Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,120
Mshindi wa tuzo za Ballon D’or mara 5, Cristiano Ronaldo amekaririwa akisema Ligi Kuu ya Saudi ni bora kuliko ile ya Marekani (MLS).
“Nina uhakika 100% sitarudi tena kuchezea klabu yoyote ya Ulaya kwani nina furaha huku.
Mimi nilifungua njia ya kuja huku, na sasa wachezaji wengi wanakuja huku.” Aliongeza Cristiano Ronaldo
My take:
Hiki ni kama kijembe kwa mshindani wake wa muda mrefu Lionel Messi ambaye alikacha kwenda kucheza Uarabuni na kukimbilia Marekani.
“Nina uhakika 100% sitarudi tena kuchezea klabu yoyote ya Ulaya kwani nina furaha huku.
Mimi nilifungua njia ya kuja huku, na sasa wachezaji wengi wanakuja huku.” Aliongeza Cristiano Ronaldo
My take:
Hiki ni kama kijembe kwa mshindani wake wa muda mrefu Lionel Messi ambaye alikacha kwenda kucheza Uarabuni na kukimbilia Marekani.