uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,994
- 8,370
Pamoja na mapesa yanayomwaga na ligi ya saudi arabia "saud professional leugue lkn bado ligi hiyo haijawa darling league km zilivyo ligi za uropa
Utakubaliana na mimi angalia ligi ya uscoch ambayo ina vigogo km celtic na rangers inahamasa mvuto na upinzani kuliko saudi arabia
Upinzani na ladha ya ligi haujajengwa kutokana na kulipwa mapesa mengi ball ni passion ya mashabiki
Mchezaji anayelipwa pesa nyingi ligi ya scotland haifikii dola elfu hamsini kwa wiki
ile henderson aliyetimkia saud arabia mchezaji wa Zamani wa liverpool anakunja dola laki saba kwa wiki
Sasa basi baada ya serikali ya saudi arabia kuamua kuvifadhili vilabu vinne vikuu mishahara ya wachezaji ilipanda hadi 600%
Wachezaji wengi walipagawa ila mambo hayaendi km ilivyotarajiwa ligi imeanza kupoteza mvuto hata kabla msimu wa kwanza wenye nguvu haujamalizika
Majina makubwa yalikimbilia arabia alisema mchezaji maarfu Neymar na wengine wengi
Lkn katikati ya msimu wachezaji waliotoka ulaya tayari wameanza kuomba kuondoka Saudi kurejea ulaya
Mchezaji neymar inasemwa alipanga na daktari wake kuwachezea mchezo waarabu
Alicheza mechi mbili akaumia na sasa anatibiwa ulaya saudi arabia ataenda 2024 mwishoni akiwa katika msimu wake wa mwisho
Chrstiano Ronaldo ambaye anawafusi wengi kwenye mitandao ya kijamii na mchezaji maarfu duniani anapocheza uwanja haujai kabisa
Mechi moja yenye nyota kutoka ulaya ilishuhudia mashabiki mia saba tu wakati uwanja unaweza kuchukua watu alfu 20+
Pmj na mapesa yote lkn bado mashabiki wamekuwa wanasuasua viwanjani
Ukitoa vilabu byebye makazi yake Riadh vilabu vingine ni km vinacheza bila mashabiki majukwaa wazi
Sasa wachezaji wengi wanaanza kufikiria kurudi ulaya kutokana na kushindwa kuendana na mazingira ya kule
Ikumbukwe saudi arabia ni mwenyeji wa kombe la dunia 2030 hivyo anaimarisha timu yake kupitia ligi ya ndani lkn pesa anazolipa hazina uhalisia lazima atakwama tu
Serkali ya kifalme inalenga kutumia mpira kusambaza maadili yake duniani ambako kumetengwa matilion ya pesa
Je adhima yake hiyo itatimia?
Je saudi arabia itaendelea kusubiri mchezaji awe maarfu ulaya ndio wapande dau
Au itarudi kwenye misingi ya mpira km biashara inayojilipa yenyewe kwa kuzalisha vipaji na kuendeleza vipaji
Sina tatizo na wachezaji walioisha uwanjani wanaokaribia kustafi km kina ronaldo
Utakubaliana na mimi angalia ligi ya uscoch ambayo ina vigogo km celtic na rangers inahamasa mvuto na upinzani kuliko saudi arabia
Upinzani na ladha ya ligi haujajengwa kutokana na kulipwa mapesa mengi ball ni passion ya mashabiki
Mchezaji anayelipwa pesa nyingi ligi ya scotland haifikii dola elfu hamsini kwa wiki
ile henderson aliyetimkia saud arabia mchezaji wa Zamani wa liverpool anakunja dola laki saba kwa wiki
Sasa basi baada ya serikali ya saudi arabia kuamua kuvifadhili vilabu vinne vikuu mishahara ya wachezaji ilipanda hadi 600%
Wachezaji wengi walipagawa ila mambo hayaendi km ilivyotarajiwa ligi imeanza kupoteza mvuto hata kabla msimu wa kwanza wenye nguvu haujamalizika
Majina makubwa yalikimbilia arabia alisema mchezaji maarfu Neymar na wengine wengi
Lkn katikati ya msimu wachezaji waliotoka ulaya tayari wameanza kuomba kuondoka Saudi kurejea ulaya
Mchezaji neymar inasemwa alipanga na daktari wake kuwachezea mchezo waarabu
Alicheza mechi mbili akaumia na sasa anatibiwa ulaya saudi arabia ataenda 2024 mwishoni akiwa katika msimu wake wa mwisho
Chrstiano Ronaldo ambaye anawafusi wengi kwenye mitandao ya kijamii na mchezaji maarfu duniani anapocheza uwanja haujai kabisa
Mechi moja yenye nyota kutoka ulaya ilishuhudia mashabiki mia saba tu wakati uwanja unaweza kuchukua watu alfu 20+
Pmj na mapesa yote lkn bado mashabiki wamekuwa wanasuasua viwanjani
Ukitoa vilabu byebye makazi yake Riadh vilabu vingine ni km vinacheza bila mashabiki majukwaa wazi
Sasa wachezaji wengi wanaanza kufikiria kurudi ulaya kutokana na kushindwa kuendana na mazingira ya kule
Ikumbukwe saudi arabia ni mwenyeji wa kombe la dunia 2030 hivyo anaimarisha timu yake kupitia ligi ya ndani lkn pesa anazolipa hazina uhalisia lazima atakwama tu
Serkali ya kifalme inalenga kutumia mpira kusambaza maadili yake duniani ambako kumetengwa matilion ya pesa
Je adhima yake hiyo itatimia?
Je saudi arabia itaendelea kusubiri mchezaji awe maarfu ulaya ndio wapande dau
Au itarudi kwenye misingi ya mpira km biashara inayojilipa yenyewe kwa kuzalisha vipaji na kuendeleza vipaji
Sina tatizo na wachezaji walioisha uwanjani wanaokaribia kustafi km kina ronaldo