo!?
Elezea bila mafumbo mkuuHilo sakata nalijua mkuu
Wakati wa jk vyeo vinne vya juu vilikua hivi, brigadie general alikua ana *** ngao ya taifa, major general ngao ya taifa na mkasi,luteni general ngao ya taifa na mkasi, general * ngao ya taifa na mkasi, sasa kipi kilipelekea mabadiliko ya nyota katika vyeo vinne vya juuNaanzia kwenye nyota
Nina amini una akili, na jibu utakuwa umelipata
- Luteni usu(nyota moja)
- Luteni (nyota mbili)
- Captain (nyota tatu)
- Major (bibi na bwana)
- Luteni Kanali (bibi na bwana na nyota moja)
- Kanali (bibi na bwana na nyota mbili)
- Brigedia jenerali (bibi na bwana, nyota moja na mkasi)
- Major jenerali (bibi na bwana, nyota mbili na mkasi)
- Luteni Jenerali (bibi na bwana, nyota tatu na mkasi)
- mkuu ww majeshi (bibi na bwana, nyota nne na mkasi)
HahahahahaIsrael the highest military rank ni Rav Aluf; Luteni Jenerali. Huyu anampigia saluti Jenerali wa Mai Mai wanapokutana. Hivi vyeo sometimes ni kizungumkuti.
Search jukwaani uzi upo
Kanyota kamokoNauliza hivi brigedia ana nyota ngapi
Mtu kakujibu kwa Kiswahili wewe unamwandikia English..This kinda makes sense...though I’m not certain if that’s the reason why we don’t have more than one four star general at once...
Four star general lazima awe mmoja... hawawezi kuwa wawili, lazima mmoja astaafu ndio mwingine haweze kuteuliwa.
Jeshi halitakiwi kuwa na Brigadiers wengi kuliko Brigades.
Utaishia kuwa na Brigadiers hawana Bridages.
Halafu vyeo vingine vinatuzwa kwa mafanikio yanayotikana na upiganaji vitani.
Nchi yetu haijapigana vita kamili tangu vita vya Kagera kipindi cha Nyerere, wanajeshi sanasana wanaenda kwenye UN na AU engagements tu.
Ukiacha hao Ma General wa Ukuu wa Majeshi utampa mtu cheo cha u General kwa vita ipi aliyopigana?
Wengi wao hawajawahi enda hukoMimi ningependa nione record za kushiriki,kuongoza mapigano ya kivita ya hawa ma general
Ova
Sio huyo unaemuongelea, kuna mmoja yeye alikimbia lakini baadae akawa ndio mkubwa.
Maisha yote vyeo vya kijeshi ni kama Funnel, chini pana juu nyembamba, na ndivyo ilivyo au sawa na mfano wa mnara, chini mpana juu mwembamba, kumaanisha chini mnakuwa wengi lakini kadiri miaka mnvyokwenda juu ndio kuna m'bano wa hali ya juu.Kwanini maafisa wengi wanazungushwa sana na kustaafu kwenye kanali. Hawafiki kule juu.
Nani huyo?Kwani ni wapi nilisema alikimbia akiwa kozi? Na sio kama alikimbia moja kwa moja bali alitafuta mtu wa ki neutralise hali iliyokuwepo.